Kwa hiyo wizi wa Sasa unafanywa na taasisi sio? Kwani tatizo la Tanzania ni Rais au maana naona kila mnachoongea mnasema Rais
Ufujaji wa mali za Taifa unakuwa facilitated na taasisi zetu kuto kuwa imara!!! Inaelekea hujui tofauti ya URAIS na RAIS!! Rais is an individual na URAIS is an institution!!! Huko UDSM mlifundishwa nini kama humjui hata mambo basic kama hayo?