Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Prof Katima amepumzika? He is such a humble guy
Vijana ni mafisadihivi hawa wanasiasa hua hawanaga kustaafu
Kwasasa uwe na uswahiba msogaAisee!!? Hiv sifa za kuwa mwenyekiti wa hizo bodi huwa ni zipi?
Wenye nchi hao.Hivi hawa wanasiasa hua hawanaga kustaafu
Kama vijana wenyewe ni kama akina Makonda, sabaya, Mnyeti, Muro, Ali hapi, Kheri James n.k bora tu hao wazee waendeleeVijana mlio maliza chuo mtatembea na bahasha za khaki mpaka maji myaite mma