chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimefuatilia interview ya Prof. Safari aliyofanya majuzi, pamoja na mengine, nimeondoka na nukuu hiyo kwamba watanzania hawana utamaduni wa kusoma, kwe ye usafiri wa umma wanashindana kula.
Hii ni kweli kabisa, ni kama tuna mzimu wenye njaa ya kula, basi likisimama ni mbio madirishani au hotelini kufakamia menu, baada ya hapo matumbo ndiii kama Meya wa stendi ya zamani kabla ya ile ya JPM.
Upande basi moja na waha au wasukuma, wanatembea na stoku ya viazi na karanga walivyochemsha jana, au ugali na dagaa.
Hii ni kweli kabisa, ni kama tuna mzimu wenye njaa ya kula, basi likisimama ni mbio madirishani au hotelini kufakamia menu, baada ya hapo matumbo ndiii kama Meya wa stendi ya zamani kabla ya ile ya JPM.
Upande basi moja na waha au wasukuma, wanatembea na stoku ya viazi na karanga walivyochemsha jana, au ugali na dagaa.