Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi..
Mjomba samahani una elimu gani?Au ndo Rushwa ya akili inakusumbua kama alivyosema Jana!

Kaa tafakari sio unachomoa vineno,unakurupuka tu bila kuelewa.
 
Tuliomuondoa akili ni wengi na wenye akili. Majuha kama nyie mnashabikia tu hamkuona kama amekosea.
Kwanini kulikuwa na usiri na kuhamisha baadhi ya mashirika kuyapeleka na kuyaweka mfukoni!?

Hayo ma Ndege yaliidhinishwa na nani na mami radi chungu nzima yalipitishwq na Bunge la kwenu!?

Kama hamkubali kuifuata na kuisimamia hata Katiba ambayo mmeiunda wenyewe, kwanini mnamchukia mtu anayejaribu kuonesha kasoro zenu?

Yaani umekaa kipunguani punguani tu, uhuru wa kujieleza hakuna, uwazi wa manunuzi hakuna anasimama mtu mmoja na kusema tumefanya hiki na hiki na nyie ma Kenge mna chekelea kama mazuzu na majuha na kupiga makofi

Kila binadamu ana makosa na mbora wa kukosea ni yile anayeyakubali makosa yake na kuyafuta au kuyarekebisha na si kuleta unafiki kama huu Utumbo unaoutapika hapa.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Hapa hatuzungumzi individual company, tunazungumzia serikali yenye wajibu wa kutoa huduma kwa jamiii.Hivi mindege inaweza ikawa kipaumbele cha cash huku huduma za jamii ni mbovu, unakopa za kutoa huduma kwa jamii unatumia cash kununua mindege mibovu ambayo ni irrelevant ktk matumiz na uhitaji.

Unanunua lindege la abiria miatano kupanda huku unaua uchumi na unataka matajri waishi km mashetani nani atapanda hyo mindege?Ukweli usemwe hata mwenyew alijua hyo mindege ni hasara ndio maana alimua kuficha tender za manunuzi kuhamishia Ikulu.Kama alikua na nia njema alikua anaficha ninini kwenye manunuzi ya ndege hata wananchi kushindwa kujua kupitia wabunge?Huu ulikua mchongo wa jiwe kuwageuza watanzania mandondocha kwa kufanya mavitu yanayoonekana machoni lakini ni hasara tupu.
 
Wewe kilaza umeambiwa ndege zinapata hasara kwa miaka mitano mfululizo.
Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash...? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi...? Pathetic profools... nlikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki
 
Hapa hatuzungumzii individual company,tunazungumzia serikali yenye wajibu wa kutoa huduma kwa jamii...
Wanachi wangejua kupitia wabunge gani, hawa walioko bungeni ama wengine? Hivi una akili sawasawa kweli?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
wewe wa hovyo sana hukuelewa logic behind ya prof,, kama kuna opportunity ya mkopo unanunua na fedha unaalllocate kwenye mradi mingine yenye kurudisha fedha kwa haraka biashara ya ndege hairudishi fedha kwa haraka ndiyo maana miaka yoote mitano ni hasara
 
Wewe Hakimu Mfawidhi nilidhani na wewe una akili timamu kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Kwanza kabisa, Aircraft Couriers nyingi duniani hazimilikiwa na serikali kwa asilimia 100%. Halafu pili wanaonunua ndege kwa pesa taslimu wengi wao ni mashirika binafsi (Aircraft Financing Corporation or Privately Owned Civilian Courriers) ambayo hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza mikataba ya utumiaji (Aircraft Lease Agreement) na wateja wengine au nchi ambao (The Lessee) na siyo serikali.

Ukienda kule Ireland makampuni mengi yana miliki ndege lakini siyo kwa lengo la usafirishaji peke yake bali kuazimisha kwa wateja mbalimbali. Lakini kubwa Upright Purchase huwa inafanywa na mashirika makubwa binafsi yenye mizizi mirefu kwenye biashara ya usafiri wa anga. Hebu wacha hizi mambo za kushabikia upuuzi na ujinga, yaani unasoma kitaarifa kimoja huko mtandaoni halafu unahisi ushakuwa Guru......
 
wewe wa hovyo sana hukuelewa logic behind ya prof,, kama kuna opportunity ya mkopo unanunua na fedha unaalllocate kwenye mradi mingine yenye kurudisha fedha kwa haraka biashara ya ndege hairudishi fedha kwa haraka ndiyo maana miaka yoote mitano ni hasara
Huyu ana utapia mlo kama sio mtindio wa ubongo na wengi wanomuunga mkono basi hawajui kama ambavyo huyu mleta mada hajui na hajui kama hajui na analazimisha kujionesha ni yeye ndio mwerevu
 
Kasema kununua Airline kwa kutumia Taslimu
Kwasababu inapoingiza fedha deni linalipwa

Taslimu ziingizwe kwenye Elimu Afya ya Jamii na Miundombinu ya kuunganisha Vijiji kwa Vijiji.
Ripoti inaonesha CHADEMA kuna madudu, mwenyekiti atauluzwa?
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Umeshawahi kuishi nje au unaropoka tu.

Kuanzia simu,gari,nyumba na n.k kasoro msosi asilimia 90 ni kulipa kodogo kidogo ndio maana unashangaa dada yako wa ulaya kuona kakutupia picha whatsapp hana miliki ndinga kali kumbe kulipa kidogo kidogo tena kwa mkopo.

Dunia nzima kwa nchi zilizo endelea hakuna cash na wanaogopa ni kosa.
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Kitu ambacho ujamwelewa ni kuwa kwa inchi maskini kama Tanzania kununua ndege kwa Cash ndio ukichaa

Katika hiyo research yako uliyoweka link nitajie mataifa yenye hadhi kama Tanzania ambayo yamenunua ndege kwa cash?

Unalipa ndege cash na miundombinu huna wala maji safi huna, then how do you call it?
 
Unanunuaje cash wakat wafanyakaz wako umewakazia more than 5 yrs hakuna nyongeza , vijana ajira hamna , amesema cash ina matumizi yake Kwa issue kama hzo unapiga mkopo , hakuna haja ya kulaza njaa watu alaf unaenda kununua Boeing Kwa keshi unakuja kuliweka ardhini haliendi popote linakula hela ya maintenance , huku vijana mtaani wanakomaa na vibanda umiza , kw dharau unawaambia wajiajiri
Yani bora limeenda tu na halirudi tena. Ingewezekana kabla ya kuzikwa wangechukua sampuli za ubongo wake waende maabara kupima na kutafiti jamaa liliumbwaje na kuwa natabia ya hovyo na ya kukera ili asije kutokea Rais mwengine wa hovyoooooooo.
 
Wanachi wangejua kupitia wabunge gani, hawa walioko bungeni ama wengine? Hivi una akili sawasawa kweli?
Ni lini bunge lilipitisha budget ya kununua mindege,ambayo haikufuata utaratibu wa manunuzi?Nyie ni mazombie yake,endeleeni kuabudu huo mzimu wenu maana hata muubiriwe vipi sio riziki kwakua aliwapa ulaji mmefutuka mithili ya mighulube ya Mbeya
 
Back
Top Bottom