Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,451
Mafisadi na majizi yameanza kuibuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno haya yaliyojaa hekima hakika yanatoka kwenye kinywa cha Prof. Tibaijuka ninayemfahamu ... Yule aliyekuwa mkuu wa UN Habitat kule Kenya. Naamini amerudia enzi zake. Naunga mkono 100%."Katika mazishi Wazee Chato walimuomba Rais Samia mkoa wakidai ni ahadi ya mtangulizi wake.kwa hekima akasema ataangalia vigezo.Kama Mbunge Mstaafu jirani Muleba Kusini najua vigezo havipo.Wazo halitekelezeki. Wazee jirani na sisi naamini tutapewa nafasi kushauri"Anna Tibaijuka....
Chato haina sifa hiyo na hata uwanja wa ndege pale zilitumika fedha za watanzania vibaya.
Hao madiwani wanawaamulia mpaka wananchi wa mikoa mingine?Kigoma na Kagera haziwezi kuamuliwa mambo yake ya kiutawaka na madiwani wa mkoa mwingine.Kama inawapendeza Sana kuwa na mkoa wa Chato basi muuite mkoa wa Geita uwe mkoa wa Chato.Chato tayari ni mkoa wananchi kupitia madiwani wao wameshamaliza kutoa mawazo yao na wengi wameshapendekeza wilaya za mkoa wao sasa huyo Prof. alikuwa wapi wakati wa kutoa maoni? Haturudi nyuma tunasonga mbele. Tarehe 14/10/2021 wakati wa sherehe za kuzima Mwenge hapa Chato tunategemea Rais wetu mpendwa Samia atangaze rasmi kuwa Chato ni mkoa. Sasa wasiotaka wajiandae kisaikorojia wasije wakafa na stress bure.
Inshu sio kujengeka, kuna vigezo vingi tu haikidhi, yaani kutoka geita hadi chato ni kama km 100!!eti na penyewe pawe mkoa?!!Hiyo Bukoba wakati inapewa hadhi ya makao makuu ya mkoa ilikuwa ni pori tu lakini leo ni mji mkubwa.
Mama Tibaijuka wala asiwe na hofu Chato itajengeka kadri muda unavyokwenda.
Wasimege ardhi za mikoa ya watu, tuta hasi. Wabaki na chato yenyewe km mkoaChato tayari ni mkoa wananchi kupitia madiwani wao wameshamaliza kutoa mawazo yao na wengi wameshapendekeza wilaya za mkoa wao sasa huyo Prof. alikuwa wapi wakati wa kutoa maoni? Haturudi nyuma tunasonga mbele. Tarehe 14/10/2021 wakati wa sherehe za kuzima Mwenge hapa Chato tunategemea Rais wetu mpendwa Samia atangaze rasmi kuwa Chato ni mkoa. Sasa wasiotaka wajiandae kisaikorojia wasije wakafa na stress bure.
Mbona mwendazake alipokuwepo walikuwa wame mute sahv ndiyo wanaongea
Ova
Mlidekezwa sana nyie !!! Hakuna kitu chato ni wilaya tuuu !!!Hiyo Bukoba wakati inapewa hadhi ya makao makuu ya mkoa ilikuwa ni pori tu lakini leo ni mji mkubwa.
Mama Tibaijuka wala asiwe na hofu Chato itajengeka kadri muda unavyokwenda.
Kanda ipi kungali na Bugando?Unachanganya ile ni hospitali ya wilaya Chato, sema kulikuwa na mapendekezo waiongezee majengo na departments iwe hospitali ya kanda...
Mungu wenu magu kafa hilo sahauPesa zitatengwa na huo utakuwa mkoa mpya.
Mungu wangu wewe humjui ila ukweli ndio huo.Mungu wenu magu kafa hilo sahau
Magu kafa badili avatarWewe hangaika na Kaskazini kwenu mkuu Kanda ya Ziwa tuachie sisi wenyewe.