Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Kama ni huyu dada kwakweli ni zaidi ya shetani kuna siku nilifika ofisi za elimu wilaya Chamwino nilimkuta mwalimu Wa kiume anatokea vijijini kwa muonekano kisukari kimemtafuna haswa, nikamuhoji mbona unalia?

Akaniambia nammukuu,nimekuja kumuomba afisa elimu anisogeze angalau karibu na huduma kule Kijijini vyakula na huduma hususani tatizo langu la kisukari nateseka ntakufa afisa elimu akanijibu ondoka kafie hukohuko mbona kila MTU atakufa mwisho Wa nukuu, huyo mwalimu alijitambulisha ni MTU Wa bukoba nilisikia uchungu sana nikahisi idara inaongozwa na shetani.
Aisee haya maneno ni magumu sana kumtamkia binadamu mwenzako, mbaya zaidi yanatoka kwenye kinywa cha mwanamke.
 
Mimi nadhani ungewekwa utaratibu wa kuruhusu wananchi wote tuwe 'usalama wa Taifa' tuwekewe utaratibu wa KUMPA 'UBUYU'(Umbea) Mh Rais mojakwamoja yaani awe na 'LAINI YA SIMU YA WANANCHI' ambayo tutatuma ujumbe wa tunayojua hayako sawa..maana kuna watu hawatishwi polisi wala takukuru
Haaahaa mkuu umenifurahisha kweli, mimi kwa uelewa wangu usalama wa Taifa upo chini ya kila raia yaani unahaki ya kulinda Taifa lako bila malipo yeyote sio mpaka urasimishwe, Ila hilo la simu nadhani lingefaa sana raia tuwe na simu za baadhi ya idara hasa za mkuu wa jeshi la polisi maana huku wakati mwingine kuna uonevu mkubwa sana, mimi ni muhanga wa polisi, katika maisha yangu sikutegemea kama ningewahi ingizwa sero kutokana na malezi niyelelewa tangu utoto lakini niliwekwa ndani muda wa masaa matatu kisa nilikataa kutoa rushwa ya laki tano kuikomboa mali yetu waliyoichukua mbele yangu huku risiti ya kununulia nikiwa nayo, hapo ndio nilifahamu walioko maabusu wote hawana kosa na ki ukweli nilitamani sana nifikishe malalamiko yangu kwa RPC ila niliogopa biashara yangu ingepata misukosuko zaidi.
 
WAPIKA MAJUNGU!
Mnayo Maswali kadhaa ya Kujiuliza kama sio kujibu!
1. Mnafahamu Mamlaka ya Uteuzi wa Afisa Elimu ni nani?
2. Mnazo justification za majina ya hao Walimu walioonwa mbwa na Huyo Dada?
3. Mnaifahamu vizuri Historia ya Uongozi Chamwino tangu kuingia kwa awamu ya Tano ya Dr. JPM?
4. Kama (kweli) huyo Dada hafai, Matatizo yake kiutendaji ni yapi?.
5. INAWEZEKANAJE KILA KIONGOZI ANAELETWA CHAMWINO NI MBOVU?

MLIANZA NA WALE, WAKAONDOKA KWA DHULMA,
SASAHIVI MMEKUJA NA HUYU, ATAONDOKA (DHULMA!),
MKIMALIZA MTAENDA KWA MWINGINE!
WATENDEENI WATU HAKI, MUWE WAKWELI!
Mkuu mleta uzi mbona hajasema aondolewe? yeye kamuomba waziri hamchunguze.
 
Nilichogundua huyo mama huu uzi ameupata vyema ,Sasa ana haha huko aliko na kaamua kutafuta vijana wake waje kupoza makali ya huu uzi .

Kuna vijana kadhaa hapo juu wao Ni kutetea tu na kupinga .Niseme tu ww mama siku zako zinahesabika Sana na mpaka Sasa upo chini ya uangaliz wa Hali ya juu na watahojiwa watu mbal mbal Tena kimya kimya hapo chamwino hao ndio watatoa hukumu ya ww kubak hapo au kurud kwenye Kaz uliyosomea.

Kama umeonewa raia wataongea na Kama una vitabia vya aina hiyo basi jiandae na huenda yakaibuliwa had madudu yako ya ndani ya ofisin kwako.
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Huyu atakuwa Mwamfupe tu, spy manywele mijitu mingine bhana ukuda had I mtaani
 
Majungu tupu, nyie waalimu chapeni kazi, CCM ipo kikazi zaidi, muachane na matumizi mabaya ya mtandao. Huyo dada anatekeleza ipasavyo sera na ilani ya chama kikamilifu. Muda wa kupiga majungu haupo, kama hauna maslahi na kazi yako, tupishe, waingie watu wenye wito; nyie mnaonekana mmeingia katika fani hii kwa bahati mbaya, nendeni mkapige majungu kwenye vijiwe vya AL-KASUSU
Mkuu mleta mada moja ya kasoro alizozungumzia NI kashfa ya mitihani STD 7.Je,hilo ni utekelezaji wa ilani ya CCM?
Kwa maoni yangu hizi ni tuhuma achunguzwe na Kama NI kweli achukuliwe hatua za kisheria,kimaadili na kinidhamu.
 
Nianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?

Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?

Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.

Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.

Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.
Mwl acha majungu. Unaitaka nafasi kupitia majungu!! Huipati ng'o
 
Yaani kumtongoza afisa elimu akasema atakuchukulia hatua imekubidi uandike majungu? Usilazimishe mapenzi
 
Kwanza kabisa nipende kusema "MAJI HUJITENGA NA MAFUTA"
ni vema kwanza kuijua historia ya wilaya ya chamwino, kabla ya kuandika utumbo na ujinga mkubwa hapo juu, nawaza tu hivi hii halmashauri haina mkurugenzi? kama yupo na mambo yapo hivi na yeye hajielewi na inawezekana yeye ndio tatizo kubwa hapa chamwino.

naifahamu halmashauri hii vzr tangu ikiwa Dodoma vijijini na mpk sasa nikiwa mwalimu tena wa shule ya msingi.

naomba niseme ukweli na Mungu anisaidie, kwani nipo hapa tangu mwaka 2006.

1. Kilichoandikwa hapo juu ni majungu, unafiki, ujinga, uzandiki na upumbafu na fitina uzuri mwandishi mwandishi umetumwa na anajulikana vema tu kwani amekuwa akitangaza vita dhidi ya afisa elimu huyo kwa sababu za kijinga tu (mbona yeye anawataka watumishi kinguvu na hakuna anayemfatilia?) mfano aliwahi kwenda centre ya marking akiwa na gari ya serikali saa tatu usk kumfata mwalimu x ili aache kazi ya kusahihisha aende naye lodge, kama anabisha ajitokeze hapa akane kwamba hakumpa mwalimu sh 20000 akale chipsi na mwalimu akamrushia hizo pesa.
2. Tangu huyu afisa elimu amekuja Chamwino matokeo ya ufaulu yamekuwa mazuri na mahusiano kazini yamekuwa mazuri sana, walimu wanazikilizwa na hakuna mwalimu amewahi hata kuandikishwa barua ya mashtaka yoyote yale.
3. amenunua photocopy mashine inayotumiwa na shule zote za wilaya ya chamwino.
4. kama yeye ni mwonevu TSC wako wapi? wanafanya nini? CWT je wapo? wanafanya nini kutetea walimu unaosema wanaonewa? acha majungu kijana kama umenunuliwa kwa pesa walizozulumiwa ma (ARO-KATA) SEMA TU! Mwisho wako umefika.
5. Kukuwa kwa kiwango cha ufaulu tangu afisa huyu aje, 2018 wastani 64, 2019 wastani 74, na 2020 wastani wa 76, sasa tujiulize maswali? je kama yupo hivyo ni kwa nini ufaulu unaongezeka?
jibu jepesi mtoa posti umenunuliwa na wajinga wenzako.
6. pia kama taarifa zako ni za kweli hebu taja hata jina moja la mwalimu aliyenyanyaswa na afisa huyo.

MWISHO ALIYEKUTUMA MWAMBIE AJIANDAA KWA HILI, SERIKALI HAILALI INAFAHAMU UCHAFU WOTE ANAOFANYA NA HATA HUYO MJINGA ANAYEMTETEA KISA POSHO NA NYAMA ZA CHALINZE NA WINE ZA MPUNGUZI, ACHA BIA ZA TANGO.
UKWELI UPO KARIBU SANA KUFAHAMIKA NA BALAA LIPO JIRANI SANA NA WEWE! AJIANDAE KURUDI MASJALA ALIPOZOEA KUFANYA KAZI
Naona mnakuja kujitetea wapumbavu nye
 
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli
Naona umekuja kujitetea mwenyewe ,wewe ni mpuuzi tu chamwino tunakufahamu vizuri
 
Yaani kumtongoza afisa elimu akasema atakuchukulia hatua imekubidi uandike majungu? Usilazimishe mapenzi
Ona mnavyojianika kwa ujinga na upumbavu wenu hapa.
Kwan kutongoza Ni kosa kwa watu wazima?

Huyo Afisa asitongozwe yeye Ni Nan haswa?

Yaan watongozwe wakuu wa wilaya Kama Joketi alaf huyo kima Afisa Elimu Tena msingi asitongozwe?

Wakina joket tunawatongoza live live huko istagram na Kama hajakupenda anakwambia tu sipo tayal kwa Sasa.

Jibuni hoja achen utoto, huyo Afisa wenu lazima achunguzwe tu na mpaka Sasa uchunguz wa kimya kimya unaendelea
 
Back
Top Bottom