Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ahsante. Lakini unajua gharama kutokana na gharama kubwa za mtaji ndo maana inaonekana shirika linapata hasara. Mfano mzuri, anzisha biashara yoyote mtaani kwako, halafu uangalie itakuchukua mda gani kupata faida. Hivi unadhani ni rahisi hivo kama unavyofikiri, kutengeza faida kwa kipindi kifupi hivo.Wewe kilaza umeambiwa ndege zinapata hasara kwa miaka mitano mfululizo.
Ndio hawa sasa kuwa Bangi iruhusiwe na kumdhihaki Mwenyezi Mungu, sasa waje watuambie
Hata madudu ayaendeleze? uwage na akili ya kutambua njema na baya sio kila kitu ndiyoooooProfessor , naomba utulie mama afanye kazi yake . Mama ataendekeza kazi aliyoanza marehemu sasa sijui utasemaje !
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Shujaa alisema ZINALETA FAIDA na kumbe ni FIKSI tu, ATCL walitoa hadi gawio la faida kwa Serikali ili kumridhisha Shujaa mpenda sifa.Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.
Mkuu, mimi kukataa alichokisema Professa haina maana kua nilikua ama namshabikia Hayati Magufuli.
Tusipende kujumuisha vitu, generalisation syndrome ni ugonjwa wa akili.
Ila mungu ni fundi sana tujifunze kwa siku nyingine
Mkuu kujua kwingi ni tatizo na kutokujua pia ni tatizo usisahau huyo ni mbongo tipiko!Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Naona alitaka akalipe kwa bargain kinachobaki asepe nachoNimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Sawa ahsante. Lakini unajua gharama kutokana na gharama kubwa za mtaji ndo maana inaonekana shirika linapata hasara. Mfano mzuri, anzisha biashara yoyote mtaani kwako, halafu uangalie itakuchukua mda gani kupata faida. Hivi unadhani ni rahisi hivo kama unavyofikiri, kutengeza faida kwa kipindi kifupi hivo.
Shiriķa hili limeokotwa jalalani na magufuli na kalirudisha kwenye mstari sasa leo iweje tumsimange kiasi hiki? Mzee jitafakari vizuri kuhusu kile uteteacho kwa maslahi ya Taifa letu.
Hawaamini macho yao.Ndio hawa sasa kuwa Bangi iruhusiwe na kumdhihaki Mwenyezi Mungu, sasa waje watuambie
Mkuu Matrix19MATAGA hamuoni aibu! Prof kuhoji hasara ya ndege hizo mnamuita mnafki?
Kwani Zile Trillioni 1.5 za ujenzi wa Chato airport zilitumika vipi ! Mbona alipohoji aliwekwa pembeni?
Shame on you!
Hujamuelewa Prof ASSAD.Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.
Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.
Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?
Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?
Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.
Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.
Nadhani concept ya kununua ndege kwa mkopo vs kununua kwa cash wewe huijui ama hujaielewa.Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash...? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi...? Pathetic profools... nlikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki
Tatizo lako unafananisha manunuzi ya mtu binafsi na ya SERIKALI. UKIWEZA KUTOFAUTISHA HAYO MAKUNDI BASI AKILI YAKO ITAANZA KUHAMA KUTOKA MATAKONI KUJA KICHWANI.Hivi alikumbuka kuwaambia kuwa mtu ukikopa gharama zinakuwa juu zaidi ya uñunuzi wa hizo ndege kwa cash? Na pia kwa mfano kipindi chote cha corona ndege zilikuwa haziruki, kama zingekuwa zimekopwa hela ya kulipa hayo madeni ingetoka wapi? Pathetic profools, nilikuwa namwelewa lkn kwa hili naona kavuka mipaka. Aache unafki.