Profesa Assad aliumia sana kuvuliwa u-CAG. Mpaka leo namwona bado ana chuki kubwa sana. Tatizo ni nini?

Profesa Assad aliumia sana kuvuliwa u-CAG. Mpaka leo namwona bado ana chuki kubwa sana. Tatizo ni nini?

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hata afya yake imezorota sana anaoenakana kuwa na maumivu makubwa.

Huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalimbali ila shida nadhani ni mihemko, jazba na chuki vinamfanya aumie. Anapaswa akubali tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana.

Atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marehamu so a-move on tu maisha yaendelee asikunjane moyo.
 
Tatizo letu kila jambo la kusemea nchi, anaeongea anaonekana na chuki binafsi, hiviii nani anapaswa kuiongelea Tanzania tukawa na Amani nae?

Daudi mfalme,wakati anampiga Goliath, Saul alimsifia sanaa, kijana mdogo ameweza kuwapa ushindi.

Lakini alipoanza kumkosoa kuhusu namna anavyotawala, akawa adui wa nchi. Tukitaka kufanikiwa kama nchi ni vyema tujifunze kumsikiliza mtu nini anaongea kuliko kuangalia wapi ametokea. Tanzania ni yetu sote.
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
Kama alivuliwa na majambazi kwanini awapende majambazi🤔
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
Imagine na umri wake bado analilia uCAG.
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
ana hasira sana na serikali kwasababu alikuwa na matarajio makubwa kwamba itamtumia, alipoingia serikalini akasahau kuwa pamoja na usomi unatakiwa kufanya kazi kwa busara na hekima kulingana na waliokuzunguka. mfano, mimi sinywi pombe, ila nafanya biashara na kazi na walevi, ila hata siku moja sijawahi kuwaita walevi, nikiwaita walevi nina uhakika hata huo ulevi wanaweza wasibadilike kwasababu wataona sijatumia busara kuwashauri, na hata biashara nao wanaweza kukata tusiendelee nao. yeye kaja kichwakichwa kwenye awamu ambayo ilikuwa haipendi kukosolewa moja kwa moja bali kukosolewa kwa hekima na busara. sasaivi amekaa anakula matunda ya kutokuwa na busara.

worse enough, hata baada ya mwendazake kuondoka, awamu ya mama ambaye ni very considerate, yeye bado ameonekana hana busara, sasa asaidiwaje huyu?
 
Aliondolewa kimagumashi sana
Yule kichomi ndugae sijui yuko wapi sasa?
Mwendazake kaacha athari kubwa sana na kuidumaza nchi yetu
Tutachukua hata miaka ishirini ili kuamka tena!
Mi naona bora kuondolewa kwa Assad kulikuwa na unafuu maana ilibidi atumikie vipindi viwili ila alipomakiza kimoja hakuteuliwa tena kuendelea na kingine! Lakini Ndugai aliondolewa vibaya sana! Tena kwa vichambo kama vyote licha ya kuomba radhi lakini wapi!

Ukiwaangalia hawa watu wawili unaona kabisa Ndugai hanachuki za wazi kwa Mh Rais aliemuondoa kimezengwe ila Assad bado anakinyongo mno! Sijui analikuwa na nn pale kwenye kiti cha CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naona bora kuondolewa kwa Assad kulikuwa na unafuu maana ilibidi atumikie vipindi viwili ila alipomakiza kimoja hakuteuliwa tena kuendelea na kingine! Lakini Ndugai aliondolewa vibaya sana! Tena kwa vichambo kama vyote licha ya kuomba radhi lakini wapi!

Ukiwaangalia hawa watu wawili unaona kabisa Ndugai anachuki za wazi kwa Mh Rais aliemuondoa kimezengwe ila Assad bado anakinyongo mno! Sijui analikuwa na nn pale kwenye kiti cha CAG.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa shida yake ni kwamba, umri wao umeenda sana. ukiwa mzee ukawa na vinyongo na mahasira ya ajabuajabu, unakaribisha maradhi ya uzee, utaondoka kabla ya wakati wako.
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
Na bahati mbaya sana kwake HARUHUSIWI kikatiba kuajiriwa na taasisi yoyote inayokuwa audited na CAG!
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
Ni msomi ila namuweka kundi la wazee wa hovyo..chuki imemuharibu akili.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.

Mkuu kumbe unajielewa na kujitambua vizuri tu,sasa kwanini ulikuwa unaleta fujo za kitoto kwenye thread ya mpwayungu village ?

Uniwie radhi kwa maneno yangu machafu jana usiku
 
Siyo kweli kwamba anaweza kupata kazi popote ingekuwa hivyo angeshasepa, hawa watu huwa mnawa overrate sana.

Kwa hali ya kawaida kama kweli ni Profesa na amebobea kwenye fani yake angerudi Chuoni kufundisha na Chuoni simaanishi Tanzania ni oversees lkn siajabu hana credentials za kupewa chair popote na ndio maana anajibizana na kusutana kila siku hana kazi ya kufanya hata tu kuandika vitabu vya fani yake hafanyi, yuko soo petty kama mtoto!
 
hata afya yake imezorota sana . anaoenakana kuwa na maumivu makubwa. huyu Assad ni msomi mzuri tu na anaweza pata kazi sehemu mbalmbali ila shida nadhani ni mihemko,jazba na chuki vinamfanya aumie. anapaswa akubalie tu kuwa ilikuwa ni wakati wake kupisha wengine asibebe uchungu wa kuona alidhalilishwa sana. atajiumiza bure mtu mwenyewe aliyefanya hivyo ni Marhamu. so amove on tu maisha yaendelee.... asikunjane moyo.
Komeo...
Haipendezi kutoa maneno usiyokuwa na yakini nayo.
Ukipelekwa mahakamani utoe ushahidi wa ''kuonekana na maumivu makubwa,'' mihemko,'' '' jazba,'' ''chuki,'' nk. nk. unao ushahidi?

Jihadhari sana na kuwavunjia watu heshima zao.
 
Back
Top Bottom