Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

tatizo hoja zenu za utetezi kwa huyo kima wenu ni dhaifu mno kwanini amnamtetea asichunguzwe kwani kwenye serikali hii? Kwa ufupi hafai kuwa kwenye nafasi hiyo eneo ambapo ipo ikulu yetu ya jamhuri ya muungano pana heshima yake.
Lete Hoja mezani.

Pamoja na matusi na hasira bado huna Hoja.
Orodhesha makosa ya Zaina ili achunguzwe.

Hakuna mtu atafanyia kazi merely heresay.
Kima au ngedere saaaawa hatujakataa, mwite majina utakayo.

Ila weka Hoja mezani.
1.
2.
3.
4.
5.
Achana na hizi habari sijui za kukwapua mume wa mtu.
Kwa taarifa tu Prof na Zaina wala sio wa leo kuwa wewe ndo umelipua bomu, ni mumewe wa ndoa huyo.
So hii nayo sio habari.
Na wala haikuwa tu, as bado ni kitu binafsi hakihusiani na Ajira yako wala yake.
Lete Hoja Mwalimu!
 
Zainab sio jeuri.
Ni mkimya na mtaratibu mno.
Na ujeuri ni kanuni ipi ya Kitaaluma amekiuka?
Walimu na watumishi idea ya Elimu wana Tume yao ya Maadili.

Zainab amekiuka kanuni ipi miongoni mwao?
Huyu mleta uzi anasema mjeuri
Ndy nme m qoute tu

Ova
 
Mwandishi kaa uandike vizuri. Tabia zake zinazofanya asifae katika nafasi hiyo ni zipi.
 
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli
Kama wamewekww mfukoni unataka kujua Nini
 
Na niombe walimu tulioko Chamwino hebu tujitokeze hapa na kusema ukweli dhidi ya kiongozi wetu huyu, hivi ni lini aliwahi kumfukuza mwalimu kwenye kikao? lini aliwahi kuwajibu walimu vibaya, narudia tena na tena naomba tumwogope Mungu na tuseme kweli.

Hofu ya Mungu itawale katika ndimi na mioyo yetu
Naona una mtetea sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe lazima utakuwa na una maslahi nae bila chenga
 
Mtu mwenye madaraka anaeweza kukujibu "Kafie mbele huko...afterall kila mtu atakufa" mtu wa aina hii unaona ni mtu timamu kweli au ethics za kazi huzijui?

She belongs to the streets anytime from now ajiandae. Wacha hili bango limfikie mkulu tuone kama hio kinga ya Professor flani itamsaidia.

Wanawake aina hii ukichunguza hata mume hawezi kuwa nae kabisa.
Uchunguzi unaonesha maafisa elimu wengi hawana mume Ila michepuko

Eidha wanaliwa na wakurugenzi au wakuu wa idara Happ halmshauri [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
tatizo hoja zenu za utetezi kwa huyo kima wenu ni dhaifu mno kwanini amnamtetea asichunguzwe kwani kwenye serikali hii? Kwa ufupi hafai kuwa kwenye nafasi hiyo eneo ambapo ipo ikulu yetu ya jamhuri ya muungano pana heshima yake.
Mwandishi hana hoja au tuhuma za kuchunguza.
 
Lete Hoja mezani.

Pamoja na matusi na hasira bado huna Hoja.
Orodhesha makosa ya Zaina ili achunguzwe.

Hakuna mtu atafanyia kazi merely heresay.
Kima au ngedere saaaawa hatujakataa, mwite majina utakayo.

Ila weka Hoja mezani.
1.
2.
3.
4.
5.
Achana na hizi habari sijui za kukwapua mume wa mtu.
Kwa taarifa tu Prof na Zaina wala sio wa leo kuwa wewe ndo umelipua bomu, ni mumewe wa ndoa huyo.
So hii nayo sio habari.
Na wala haikuwa tu, as bado ni kitu binafsi hakihusiani na Ajira yako wala yake.
Lete Hoja Mwalimu!
Tatizo wote mnaomtetea labda hamjajipanga vizur au mnajifanya wehu,mimi nimemuomba waziri amchunguze yeye ndiye atakae jua msafi au hafai,pengine mngeungana na mimi basi kusisitiza achunguzwe ili huo umalidadi wake uwekwe wazi kuliko mnavyokuja kufinyanga maneno hapa,kumbuka afisa elimu huyu ndani ya ofisi yake anafanya kazi kwa ubaguzi kuna watu wake baadhi ndio anaenda nao sawa pia unaushogashoga na baadhi ya walimu ambao nao wanawasumbua walimu wakuu wao kisa shoga wa afisa elimu manawatishia mpaka kuwaamisha wenzao kisa shoga wa afisa elimu nenda kaulize buigiri mision shule ya msingi pale hiyo ni miongoni tu na ndio nyie mnaokuja na huo utetezi dhaifu achilia mbali lotto ambaye ni puppet na keherehere!!
 
Naona una ukaribu na huyo mdada ,ila ukwel halmashaur nyingi zilizo chini ya wamama hasa ma Afisa Elimu msingi Ni watu wa hovyo Sana na Wana dharau balaa ,Sekondari sio Sana sijui kwavile hawa wa sec mara nyingi Elimu zao sio za kuunga unga Kama hao wa msingi wanaotokea cheti,diploma Kisha degree yaan Ni watu wa hovyo Sana .

Ukifuatilia comments kibao hapo juu utagundua huyo ndugu yako ana vitabia vya hovyo ,lakin mshaur kuwa swala likishafika jamii forum ahesab maumivu tu maana hii platform inapitiwa na watu kitengo kibao so kuanzia Sasa ivi Ni ama aache huo ujinga au akubal kuachia ofisi .

Saiz atakuwa chini ya uchunguz mkali bila yeye mwenyew kujijua ili waone Kama anaonewa au ndivyo alaivyo .Muda utatoa majib sahihi
Maybe uko right but path ya elimu ya mtu hai determine tabia yake na ethics.
Wako watu wamesoma from diploma to degree mpaka masters. Na wako vizur.. ni watu wasikivu sana sana.

Wapo waliosoma degree to Phd ni wasikivu sana.

Dharau mtu anakuwa nazo before. Haijalishi kasomea kiasi gani na kapita njia gani kutokea hapo.
 
Naona upo kazini!
Mkuu sijalaumu, ila nashauri mjadala ungekuwa bora kama ungejikita katika utendaji wa HM husika, kuliko kupoint out watu wa kafara.
UZEMBE UPO, ILA HAUCHUNGUZWI. UBOVU WA HUDUMA UPO ILA HAUSEMWI. NA HUYU MWANDISHI PROBABLY KABISA ANAJUA
LAKINI ANAKWEPA KUSEMA [emoji38][emoji38][emoji28]
 
Nianze kwa kukupa pole na majukumu ya kitaifa, nikupongeze pia kwa kuimudu vema wizara yako kwani unamsaidia vema mh Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli.

Niende sasa kwenye mada yangu lengo kubwa ni kutaka kujua hivi unajua kwamba Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili hata dakika moja nafasi hiyo kwenye wilaya ambapo ndio Makao ya Ikulu ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania?

Mbali na kashfa kubwa ya mtihani wa Taifa darasa la saba 2020 iliyopelekea baadhi ya wenzake kubebeshwa msalaba wakati yeye ndie muhusika wa hiyo michezo miaka yote, tunajiuliza ni nani anamlinda Dada huyu?

Dada anaamini walimu wake ni kama mbwa tu! Mama Ndalichako kwa unyenyekevu fanya uchunguzi wa kina, mchunguze huyu Dada ni jeuri nani anamlinda huyu (japo kuna tetesi kwamba kuna kigogo pale Manisipaa Dodoma) huyu mama akiharibu anapenyapenya juu kuzima kashfa zake.

Binafsi najua hajaingia kwenye kumi na nane za Rais Magufuli lakini nakushauri mchunguze ikiwezekana Fanya ziara ongea na walimu wa Wilaya ya Chamwino, wanalilia mioyoni.

Tafadhali Mama wilaya yetu ilipo Ikulu yetu pendwa weka MTU muwajibikaji Wa aina yako kwa ufupi afisa elimu huyu haendani na kasi ya Rais Magufuli. Naomba nikusisitize mchunguze kwa manufaa ya wilaya ya Chamwino ikulu.
Hana sifa ni sifa zipi za kuwa Afisa Elimu hana degree? wewe utakuwa ni mwl lakini unataka kuwa Afisa Elimu
 
Walimu wa praimari kwakulialia?!? Hamna mjanja mmoja amwombe afu mumvamie kumi? Hapo ataomba yeye kuhama...
Hamuwezi basi mlogeni... msitusumbue great thinkers tuache kujadili taifa tumuwaze mtoto wakike mrembo anayewatukana kizembe, tutawatukana nasisi hamna adabu.
 
Tatizo wote mnaomtetea labda hamjajipanga vizur au mnajifanya wehu,mimi nimemuomba waziri amchunguze yeye ndiye atakae jua msafi au hafai,pengine mngeungana na mimi basi kusisitiza achunguzwe ili huo umalidadi wake uwekwe wazi kuliko mnavyokuja kufinyanga maneno hapa,kumbuka afisa elimu huyu ndani ya ofisi yake anafanya kazi kwa ubaguzi kuna watu wake baadhi ndio anaenda nao sawa pia unaushogashoga na baadhi ya walimu ambao nao wanawasumbua walimu wakuu wao kisa shoga wa afisa elimu manawatishia mpaka kuwaamisha wenzao kisa shoga wa afisa elimu nenda kaulize buigiri mision shule ya msingi pale hiyo ni miongoni tu na ndio nyie mnaokuja na huo utetezi dhaifu achilia mbali lotto ambaye ni puppet na keherehere!!
Huna hoja ya msingi unajua.
Yani thread inafika page ya 8, na hutaweza simamisha Hoja zako.
Hata ukiweka mbele ya hizo mamlaka za kumuwajibisha huyu afisa Elimu ndo tutaongea hivi?😂😂😂😂😂😂😂.

Halafu wewe ni mwalimu.
Hebu jifunze kuandika kitu ueleweke.
Matusi hayakusaidii.

Orodhesha Hoja zako kwa kituo.
Weka ushahidi.
Haya maneno sijui wehu, ushoga ushoga sijui puppet nini mbona hujawasilisha kitu ndugu yangu.

Kaa chini,andika Hoja zako za msingi.
Wasilisha mahala husika.
Mi hata nikimtetea sina mamlaka ya kumchunguza wala kumuwajibisha Zaina.
Sawa?

Nenda kwenye forum husika, bwaga Hoja zako.
Wazifanyie kazi.
Kama una ushahidi mbona kila kitu kitakuwa wazi.
Hata uchunguzi hautakuwa na haja, ila kwa kuwa unaamini ukiniita mwehu, ukimwita Kishegwe mchepuko, sijui analeta ushoga ushoga.
Unaamini ndizo hoja.
Basi kila la kheri
Tatizo lako litatatuliwa.
 
Baadhi ya walimu wengi wakike ni matatizo tu huko mashuleni hasa wake wa viongozi.

Unakuta wamekalia majungu na vikundi vya umbeya.
 
Back
Top Bottom