Prof. Mwandosya ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA

Prof. Mwandosya ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA

Hivi hawa wanasiasa hua hawanaga kustaafu
Mimi najiuliza, wenyewe huwa hawapendi kupumzika na kupata maisha ya utulivu? Maana yake kama ni pesa ni mamilionea, na bado wanalipwa pensheni za mamilioni ya pesa hadi kufa kwao, nini shida hadi uanze kuhangaika na mavikao ya bodi ili hali umezeeka?

Raisi haoni watu wengine ambao hawajalitumikia taifa na wao walitumikie?

This is not fair!
 
Huyu mzee wangempumzisha tu keshajichokea na afya imedhoofu, anakuja na mawazo gani chanya hapo EWURA hasa kipindi hiki cha bei za nishati kupaa duniani??

Anakuja kutukanwa tu na kujivunjia heshima. Mzee kaingia mkenge
 
Asante mama Samia maana Huyu Mzee nusula apitiwe na kipanga kiarusi jaman stress we Dunia ya leo uandike kitabu dhidi ya Nyerere nani ananunua?
Edwin Mtei kamsema vibaya Nyerere kwenye "From Goatherd To Governor", na watu tumenunua kitabu.
 
Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??

Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????


Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.
Katuwekea muktadha kwa historia na wasifu wa Mwandosya.

Tuambie kuhusu usahihi wa habari hizo, si kwa nini zimewekwa. Zimewekwa kutupa muktadha kwamba rais wa sasa anasawazisha ushaambiwa.
 
Unampuuza usiyemjua. Nenda UDSM kaangalie machapisho yake na kahesabu wahitimu wa electrical kwenye kitivo ambao amewadindisha. Ila sidhani kama unanielewa maana JF Ina mbumbumbu wengi pia
Hayo machapisho yake ya makaratasi yana tija gani kwa wananchi na nchi kwa ujumja tangu aingie kwenye siasa kupitia ukatibu mkuu na baadae uwaziri?

Unataka kusema yeye ndio mwenye akili sana kuzidi vijana wengi ambao wamehitimu na kufikia shahada za juu lakini wanabezwa kupewa hizo kazi ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia ya sayansi?
 
Hayo machapisho yake ya makaratasi yana tija gani kwa wananchi na nchi kwa ujumja tangu aingie kwenye siasa kupitia ukatibu mkuu na baadae uwaziri?

Unataka kusema yeye ndio mwenye akili sana kuzidi vijana wengi ambao wamehitimu na kufikia shahada za juu lakini wanabezwa kupewa hizo kazi ili kuendana na mabadiliko ya teknolojia ya sayansi?
Kama hujafika elimu ya chuo kikuu basi una bahati mbaya. Lakini Prof Mwandosya yuko kwenye top 10 scientists of all times in Tanzania. Machapisho yake yako kwenye solar energy.

Wewe endela tu kula makande na kuvuta bangi chooni
 
Kama hujafika elimu ya chuo kikuu basi una bahati mbaya. Lakini Prof Mwandosya yuko kwenye top 10 scientists of all times in Tanzania. Machapisho yake yako kwenye solar energy.

Wewe endela tu kula makande na kuvuta bangi chooni
Rubbish, you must be addicted to his arrogance
 
Mkuu,vijana walipewa nafasi awamu il'opita,matokeo yake ni aibu!
Tena walituabisha, watukana na kudharau wazee kisa nafasi walizo nazo, walituchongea na wanatuchongea mpaka sasa kwamba wenzao hatufai ila wao. Watajibeba unazandiki wao...
Kijana unalalamikia uwe mwenyekiti wa bodi. Gombea kwanza ujumbe serikali ya mtaa wako tuone credibility yako
 
Back
Top Bottom