Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Ok kwakua bunge halikuchukua hatua kwakua mazombie yake,kwa hyo unataka tuhalalishe makosa ya jiwe kwakua Bunge halikuchukua hatua?Alafu usijifanye ulikua kipofu au kiziwe enzi za jiwe,hukuona alijimilikisha mihimili yote achilia mbali ķuvunja katiba mara nyingi,wote walienda na beat zake ukiwemo na wew,walioenda kinyume walisulubiwa au kupelekwa gerezani?We endelea kufurahia matunda yake kwako na kujifanya zombie huku unaujua ukweli juu ya maovu ya Jiwe.You are very selfish.
 
Mtu ameamka asubuhi amevimbiwa na maharage sijui ya wapi..ana google ka research kamoja ambako hata hakaendani na muktadha wa tanzania..halafu anataka abishane na Prof Assad. Amakweli
 
Tatizo kubwa la nchi yetu ambalo linaturudisha nyuma siku zote ni "Fear ", until when we defeat our fear ndipo tutakuwa na maendeleo, fear ni mbaya sana, chochote unachotaka kufanya utakuwa unaogopa kamwe huwezi kupiga hatua yeyote.
 
SILLY !!!!!!
 

Itakuwa ni busara na hekima kubwa kwa Prof Assad kuyafuta maneno ya kuhudhi aliyotumia maana hayalingani na hadhi yake. Pili yeye kama Mhasibu aliyebobea anajua ziko njia nyingi zinazo tumiwa kununua vitu mbalimbali na amekuwa akizifundisha, alitakiwa kutumia jukwaa hilo kuelimisha umma.
 
Kwa maana hiyo...mikopo ambayo mtukufu mwendazake amechukua katika kipindi chake lazma kutakua na upigaji umefanyika eehh? Maana mkopo wowote lazma uendane na upigaji si ndio?
 
Kwahiyo sasa hivi hayo madege yanaliingizia kitu gani taifa ?
 
Uzuri wa Prof yeye huwa anasemaga ukweli...anayekwazika akwazike lakini anasimama kwenye facts. Ndio maana alipoulizwa kwanini ripoti zake hazifanyiwi kazi..akajibu kwamba bunge (linalotakiwa kufanyia kazi mapendekezo yake) ni dhaifu...ambao ndio ukweli. Ndugai akavimba wee...wakamuita bungeni ili awapigie magoti na kuomba msamaha and he never did that. Na ndio moja ya sababu ya kumtumbua. But he left with his head held high. Hatakiwi kufuta neno hata moja.

Anayetakiwa kufuta maneno na kutubu dhambi zake ni yule Sheikh wa dar ambaye alisemaga JPM ni zaidi ya Yesu na zaidi ya Mungu.
 
Hata mimi nimeshangaa sana eti Prof. anaongea uongo wa wazi kiasi hicho!!! Lakini sishangai huwa ananunuliwa kirahisi sana nakumbuka alipokuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NBC alishindwa kusimamia Benki ya NBC kiasi akafikia kutaka kufirisika kabisa kwa mbinu za Barclays ambao walikuwa main shareholder kwa kutumia mtindo wa kuongeza expenditure on the system background na yeye kutitwa South Africa na kupewa vipesa kiduchuuu. Lakini baada ya kuondolewa kwenye Uenyekiti NBC ikaanza na kupata faida. Nashangaa kujiona anajua sana kila kitu wakati hakuna chochote ambacho alishawahi kuongoza taasisi yoyote ikafanikiwa hapa nchini.
 
Ukweli upi mkuu? Muulize alipokuwa Mwenyekiti wa Bodi ya NBC alifanyanini zaidi ya kuipeleka NBC kaburini? Na asingeondolewa sasa hivi NBC ingekuwa ni hadithi tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…