Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Nianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?

Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?

Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.

Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.

Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.
Wivu tu!
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Na wewe kampe tiGo huyo Prof ili umpore
 
Mimi nadhani ungewekwa utaratibu wa kuruhusu wananchi wote tuwe 'usalama wa Taifa' tuwekewe utaratibu wa KUMPA 'UBUYU'(Umbea) Mh Rais mojakwamoja yaani awe na 'LAINI YA SIMU YA WANANCHI' ambayo tutatuma ujumbe wa tunayojua hayako sawa..maana kuna watu hawatishwi polisi wala takukuru
Ni wajibu Wa kila mtanzania kuwa mlinzi Wa taifa letu pendwa.
 
Kuna Afsa Elimu mmoja hivi wilaya fulani nimeona pia amefanya ujinga mwingi wakati wa kupokea walimu wapya kwenye wilaya yake.Naendelea kumfatilia labda alipitiwa,Kama ndo tabia yake basi ATAJUA HAJUI.
 
Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.

Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.

Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?

Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?

Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.

Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.

Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.

Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?

Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?

Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.

Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu
Hako kajinga kanaitwa lotto kanatumia lID ya lotto3 kanajitahidi kubadili ID bila umakini ni mratibu elimu kata ya Buigiri ni puppet Wa hao wajinga

Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.

Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.

Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?

Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?

Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.

Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.

Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.

Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?

Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?

Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.

Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu
 
Poleni sana walimu chapeni kazi, ila punguzeni tamaa mnaongoza kutapeliwa Q NET
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Unaandika kama umesoma memkwa! Huwezi kumshawishi mtu yeyote kwamba umesoma na huyo afisa elimu.
 
Back
Top Bottom