Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Ku

Kushiba kwa CV kusikutishe mkuu tunataka kujua kinyesi Cha Ng'ombe Kilo 25 kwa siku alishawahi kufanya observation hii au literature.

Mkuu angalia namba ya publications na hata citations:

IMG_20220320_151105_463.jpg


Utakosa hofu hapo?

Kumvaa peku peku si inaweza kulinganishwa na fundi baiskeli wa kijiweni, kujaribu kumnanga scientist wa NASA kwenye mambo ya janga za juu?

Ni hapo mkuu ndipo nilipokikwaa kisiki. Kwa hakika nilikuwa nimempania kweri kweri.

Ndipo nikadhani ni heri tungewasikia wabobezi wengine nao wanasema je kabla ya kina sisi kuanza kuanika kutokujua kwetu?

Ni hayo tu mkuu.
 
Ni kweli mkuu kwakua mimi sio kilaza.

Toka tumepata uhuru hakuna jambo lolote la maana tumepata toka hicho chuo.

Kwa ufupi tu hakuna mtu yeyote makini aliyepoteza muda wake kusoma pale.

Yule shujaa wako mpima mapapai alisoma wapi?
 
Niko wazi mkuu huyu jamaa yumkini si reja reja.

Alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali huyu mwamba?

Yumkini hawezi kuwa reja reja.
Kuwa straight

Sio unaandika kama Hadija kopa

What is your point?
 
Tukumbushane Kuwa kabla ya kuingia kwa uekezaji mkubwa wa madini ardhi kubwa katika eneo hilo ilikuwa ikitumika kwa kilimo na ufugaji zaidi, hicho kipindi ndicho mto mara ungekuwa na concentration kubwa ya vinyesi katika mto Mara na viunga vyake ikiwemo moto Tingite lakini haikutokea Hivyo.

Je ni kwanini Tatizo hili linatokea wakati kuna uchimbaji mkubwa wa madini katika eneo hili ambapo kwa watu wa eneo hili hatuna mifugo mingi ukilinganisha na kipindi cha nyuma?

Lakini hii imekuwa ikitokea baada ya shughuli za uchimbaji kupanuka zaidi katkika maeneo hayo.

Kiufupi tumepigwa.kwasababu utafiti wa awali walisema kuna mafuta.

Na mafuta nikitu kinacho onekana kwenye maji kwann wamesema mikojo .

naomba utafiti wa Mto Mara urudiwe kwa usalama wa afya za watu
FB_IMG_1647780079351.jpg
 
Kuwa straight

Sio unaandika kama Hadija kopa

What is your point?

Hadija Kopa hana uwezo wa kufanya background check kabla ya kumvaa mtu.

Nilikuwa nimedhamiria kumvaa huyu professor lakini tofauti na ambavyo Hadija Kopa angefanya, nimefanya background check kwanza.

Matokeo yake nikakikwaa kisiki, nikashindwa. Ninadhani ningependa kupata inputs zaidi kwanza.

Vipi wewe unazo?

Umeiona tofauti yangu na model wako uliye mtaja ilipo?
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leo hii ikiwa ni department ya Chemical and Mining Engineering Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Njaa inaondoa yote haya uliyoandika.

Hicho kinyesi cha wanyama ndo kimeanza Jana au juzi mpk Leo hii maji yawe meusi.

Kwa Tanzania ukiitwa Profesa ujue umetukanwa
 
Nafahamu vyema Mto Mara.

Wananchi wameanza kufuga miaka nenda rudi nikiwa na miaka 10 sasa hivi nakaribia miaka 70.

Mbona wakati huo wote maji hayajabadilika rangi mpaka juzi tu.

Mifugo walianza kunyea Mto Mara tangu huko zamani na hapakutokea kitu kama hicho.

Sisi si wasomi lakini.........
 
Njaa inaondoa yote haya uliyoandika. Hicho kinyesi cha wanyama ndo kimeanza Jana au juzi mpk Leo hii maji yawe meusi. Kwa Tanzania ukiitwa Profesa ujue umetukanwa

Mkuu wangu hapa chini ni bandiko langu jana punde baada ya kusikia habari hizi:

IMG_20220320_155715_625.jpg


Uzi:

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kimsingi nilikuwa na usongo mkubwa na huyu mwamba ndiyo kisa katika kujizatiti nikayakuta na haya:

Mkemia Mkuu Ato Siri ya Kupimwa Mkojo kwa Wahalifu

Ukikuta hayo kimsingi unafanya je ukigundua kumbe maji ni marefu?

Kiungwana tunatafuta inputs zaidi.

Au nasema uongo ndugu Kennedy ?
 
Naona hawa maprofesa wetu kuajiriwa kwao kwenye vyuo vya umma ni kama vile wanajiona wana jukumu la kuifanyia kazi CCM na serikali yake pia, ndio maana wakati mwingine huweka taaluma zao pembeni.
 
Tukumbushane Kuwa kabla ya kuingia kwa uekezaji mkubwa wa madini ardhi kubwa katika eneo hilo ilikuwa ikitumika kwa kilimo na ufugaji zaidi, hicho kipindi ndicho mto mara ungekuwa na concentration kubwa ya vinyesi katika mto Mara na viunga vyake ikiwemo moto Tingite lakini haikutokea Hivyo.
Je ni kwanini Tatizo hili linatokea wakati kuna uchimbaji mkubwa wa madini katika eneo hili ambapo kwa watu wa eneo hili hatuna mifugo mingi ukilinganisha na kipindi cha nyuma?
Lakini hii imekuwa ikitokea baada ya shughuli za uchimbaji kupanuka zaidi katkika maeneo hayo.

Kiufupi tumepigwa.kwasababu utafiti wa awali walisema kuna mafuta. Na mafuta nikitu kinacho onekana kwenye maji kwann wamesema mikojo .naomba utafiti wa Mto Mara urudiwe kwa usalama wa afya za watu
View attachment 2158021

Kama Prof. Mbobezi Chemical and Process Engineering na Kama alitewahi kuwa Mkemia Mkuu wa Serikali siku za karibuni.

Prof. Samuel Manyele hawezi kuwa mchumi wa weledi, wasaidizi au hata vifaa.

Kama ripoti hii si sahihi basi tunao milima mkali na mrefu mno wa kupanda!
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leo hii ikiwa ni department ya Chemical and Mining Engineering Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Boss, tulia sana! Huyu siyo mkemia.

Hana sifa ya kuitwa mkemia.

Miaka yote alisifika kwa kutengeneza mapipa ya kuchonea uchafu, yeye akiyaita incinerator.

Yote yalishaoza. Nafasi ya mkemia mkuu alipewa kwa upendeleo wa wazi, bila sifa.

Hili la samaki ni jambo la mazingira. Profesa huyu hana sifa hiyo na kwa tamaa ya kusikika, alikubali jukumu hilo.

Yaonekana Waziri hakuhitaji ukweli maana chombo cha kitaifa ni NEMC.

Kwa nini aunde tume nje yaofisi yake?

Huu ndo uzembe wa uongozi.

Tunaishia kuandikiwa ripoti duni kama hii.
 
Boss, tulia sana! Huyu siyo mkemia. Hana sifa ya kuitwa mkemia. Miaka yote alisifika kwa kutengeneza mapipa ya kuchonea uchafu, yeye akiyaita incinerator. Yote yalishaoza. Nafasi ya mkemia mkuu alipewa kwa upendeleo wa wazi, bila sifa.

Hili la samaki ni jambo la mazingira. Profesa huyu hana sifa hiyo na kwa tamaa ya kusikika, alikubali jukumu hilo. Yaonekana Waziri hakuhitaji ukweli maana chombo cha kitaifa ni NEMC. Kwa nini aunde tume nje yaofisi yake? Huu ndo uzembe wa uongozi. Tunaishia kuandikiwa ripoti duni kama hii.

Kwenye red kunamhusu huyu bwana:

IMG_20220320_170232_342.jpg


Kitaaluma takwimu hizo ndizo vigezo muhimu kuutambua ubobezi wa mtu.

Ninadhani Professor ni mbobevu, hajapungukiwa wasaidizi wala vifaa ambavyo angehitaji.

Bila shaka hata ofisi ya Mkemia Mkuu angeitumia kwa hili angehitaji.

Isitoshe kwenye timu ya ufundi hakuwa peke yake.

Kwani maelekezo kutokea juu yalikuwa je labda?
 
Back
Top Bottom