Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Unataka kubishana na Prof Assad, kwa kutumia google daaah fanya hivi kukata mzizi wa fitna tutajie masharika ya ndege ambayo walinunua ndege cash?
 
Yani bora limeenda tu na halirudi tena. Ingewezekana kabla ya kuzikwa wangechukua sampuli za ubongo wake waende maabara kupima na kutafiti jamaa liliumbwaje na kuwa natabia ya hovyo na ya kukera ili asije kutokea Rais mwengine wa hovyoooooooo.
Hapana mkuu, una hasira sana ila una point nzuri sana,
Hiyu mjinga mleta uzi ndio hawa aalikuwa wanaichafua nchi kwa ukauzu kama huu
 
Kuna sababu kwanini aliitwa professor, Akili avarage uishia kupata sup.
 
Walioko subuleni kwa baba yako,pumbafu ww.Ni lini bunge lilipitisha budget ya kununua mindege,ambayo haikufuata utaratibu wa manunuzi?Nyie ni mazombie yake,endeleeni kuabudu huo mzimu wenu maana hata muubiriwe vipi sio riziki kwakua aliwapa ulaji mmefutuka mithili ya mighulube ya Mbeya
Ndio maana najaribu ku question uwezo wako wa akili.

Okay, bajeti haikupitishwa na bunge, hilo bunge lako lilichukua hatua gani? Maana lina mamlaka nauwezo wa kumuondoa rais kama akifanya kinyume na katiba, walifanya nini?

Ndio maana nakuuliza unategemea hawa wabunge kweli? Uko sawasawa kichwani? Kichwani umejaza ugoro ama mavi?
 
Kitu ambacho ujamwelewa ni kuwa kwa inchi maskini kama Tanzania kununua ndege kwa Cash ndio ukichaa...
Mkuu, I understand, nakuelewa ulivyoiweka na nakubaliana na wewe.

Shida yangu iko jinsi profesa alivyoiweka, alitamka generally kua wanonunua ndege cash ni vichaa, hapo ndio shida yangu ilipo.

Angesema Tanzania kununua ndege cash huku umeacha mahitaji mengine ya muhimu ni ukichaa ningemuelewa.

Yeye amesema generally kua njia pekee ya kununua ndege ni kwa mkopo na wanaonunua cash ni vichaa. Nadhani umepata shida yangu iko wapi.
 
Umeshawahi kuishi nje au unaropoka tu.
Kuanzia simu,gari,nyumba na n.k kasoro msosi asilimia 90 ni kulipa kodogo kidogo ndio maana unashangaa dada yako wa ulaya kuona kakutupia picha whatsapp hana miliki ndinga kali kumbe kulipa kidogo kidogo tena kwa mkopo
Dunia nzima kwa nchi zilizo endelea hakuna cash na wanaogopa ni kosa
Itakua Dunia ya kwenu huko vijijini.

Sio hii sayari tunayoishi.

Rudi shule uongeze maarifa.
 
Professor , naomba utulie mama afanye kazi yake . Mama ataendekeza kazi aliyoanza marehemu sasa sijui utasemaje !

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Mama anakumbushwa mambo ya misingi na kuepuka ujinga tulioufanya miaka kadhaa iliyopita, wewe unakuja na na makande sijui ya wapi unaropoka ujinga ujinga,

Hebu tulieni hija zijibiwe kwa hoja, naomba unisaidie sababu ya kutokuwa na Bunge Live,

Mtu akifanya mazuri asifiwe na tunataka kunua njia zipi, imetumika kutufikisha kwenye uzuri huo ili na kiongozi mwengine akija azifuate, lakini kuwe na uwazi na majadiliano,

Sasa haya mambo ya one man show si tumekatazana au ulikuwa bado kule mafichoni.
 
Ulipokuwa unamshabikia jiwe akifanya udhalimu dhidi ya wote waliokuwa against na mitazamo yako, hukujua anakosea?
Mkuu, mimi kukataa alichokisema Professa haina maana kua nilikua ama namshabikia Hayati Magufuli.

Tusipende kujumuisha vitu, generalisation syndrome ni ugonjwa wa akili.
 
Unajua cash weka basi mfumo na utaratibu ulioutumia kununua hizo ndege Kwa cash
Kwa nn unauficha?
 
Back
Top Bottom