Prof. Tibaijuka: Chato haina sifa kuwa Mkoa
Mpango uliokuwepo kipindi cha JK ndio huo sema yule mwendamahoka na mzee wa nightmare aliamua kugeuza
 
Ni ujinga mkubwa kuja kuichukua Kakonko na kuipeleka "Chato". Mama Samia akatae huu uzwazwa.
 
Naona kama Mama anashinikizwa sana atoe ngoma juani ....ngoja tuone
 
Chato ishapewa baraka zote za kuwa mkoa. Mnaopinga mnajisumbua tu na mmeshachelewa kupinga hilo. Subirini Oct 14 Chato inatangazwa rasmi kuwa mkoa pendwa.
 
Huu Mkoa unaanzishwa kumuenzi mwendazake, hakuna kingine. Mama amesharudisha nyuma mengi ya mwendazake, lazima awape kitu cha kufurahi waumini wa mwendazake.
 
Chato kuwa mkoa HAPANA, Mama SSH anapaswa kukataa haya mambo,tusifanye mambo kwa kufurahishana,naunga mkono hoja ya Nyakanazi kuliko ya Chato...
 
Undeni halmashauri zijibu matatizo ya wananchi.
What is mkoa mkoa,
ISMANI NAKO ATATAKA MKOA KUMUENZI LUKOVA Japo ni jirani na mjini
 
Aachane na kuanzishwa Chato. Chato itakua yenyewe automatically
 
Kwa kihaya jina la " TIBAIJUKA" maana yake " HAWAKUMBUKI"
Majina huumba.
Kwanza.
Fikiria mtu anatoka ngara kuja makao makuu ya mkoa Kagera, si chini ya km 300,ni kama kwenda na kurud moro-dar ,nauli si chini ya elf 18 kwenda ngara- kagera,
Lakini kutoka ngara kwenda chato ni approximately km 70.

Pili,atambue pia ajira zitatengenezwa mkoa mpya ukianzishwa,yeye kashashiba na pesa za mboga za escrow, bahati mbaya jina lake linasadifu yaliyomo ndani yake.

Tatu,
Dhana ya kwamba kagera itapitwa kimaendeleo na Chato ikiwa itakuwa mkoa hiyo ni inferiorty complex.
Wahaya mmeuchelewesha mkoa wenu kuendelea kwa sababu ya ubinafsi wenu pia na ujuaji mwingi kama huu ambao huyu mama "Asiyekumbuka" anataka kuuanzisha
 
Huo utakuwa mkoa. Sisi wa Ngara na maeneo hayo tunaelewa maana ya Chato kuwa mkoa. Tunaelewa maana ya wilaya kadhaa kuunganishwa pamoja ukapatikana mkoa mpya.

Wengi humu wanapinga kwa sababu ya kupinga mengi aliyokuwa akiyafanya hayati JPM, wanazo hoja za kisiasa zaidi kuliko uhalisia.
Ivi mkoa wa Geita na Morogoro upi unastahili kugawanywa
 
Naunga mkono kabisa kuundwa kwa mkoa wa Chato kwa sababu kuu moja, ... nayo ni kuisogeza serikali karibu zaidi na ukanda huu uliopakana na chanzo kikuu cha migogoro ya nchi za maziwa makuu (TUTSI/HUTU conflict zone)!
[emoji109] 😎[emoji3577][emoji95][emoji3517][emoji3517][emoji3517][emoji88]
Kama ishu ni kuisogeza karibu serikali na ukanda huo ulioutaja mbona tayari tuna mkoa wa Kigoma ambao unapakana na maeneo hayo
 
Utatapika na kutapika lakini Chato itapanda hadhi na sisi wa wilaya za karibu hatutalazimika kufunga Safari kwenda Bukoba mjini.

Sidhani kama Mmawia anayafahamu hayo maeneo zaidi ya kuleta siasa za kumpinga hayati JPM.
Huyu jamaa ameshupalia mkoa bila kutoa sababu za msingi. Anna Tibaijuka amesema miaka 11 iliyopita mwendazake alitaka chato uwe mkoa, lakini Geita ikakidhi vigezo, Chato ikabwagwa. Hivi Chato Ina umuhimu gani mpaka ilazimishwe kuwa mkoa kila Mara. Barabara ya Rami ililazimishwa, ililazimishwa kutoka tarata ya Biharamulo kuwa wilaya, sasa ilazimishwa kuwa mkoa. Mbuga za wanyama za burigi Chato, uwanja wa ndege, mseveni amelazimishwa kujenga shule. Na mengine mengi. What is special with chato. Mnalazimisha mpaka kuazima wilaya za mikoa mingine. Madiwani kamwe hawa uwezo wa kukata wilaza za Kagera na Kigoma.
 
Back
Top Bottom