Haya ndio maoni ya kisomi japokuwa watakushambulia sana hasa hao wanaotaka kuikana asili yao kwamba mvuyekule hata mimi niongezee kujiundia wilaya au mkoa hakuwezi kufuta uasilia wa lolote katika yote.
 
Mama wa hela ya mboga ktk ubora wake, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ulivyovitaja sio sifa ya kuanzisha mkoa na ndio maana kahama na maendeleo yake yote haijaanzishiwa mkoa wake
 
Tunaomba orodha ya sifa zinazotakiwa kwa sehemu ya Jamhuri ya Muungano Tanzania kufuzu kuitwa mkoa. Tukizipata hizo sifa itaturahisishia kujua kama Chato inakidhi vigezo kwa sasa ama la!
kawaida Hakuna vigezo vikubwa sana vya kuunda mkoa isipokuwa ni serikali kutaka kurahisisha upatikanaji wa huduma na kuwafikia wananchi au kuwapunguzia gharama pale ambapo huduma hiyo huifuata mbali zaidi ya kilomita 200 kutoka wilayani kwenda mkoani
lakini baadhi ya vigezo baadhi ni

Hosptali ya Rufaa moja
Hosptal ya mkoa moja
Chuo kikuu kimoja
idadi ya watu isipungue 500,000
viwanda vidogo visivyozidi 50 kila kiwanda kitoe ajira 250
viwanda vikubwa 5 kila kiwanda kitoe ajira 5000.
Maji angalau yapatikane 65%
umeme wa uhakika
Ajira 60%
mapato 80%
kaya 25,000
Sekondari kila kata na shule za msingi kila kijiji au mtaa.
Barabara zinazopitika na uhakika kutoka wilayani n.k

NB.Muundo huo pia hutumika pia kwenye municipal au majiji.

elimu haina mwisho marekebisho na nyongeza ruksa.
 
Tuongee ukweli bila mahaba ivi mikoa kama Morogoro,Tabora na Mbeya kwa kuilinganisha na mkoa wa Geita ipi inastahili kugawanywa? ,Geita haistahili kugawanywa sababu haipo hata katika mikoa mitano mikubwa na yenye population kubwa
 
KUHUSU PROF. TIBAIJUKA NA MKOA MPYA WA CHATO.

Prof Anna Kajumulo Tibaijuka hawez kupenda uwepo wa mkoa mpya wa Chato.

Baadhi ya kata za Muleba zinazomegwa na kuingia mkoa mpya wa Chato ni sehemu ya nyumbani kwake.

Asingependa awe wa Chato bali wa Kagera/Bukoba[emoji851]. Jambo hili linamuuma tangu enzi za marehem. Yuko tayar kwa lolote lakin asiwe raia wa Chato.

Kadhalika sehemu kubwa ya ardhi aliyohodhi na nyingine iliyokatwa na kuingizwa kwenye hifadhi ya Burigi nayo itaenda chato. Kwa hiyo yeye pamoja na mali zake zote za huko rasmi sasa wanakuwa wakazi wa Chato. Inamuuma sana hii mama.

Kwahiyo Her Excellency SSH asipotoshwe na watu wa dizaini hii. Wana yao.

Kikao maalum cha Ushauri cha Mkoa wa Geita kinajua zaidi kuliko Prof. Tibaijuka. Kina wataalam wa uchumi, ardhi, mipango miji, takwimu, makadirio, nk. Prof. hajui kuliko hawa wote.

Zaidi hawa wamekuwa ktk jambo hili kwa muda sasa, taarifa yao ya juzi ni ya kuhitimisha tu. Wameliasses na kulipima kimizania kwa muda.

Prof Tibaijuka akubali tu kuwa mabadiliko huwa yapo na atulie tu awe Mkazi wa Chato.
 

Acheni uzushi na propaganda. Si ajabu watu wanawaita 'sukuma gang'.

Umbali wa kutoka chato mjini mpaka ngara mjini ni kilometa 257.

Ukweli utabaki pale pale Chato haina hadhi ya kuwa Mkoa na pia haina geograhical au historical prerequisites za kufanywa kuwa makao makuu ya mkoa. Yaan ukiangalia history, population, geograghia ya eneo husika na social ecomical factors zingine huwezi kuifanya chato kuwa makao makuu ya Mkoa wowote ule ndani ya kanda ya ziwa.
 
Vigezo vya kupafanya mahali mkoa ni nini?
 
Ndugu kuna sababu gani chato kupewa kipaumbele? mbona mikoa kama Tabora,Morogoro na Mbeya ambayo ni mikubwa, yenye population kubwa na jiografia ngumu kuliko huo mkoa mpya unaopendekezwa yenyewe haipewi kipaumbele?
 
Uwanja wetu pendwa tumeingia gharama nyingi sana Ili usiharibike ni vyema tuwape wakulima na wavuvi waanikie mazao yao Ili wautunzen

Mama hajakosea. Huyu Profesa hatoi mawazo kwa kukurupuka hili jambo kalifanya analysis ya kutosha japo anachokoza mjadala kwa kudai kuwa anayejua vigezo avitaje.Hapa sio suala la madiwani kupendekeza.Kumbuka kuwa sio lazima kinachoamuliwa na wengi kiwe sahihi mambo mengine yamekaa kiushabiki.
 
Kumbe kaongea yule bibi wa hela ya mbogaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hadi hapo hoja haina mashiko maana n mchumia tumbo tuu prof ushwaraπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Harafu utasikia
$$$serikali haitengenez nafasi za ajiraπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ . Mm natuliazana najua hapo nishapata pa kumpenyeza mtoto wangu akachume keki ya taifa huku nyumbu wakibweka tuu kama mbwa koko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…