Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Mkuu wangu hapa chini ni bandiko langu jana punde baada ya kusikia habari hizi:

View attachment 2158036

Uzi:

Kamati: Kinyesi na Mikojo ya Mifugo ndiyo chanzo cha kufa samaki mto Mara, sio sumu ya maji ya Migodini

Kimsingi nilikuwa na usongo mkubwa na huyu mwamba ndiyo kisa katika kujizatiti nikayakuta na haya:

Mkemia Mkuu Ato Siri ya Kupimwa Mkojo kwa Wahalifu

Ukikuta hayo kimsingi unafanya je ukigundua kumbe maji ni marefu?

Kiungwana tunatafuta inputs zaidi.

Au nasema uongo ndugu Kennedy ?
Ile disaster inakulikana chanjo

Kuna report ya jamaa wa Great Lake initiative na po kuna several online reports hata kwenye East African newspapers zimewahi kugusia hizi issues

Prof ana issue huyo
 
Ile disaster inakulikana chanjo

Kuna report ya jamaa wa Great Lake initiative na po kuna several online reports hata kwenye East African newspapers zimewahi kugusia hizi issues

Prof ana issue huyo

Naona habari zaidi hapa:

 
Niko wazi mkuu huyu jamaa yumkini si reja reja.

Alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali huyu mwamba?

Yumkini hawezi kuwa reja reja.
Usizoee kuwa wazi mkuu kwani sio kitu kizuri.
 
Usizoee kuwa wazi mkuu kwani sio kitu kizuri.

Tafsiri yako ya kuwa wazi isiyokuwa universal haina maana yoyote nje yako wewe mwenyewe.

Huo si ndiyo ustaarabu mjomba?

Au kuna mahali nimekugusa?

Pole lakini Mh. Waziri.
 
Huyu Prof,nadhani ndiye huwa akifika kwao,anafikia loji hadi anasepa,kule Msanzi,Sumbawanga,au nimechanganya?

Kama niyeye,sijui anatumiaga theory ipi kufanya hivyo,anyway.

tumeipokea ripoti kwa hisia tofautitofauti.
 
Background check zinaleta mrejesho huu muhimu:

Prof. Samuel Manyele ni msomi mbobevu wa shahada ya Ph.D katika iliyokuwa department ya Chemical and Process Engineering ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Leo hii ikiwa ni department ya Chemical and Mining Engineering Jalalani hapo.

View attachment 2158001

Prof. Samuel Manyele alikuwa Mkemia Mkuu wa Serikali katika serikali ya Rais Kikwette na pia mwanzoni mwa serikali ya JPM.

Kwa highlights hizi ninashawishika kwenda mdogo mdogo kuhusiana na ripoti yake.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.

Prof. Samuel Manyele yumkini hawezi kuwa mtu reja reja kama tulio wazowea kutokea jalalani.

Hapa itabid Professor aelezee pia kama kinyesi cha ng'ombe kina sumu ,ni kwa jinsi gani Nyama ya Ng'ombe wenye Kinyesi hicho ni salama kula?
 
Hapa itabid Professor aelezee pia kama kinyesi cha ng'ombe kina sumu ,ni kwa jinsi gani Nyama ya Ng'ombe wenye Kinyesi hicho ni salama kula?

Ila mwenyewe kasema nje ya ng'ombe vinyesi vimeshambuliwa na bacteria kutengeneza gas ya Methane.

Process hiyo ikala Oxygen iliyokuwa kwenye maji.

Samaki hawajafa kwa sumu ila kwa kukosa hewa ya Oxygen kwenye maji.

Umeona hoja yako inaposambaratika kwa mujibu wa madai yake?
 
Mkuu angalia namba ya publications na hata citations:

View attachment 2157939

Utakosa hofu hapo?

Kumvaa peku peku si inaweza kulinganishwa na fundi baiskeli wa kijiweni, kujaribu kumnanga scientist wa NASA kwenye mambo ya janga za juu?

Ni hapo mkuu ndipo nilipokikwaa kisiki. Kwa hakika nilikuwa nimempania kweri kweri.

Ndipo nikadhani ni heri tungewasiki wabobezi wengine nao wanasema je kabla ya kina sisi kuanza kuanika kutokujua kwetu?

Ni hayo tu mkuu.
Nakuelewa mkuu lkn kumbuka lupia inatabia ya kuvunja sheria na kununua haki.
 
Mkuu angalia namba ya publications na hata citations:

View attachment 2157939

Utakosa hofu hapo?

Kumvaa peku peku si inaweza kulinganishwa na fundi baiskeli wa kijiweni, kujaribu kumnanga scientist wa NASA kwenye mambo ya janga za juu?

Ni hapo mkuu ndipo nilipokikwaa kisiki. Kwa hakika nilikuwa nimempania kweri kweri.

Ndipo nikadhani ni heri tungewasikia wabobezi wengine nao wanasema je kabla ya kina sisi kuanza kuanika kutokujua kwetu?

Ni hayo tu mkuu.
Wewe mtu unaelekea kuwa bwege. Hizo publication ndo CV ya Tanzania?

Huyu mtu ni wa hovyo kabisa!

Amewahi kufanya nini ktk hiyo nyanja ya uchafuzi wa mazingira hadi atueleze mavi ya ng'ombe kuwa sumu ya samaki?

Mshenz huyu! Naona anawinda kurudishiwa nafasi ya mkemia mkuu wa serikali ambayo aliitumia vibaya.
 
Kwenye red kunamhusu huyu bwana:

View attachment 2158138

Kitaaluma takwimu hizo ndizo vigezo muhimu kuutambua ubobezi wa mtu.

Ninadhani Professor ni mbobevu, hajapungukiwa wasaidizi wala vifaa ambavyo angehitaji. Bila shaka hata ofisi ya Mkemia Mkuu angeitumia kwa hili angehitaji.

Isitoshe kwenye timu ya ufundi hakuwa peke yake.

Kwani maelekezo kutokea juu yalikuwa je labda?
Tangu waziri aliyemteua na yeye mwenyewe na timu yake wote hovyo!

Naona kama ni wewe Mnyere unajiita brazaj.

Sijui kwa nini unaleta publication ka akigezo cha ubobezi ameandika vitu gani bhana?

wewe vipi bado una ujinga wa primary mbona?
 
Wewe mtu unaelekea kuwa bwege. Hizo publication ndo CV ya Tanzania? Huyu mtu ni wa hovyo kabisa! Aemwahi kufanya nini ktk hiyo nyanja ya uchafuzi wa mazingira hadi atueleze mavi ya ng'ombe kuwa sumu ya samaki? Mshenz huyu! Naionba anawinda kurudishiwa nafasi ya mkemia mkuu wa serikali ambayo aliitumia vibaya.

Bwege mbona ni wewe mjomba?

Hata kusoma hata unelewa wewe kweli au ni ile ile ya kujishasha kikwetu Missenyi, buana?

IMG_20220320_201138_788.jpg


Wapi unaposoma CV?

Wapi unaposoma sumu?

Kwamba kafanya nini? Kwani wewe umefanya nini hata kujipa mwenyewe ujasiri wa kuhoji hayo kwa wengine?

Busara kujikita kwenye mada kuliko kujishasha ati kuwa wewe ndiye kinara.

Bure kabisa!
 
Bwege mbona ni wewe mjomba?

Hata kusoma hata unelewa wewe kweli au ni ile ile ya kujishasha kikwetu Kagera buana?

View attachment 2158413

Wapi unaposoma CV?

Wapi unaposoma sumu?

Kwamba kafanya nini? Kwani wewe umefanya nini hata kujipa mwenyewe ujasiri wa kuhoji hayo?

Busara kujikita kwenye mada kuliko kujishasha ati kuwa wewe ndiye kinara.

Bure kabisa!
Mimi ni Mkulima wa parachichi hapa Njombe.

Usileta mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandika.

Kwani Lipumba siyo profesa mbombezi?

Naomba nami nikufahamu wewe ni nani?

Maana hapa sasa unaanza kuleta mambo ya walimu wa vyuo vikuu wanapofundisha mwaka wa kwanza.

Be careful! Tupo graduates tuko mikoani tunalima na tunafahamu mbombezi ni nani na feki ni nani!
 
Tangu waziri aliyemteua na yeye mwenyewe na timu yake wote hovyo! Naona kama ni wewe Mnyere unajiita brazaj. Sijui kwa nini unaleta publication ka akigezo cha ubobezi ameandika vitu gani bhana? wewe vipi bado una ujinga wa primary mbona?

Kwamba unaona Mnyere ni miye 😂😂, kuna hata haja ya kukujibu wewe?

IMG_20220320_202747_637.jpg
 
Back
Top Bottom