Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Prof. Palamagamba Kabudi has admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory Gwanda has “disappeared and died”

Mungu akitaka kukuaibisha hata ufanyaje huna ujanja kuepuka!
 
Akili zemu nyepesi sana..
Mnangangania tafsiri yenu ndio iwe universal..?!

Kusema amepotea na kufa bado ni assumption sababu hakupatikana, sasa nyny vichwa panzi mshatengeneza script..
Sasa kama ni kupotea tu na haonekani utawezaje kusema mtu kafa...!
Kufa na kupotea ni vitu tofauti kabisa.
 
Nimesoma kichwa cha thread, nikasema kama kapotea, Waziri atajuaje kwamba kafariki?

Nikasema ngoja nisikilize clip nimsikie Waziri.

Nimemsikia Waziri anachemka kama kawaida yake, kakosea jina, anataja Azory Rwanda.

Naona Rwanda imemkaa sana kichwani.

Lakini sijasikia Waziri akisema lolote kuhusu kifo.

Mtoa mada anaweza kutupa uhakikisho kwamba hiyo habari ya kifo kusemwa na Waziri ni ya kweli na si ya kutungwa tu?
Mkuu rudia tena kuisikiliza hiyo clip vizuri....
 
unapomsoma na kumsikiliza Prof.Kabudi kama unamsikiliza Mbowe au Sugu lazima utoke kapa. that man ability is beyond your understanding, hivyo jitahidi kumuelewa zaidi
Hekima huwa inapatikana kutoka jalalani?
Kweli ccm mmekwisha,kwa kuwa na profesa wa sampuli hii
 
Jana DW radio walikuwa na kipindi cha mbiu ya mnyonge. Imenisikitisha sana.
Waliongelea matukio ya utekwaji na mauaji yanayoendelea Tanzania bila vyombo vya dola kutoa majibu ya maana au kujikalia tu kimya kama hakuna kinachoendelea.
Wameielezea Tz iliyokuwa inajulikana kama kisiwa cha amani kwa sasa imegeuka kuwa nchi ya hofu na kukosa matumaini kwa raia wake kuiona kesho.
Uhuru wa maoni umeuawa, haki za binadamu kutoheshimiwa na demokrasia kuminywa imekuwa ni maisha ya watanzania kwa sasa.
Imeniuma kweli!

Ni wapi kama taifa tumekosea?
Aisee acha ujinga mkuu! Hivi wewe hapo una wasiwasi wa nini hasa?

Tuseme hata ukikaa na familia yako unaweza kabisa kuhofia maisha yako kwa lipi la kuitisha selikali ulilofanya?
 
katika mahojiano ya kiswahili hivi karibuni na BBC,Prof Kabudi ameeleza Azory ametoweka hakusema amekufa na latest information ndiyo yenye kuweka clear taarifa yenye mgogoro
 
Mungu akitaka kukuaibisha hata ufanyaje huna ujanja kuepuka!


Aiseee porofesa kabugi hapo alipotumia "and" kwenye ishu ya Azory..angetumia "or" wala huu uzi usingepandishwa hapa. Nadhani angesema [In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared OR died] ila aliposema "In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared AND died" hapo ndo ukakasi ulipoanzia....facial expression ya mwandishi tho.....mmmmhhh...Kabudi weeeee....Kama namuona Jiwe.
 
Exactly !

Aiseee porofesa kabugi hapo alipotumia "and" kwenye ishu ya Azory..angetumia "or" wala huu uzi usingepandishwa hapa. Nadhani angesema [In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared OR died] ila aliposema "In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared AND died" hapo ndo ukakasi ulipoanzia....facial expression ya mwandishi tho.....mmmmhhh...Kabudi weeeee....Kama namuona Jiwe.
 
Amesema "Azori amepotea na amekufa"

Wasiojulikana wanazidi kujitokeza bila kujua...

Kajuaje Azori amededi??

Ndio maana akiitwa mpumbavu annashangilia??

Wasomi wa majalalani tabu sana
Umemaliza kwa hasira sana mkuu... Ila hawa morons called academicians wanatuharibia nchi kwa kweli...
 
Akihojiwa na mtangazaji Zuhura Yunus wa BBC, waziri Kabudi amesema Tanzania kuna uhuru wa kutosha wa vyombo vya habari.

Alipoulizwa kuhusu kupotea kwa mwandishi Azory, Prof Kabudi amesema serikali inaendelea na uchunguzi.

Waziri amesema hali ya Kibiti na Mkuranga ilikuwa tete na haijawahi kutokea tangu Tanzania ipate uhuru wake.

Askari wa polisi, viongozi wa serikali za mitaa na viongozi wa chama tawala CCM waliuawa katika kadhia hiyo lakini kwa sasa amani imerejea na hali ni shwari.

Chanzo: BBC Dira ya Dunia!

UPDATES;

Palamagamba has just admitted on BBC FOCUS ON AFRICA that Azory has “disappeared and died”.

WAZIRI wa Mambo ya ndani Palamagamba Kabudi akiri mwandishi wa Habari Azory Gwanda alitoweka na kufariki, ikiwa ni zaidi ya siku 500 tangu kutoweka kwa mwandishi huyo wa habari za uchunguzi.
View attachment 1150947



















Aiseee porofesa kabugi hapo alipotumia "and" kwenye ishu ya Azory..angetumia "or" wala huu uzi usingepandishwa hapa. Nadhani angesema [In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared OR died] ila aliposema "In the rufiji area, it is not only Azory who has disappeared AND died" hapo ndo ukakasi ulipoanzia....facial expression ya mwandishi tho.....mmmmhhh...Kabudi weeeee....Kama namuona Jiwe.
 
Kazae nae Mahiga wako

Kwa matusi tuu na maneno ya kuudhi, mmejaaliwa nyie, kuanzia baba yenu anaewaita wenzie wapumbavu mpaka nyie wa buku 7 mitandaoni.. Argue the point not the person.. Kabudi amesema hapo kwamba sio Azory peke yake aliepotea na kufa huko kibiti.. Hajasema sio Azory peke yake aliepotea au kufa.. Badala ya maneno ya kukerehesha, elezea wewe ufahamu wako kwa hiyo kauli..
 
Back
Top Bottom