Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Prof. Samuel Manyele wa Tume ya vinyesi vya Ng'ombe Mto Mara

Kwamba unaona Mnyere ni miye 😂😂, kuna hata haja ya kukujibu wewe?

View attachment 2158426
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani.

Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi.

What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?
 
Labda haya Maji ya Mto Mara yapelekwe kwenye mashamba kwa kuwa yana nguvu na ya bure mara 25!?
 
Mimi ni Mkulima wa parachichi hapa Njombe. Usileta mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandika. Kwani Lipumba siyo profesa mbombezi?
Naomba nami nikufahamu wewe ni nani? Maana hapa sasa unaanza kuleta mambo ya walimu wa vyuo vikuu wanapofundisha mwaka wa kwanza. Be careful! Tupo graduates tuko mikoani tunalima na tunafahamu mbombezi ni nani na feki ni nani!

Kwamba nisilete mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandikia 😂😂?

Kulikoni kunikasirikia hivyo? Kwa sababu nilichukua wakati kumkagua huyu bwana nikapata background yake?

Au ulitaka nikukague wewe? Kwa sababu ya hicho ki avatar uchwara chako unadhani labda wewe ni mali sana?

Jikite kwenye mto Mara mjomba huko ndiko mada iliko.

Hiiiiii bagosha!
 
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani. Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi. What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?
Hujamuelewa huyo jamaa
 
Kwamba nisilete mambo ya mitandaoni ambayo kila mtu anajiandikia 😂😂?

Kulikoni kunikasirikia hivyo? Kwa sababu nilichukua wakati kumkagua huyu bwana nikadhani background yake?

Au ulitaka nikukague wewe? Kwa sababu ya hicho ki avatar uchwara chako?

Hiiiiii bagosha!
Who are you to say ulimkagua?

Can we trust your personal assessment as a yardstick of someones quality?

Don't mislead JF's good analytical minds based on your non-seriousness behaviour!
 
Baada ya mneseji hizi chache, nimeshaelewa uko kiwango gani. Kwa kuthibitisha hilo hebu tujadili vigezo unavyotumia kulazimisha kwamba huyu profesa ni mbombezi. What exactly, do you think, is the indicator of his intellect?

Kwamba mbobezi ni wewe basi ndugu 😂😂?

Usitake ncheke.

Credentials zake huyu zinasema ni mbobezi. Tunatambua pia kuwa kwa kuwa aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, hakukosa:

1. Ujuzi kamili uliohitajika kwa kazi hii
2. Human resource yote aliyohitaji ya kusaidiana naye
3. Vifaa vyovyote alivyohitaji

Unaelewa sababu ya background check sasa?

Ripoti ya Vinyesi vya Ng'ombe mto Mara haishawishi

Zaidi sana tuko huko pia.

Kujimwambafy tabia zenu bakini nazo. Sisi yetu ni kuchambua mambo.

Si zaidi wala si pungufu.

Habari ndiyo hiyo.
 
Kwamba mbobezi ni wewe basi ndugu 😂😂?

Usitake ncheke.

Credentials zake huyu zinasema ni mbobezi. Tunatambua pia kuwa kwa kuwa aliwahi kuwa Mkemia Mkuu wa Serikali, hakukosa:

1. Ujuzi kamili uliohitajika kwa kazi hii
2. Human resource yote aliyohitaji ya kusaidiana naye
3. Vifaa vyovyote alivyohitaji

Unaelewa sababu ya background check sasa?

Ripoti ya Vinyesi vya Ng'ombe mto Mara haishawishi

Zaidi sana tuko huko pia.

Kujimwambafy tabia zenu bakini nazo. Sisi yetu ni kuchambua mambo. Si zaidi wala si pungufu.

Habari ndiyo hiyo.
Still writing illogical!
 
Who are you to say ulimkagua? Can we trust your personal assessment as a yardstick of someones quality? Don't mislead JF's good analytical minds based on your non-seriousness behaviour!

Kiingereza?

You are very ignorant Mr. Muchunguzi. At my own liberty I am free to write anything of my liking.

Kwani wewe ni JF mjomba? Au hata policies zake nazo huzijui?

Am I here seeking to be trusted? Labda kama wewe ni Kerubi? Huko si ndiko waumini mnakotakiwa ati?

Personal assessment? Where do you read any?

Bure kabisa!
 
Tanzania ya Magufuli haikuwahi kuishiwa vituko mkuu.

Ndiyo kisa ikabidi kujikita kwenye background check kwanza kabla ya kumuibukia mzima mzima kumnanga.

Niliyoyakuta huko ikabidi kuwa mpole kwanza.

Ninakazia, mdogo mdogo. Profesa CV imeshiba kweri kweri.

Tutamweza Huyu? Huyu si wa nyungu wajomba.
Akawadanganye wanasiasa...Wana science tunaongozwa na moral pamoja na ethics
 
Mkuu angalia namba ya publications na hata citations:

View attachment 2157939

Utakosa hofu hapo?

Kumvaa peku peku si inaweza kulinganishwa na fundi baiskeli wa kijiweni, kujaribu kumnanga scientist wa NASA kwenye mambo ya janga za juu?

Ni hapo mkuu ndipo nilipokikwaa kisiki. Kwa hakika nilikuwa nimempania kweri kweri.

Ndipo nikadhani ni heri tungewasikia wabobezi wengine nao wanasema je kabla ya kina sisi kuanza kuanika kutokujua kwetu?

Ni hayo tu mkuu.
Watu wanazo citations mpaka 2000 lakini wengine bado wana walakini....Uki publish na mtu mwenye sifa duniani hizo citation ni kama tu kuona wasanii wanapata likes ngapi...Msiwe obsessed na mambo ambayo yana subjectivity
 
Still writing illogical!

Mr. Muchunguzi buana you seem to had aimed where you could not reach. It is not uncommon.

Pole sana.

Kwetu akibobea mtu tunampongeza. Hatuwezi kubobea wote.

Habari ndiyo hiyo.
 
Tukumbushane Kuwa kabla ya kuingia kwa uekezaji mkubwa wa madini ardhi kubwa katika eneo hilo ilikuwa ikitumika kwa kilimo na ufugaji zaidi, hicho kipindi ndicho mto mara ungekuwa na concentration kubwa ya vinyesi katika mto Mara na viunga vyake ikiwemo moto Tingite lakini haikutokea Hivyo.
Je ni kwanini Tatizo hili linatokea wakati kuna uchimbaji mkubwa wa madini katika eneo hili ambapo kwa watu wa eneo hili hatuna mifugo mingi ukilinganisha na kipindi cha nyuma?
Lakini hii imekuwa ikitokea baada ya shughuli za uchimbaji kupanuka zaidi katkika maeneo hayo.

Kiufupi tumepigwa.kwasababu utafiti wa awali walisema kuna mafuta. Na mafuta nikitu kinacho onekana kwenye maji kwann wamesema mikojo .naomba utafiti wa Mto Mara urudiwe kwa usalama wa afya za watu
View attachment 2158021
Kisha Prof. Akawarusha kwenye wetlands kwa ndege ambako anajua huko lazima atawaokota wasiojua science...

Wetlands are like kidneys ndiko kwenye concentrations za polutionas xozote zinazoletwa na flows ili zichujwe actually ndipo sehemu ambapo sumu zote zinakuwa detoxicated...

Ukiona imezidiwa ujue basi mgonjwa kalishwa sumu na mafigo yameharibika...

We kuonyesha picha za ng'ombe wale kisha ku associate na kinyesi hiyo ni science made in TZ
 
Boss, tulia sana! Huyu siyo mkemia. Hana sifa ya kuitwa mkemia. Miaka yote alisifika kwa kutengeneza mapipa ya kuchonea uchafu, yeye akiyaita incinerator. Yote yalishaoza. Nafasi ya mkemia mkuu alipewa kwa upendeleo wa wazi, bila sifa.

Hili la samaki ni jambo la mazingira. Profesa huyu hana sifa hiyo na kwa tamaa ya kusikika, alikubali jukumu hilo. Yaonekana Waziri hakuhitaji ukweli maana chombo cha kitaifa ni NEMC. Kwa nini aunde tume nje yaofisi yake? Huu ndo uzembe wa uongozi. Tunaishia kuandikiwa ripoti duni kama hii.
Kwanza kuna wataalamu wa bonde, kwanini iundwe tume wakati kuna chombo chakushughulikia hayo mambo na inafanya management ya mabonde yote including kuangalia issues kama hizo?
 
Kwa hakika wasomi wabobezi katika field hii wangejitokeza haraka kusafisha hali ya hewa.

Ingependeza wao kupinga au kuiunga mkono ripoti kwa hoja nzito nzito za kitalaamu.

Hasa hasa kwa pale UDSM ambako ni wajibu wao kukilinda Chuo. Kwani hili jina jalalani halipendezi.
Hili ni la msingi sana...Watu wakikosa trust na science itakuwa kama era ya COVID19 tena
 
Hili ni la msingi sana...Watu wakikosa trust na science itakuwa kama era ya COVID19 tena

Hata SUA na taasisi za mifugo kuendelea kufumba macho, mbona ni kujichimbia makaburi wenyewe?

Fikiria 25kg ya kinyesi cha ng'ombe kwa siku, kikoje?

Inatia huzuni sana.
 
Back
Top Bottom