KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 459
Rekebisha alipokosea,Hapa Issa Shivji amekosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rekebisha alipokosea,Hapa Issa Shivji amekosea.
Ardhi ni mali ya umma.Rekebisha alipokosea,
Professor alivyokosa usingizi, akili yake ikawa imeenda upande kidogo. Kwa jinsi ninavyofahamu, ownership of land kwa TZ ni aina nne----Communal, public, private, state.Porapesa
Mbona tunalipia kodi ardhi tuliyojenga nyumba zetu na kukodishiwa kwa a ,muda maalum wa miaka 33,66,99?
Unazungumzia kuondolewa Wamaasai kwa ajili ya uwindaji wa kitalii lakini umefunga macho juu ya ushiroba na mazalia ya wanyama wala huzungumziii kuwa ni vyanzo vya maji kwa kanda nzima ya uhitadhi.
Huzungumziii kuongezeka mno kwa idadi ya watu na mifugo.
Wewe Fisadi tulia,endelea kulamba asali muda unayoyoma.Mimi sina chama chochote nachokiunga mkono asilani. Nasimamia kwenye ukweli tu. Magufuli mwenyewe alipoingia madarakani siku za mwanzo mwanzo kabla hajaharibu nilimsapoti sana sana...
Ungefafanua kwa kupinga pointi za shivji kwa kunukuu vifungu alivyotaja ungekuwa na hoja , ila k.m ni kwa uelewa wako, nadhani sheria sio fani yako!Prof kaisaidia mambo kadhaa.
Kwamba ili kumhamisha mtu kutoka eneo lake kwenda kwingine, lazima kumlipa...
Kuna ya kuongea ili uckike na kuongea ili ujenge hoja, nadhani umeckika ila hauna hoja!Bwashe huyu Profesa Shivji sasa ameanza kuwa tapeli. Amefundisha kozi ya sheria UD zaidi ya miaka 30 lakini miaka hiyo yote hajawahi kuona mapumgufu hayo hadi leo na kujifanya kuandika Barua ndefu kwa Rais SSH...
Kuna tofauti ya kilichoongelewa na aliyekiongea, k.m ni fact , hata angeongea asiye na cv ingebaki kuwa factNingependa kujua CV ya mtu fulani..inawezekana tatizo linaanzia hapo pia...hii ndio tofauti ya professor mwenye ngozi nyeupe na hawa weusi...ila ngozi nyeusi jamani laana tupu...
Kwa barua ya wazi wengi tutaona facts,k.m sio lazima majadiliano , kuwasilsha ujumbe njia ni nyingi, wewe k.m unaweza ndio uipelke kwa debate ila sio umpangie wapi au namna gani aiwasilisheWatanzania tukianza kumwandikia raisi barua ya wazi kwa kero zetu, is that the effective way of communication? Kwa swala la Loliondo, kama nchi, hatuwezi kupanga what to do effectively, kwa manufaa ya nchi yetu...
Vipi kama serikali iliwakuta wao wapo hapo tangia kipindi cha ukoloni?Walirithishwaje? Maana kwa sheria za nchi arshi ni mali ya serikali. Hakuna ardhi ya mtu. Ndio maana una nunua kiwanja na bado unalipia kodi
Usichoelewa ni kwamba hata wakoloni waliwakuta Wamasai hapo. Kwani wakoloni walipokuja na kusema wamevumbua mlima Kilimanjaro Wachaga walikuwa hawapo hapo?Muulize shivji! Loliondo ni Game Controlled Area tangu mwaka 1951 Tanzania ikiwa chini ya ukoloni inakuwaje anadai ni eneo la Wamasai?
Kweli ukizeeka akili inapungua
Yeye tunajua mchango wake kwa nchi hii, haya hebu tuambie wewe hapa nchini una mchango gani? Ukifa leo utakumbukwa kwa lipi hasa?Bwashe huyu Profesa Shivji sasa ameanza kuwa tapeli. Amefundisha kozi ya sheria UD zaidi ya miaka 30 lakini miaka hiyo yote hajawahi kuona mapumgufu hayo hadi leo na kujifanya kuandika Barua ndefu kwa Rais SSH. Asitumike na wanaharakati, Wakenya na wanasiasa uchwara.
Mwalimu wa Sheria hajawahi kuona wala kushauri mapumgufu hayo ya kisheria toka uhuru huku akifundisha sheria. Kama siyo kuwalisha matango pori wanafunzi UDSM ni nini?
Huenda yeye siyo Mwalimu wa Sheria ya ardhi. Fine! Lakini inaonesha hata kozi anazofundisha huenda zina mapumgufu mengi tu Ila hajawahi kushauri hata siku moja.
Nadhani hukusoma ukaelewa. Prof ameainisha ili ardhi iweze kutumiwa kwa matumizi mengine ni lazima sheria ya kuitwaa hiyo ardhi itumike itumike. Sasa serikali haijafanya hivyoKwa hiyo Taifa kama Taifa halina uhalali wa kuitumia ardhi yake kwa manufaa ya Umma wote wa kitanzani na sio jamii ya kabila fulani tu profeseli?
Ni ukweli umeandika ila huna hoja. Karejee andiko la Prof kwanza! Ni bahati mbaya tuWatanzania tukianza kumwandikia raisi barua ya wazi kwa kero zetu, is that the effective way of communication? Kwa swala la Loliondo, kama nchi, hatuwezi kupanga what to do effectively, kwa manufaa ya nchi yetu?
Kwa Loliondo ipo kwa kuwanufaisha wakenya kuleta mifugo yao kulisha, kwa sababu tu ni wamasai?
Mtu asijiite mwanazuoni mwenyewe. Sisi tunajua qualifications zake, na tukipima material facts, ndiyo tuseme" mwazuoni" kaandika au kasema! Na akiandika mavi, tutasema hivyo. Shivji asitangulize kujitambulisha, yeye ni ni mwanazuoni kama kinga! Sisi tunayo haki ya kuijadili na kutoa maamuzi. Kwa hiyo aipeleke kwa debate, watu waijadili, na kupitia majadiliano hayo, raisi will pick the facts!
Duniani, nchi nyingi zimehamisha watu wao ndao kwa manufaa makubwa ya nchi. Eg: USA, Canada (red indians), Brazil, Botswana (Basarwa), n.k. Kama raia hawatakiwi kuachwa porini bila huduma muhimu kama; maji Safi, hospital services, schools, and many other social services.