Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Kitendo tu cha kusubiri mwanaume mwenzio afe ndiyo ujitokeze kumshambulia ni upumbavu hata kama una hoja.
 
Kitendo tu cha kusubiri mwanaume mwenzio afe ndiyo ujitokeze kumshambulia ni upumbavu hata kama una hoja.
Tahadhari ndio ilisababisha kobe aishi miaka mingi...

Kupitia lussu, azory, ben nk kuna kitu unajifunza hapo...

Najua huwezi liona hilo wewe timu mapambio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tahadhari ndio ilisababisha kobe aishi miaka mingi...

Kupitia lussu, azory, ben nk kuna kitu unajifunza hapo...

Najua huwezi liona hilo wewe timu mapambio

Sent using Jamii Forums mobile app

Tahadhari ndio ilisababisha kobe aishi miaka mingi...

Kupitia lussu, azory, ben nk kuna kitu unajifunza hapo...

Najua huwezi liona hilo wewe timu mapambio

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndiyo upumbavu ninaouzungumzia hapa!

Kama hataki kufa kwa anachokiamini si akae kimya milele asubiri kufa kwa malaria!

Nani kamdanganya kuwa sasa yupo salama kuharisha chochote?

FYI:Muda unaofikiri uko salama ndiyo huwa wa hatari zaidi.
 
Huo ndiyo upumbavu ninaouzungumzia hapa!

Kama hataki kufa kwa anachokiamini si akae kimya milele asubiri kufa kwa malaria!

Nani kamdanganya kuwa sasa yupo salama kuharisha chochote?

FYI:Muda unaofikiri uko salama ndiyo huwa wa hatari zaidi.
Mwache azungume ni haki yake... Na wewe ni haki yako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nmeskia anasema tulitakiwa kuanza na ndege moja ilihali anajua kabisa hii nchi tushakuaga na ndege moja! kwa kifupi ni bora alifukuzwa tu
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Safi sana mkuu. Huyu mtu amekuwa kwenye bodi nyingi kabla ya kuwa CAG , wewe umetaja NBC , vile vile kuna NSSF to mention but few . Taasisi hizi zote zilikuwa zimajaa upigaji. Tatizo la wabongo hawajuii falsafa ya chapati au samaki kukaangwa kwa kugeuzwa geuzwa , ukimgeuza geza Assad hafai hata kidogo. Anajiona yuko right kuliko wengine , ni fanatic fulani wa misimamo ya kijinga jinga.
 
Labda kama ulikuwa hujui, taratibu za manunuzi ya serikali, watu binafsi au mashirika yote lazima yafuate mwongozo wa kitaalamu. Sio kwamba kwa vile wewe ni raia basi ununue vitu hovyo hovyo bila kujua matokeo yake huko baadae.

Licha ya hivo unapaswa kujua sheria zetu zina ukiritimba na mlolongo mrefu wakati wa kutekeleza manunuzi ya yoyote ya serikali. Hayati kwa kulijua hilo aliona ni vyema akafanya jambo sahihi hata kama alikiuka sheria za manunuzi. Angekuwa amenunua kwa ajili yake na familia yake hakika hata mimi nisingemtetea hata mara moja.

Hebu jiulize swali moja. Vitu vyote wanavyomlaumu navyo magufuli alinunua au kuvifanya kwa ajili yake au taifa. Ndo utaelewa n nn nnacjokitetea

kutokufuata sheria ya manunuzi ni tatizo kubwa na lina hasara nyingi kuliko faida. Procurement yoyote inayofanywa kwa siri, uharaka na kutokufuata sheria za manunuzi ni bomu kubwa na hatari sana, huwezi kununua mali ya uma ovyoovyo tu kama unaenda sokoni kununua nyanya, sitetei mti wala sina upande ila wewe kutetea kufanya procurement bila kufata kanuni za manunuzi nakupinga na nakaa kwa sababu ni hatari sana nakupa mfano wa hasara unaweza ishia kununua kitu kisicho na ubora, unaweza kununua kitu kwa gharama kubwa tofauti na uhalisia na unaacha nafasi za watu kuiba pesa wakati wa manunuzi. kwa nchi kama tanzania ambayo uchumi upo chini , hakuna nyongeza ya mishahara hakuna ajira kwa vijana hakuna madawa hospitalini matatizo lukuki etcetc how comes unatoa pesa cash unaenda nunua mindege tena bila hata kufata utaratibu?? hicho cha kusema hataki kupoteza mda ndo madhara yake hapa unanunua mandege makubwa hayaruki maintanance costs ni kubwa, hujufanya feasibillity study kama hio biashara ni feasible mwisho wa siku kampuni inapata hasara ujue hakuna taratibu ya kitaalamu isio na faida serikali kwenye hili swala hakuna ubishi ilikosea sana na imetuingiza hasara ambayo ingeweza kuepukika
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi...
Mtahaha sana .... IPO SIKU KUTAKUWA NA COLABO YA MA-CAG WOTE AAFUU MJE MUWAKATAE
 
Safi sana mkuu. Huyu mtu amekuwa kwenye bodi nyingi kabla ya kuwa CAG , wewe umetaja NBC , vile vile kuna NSSF to mention but few . Taasisi hizi zote zilikuwa zimajaa upigaji. Tatizo la wabongo hawajuii falsafa ya chapati au samaki kukaangwa kwa kugeuzwa geuzwa , ukimgeuza geza Assad hafai hata kidogo. Anajiona yuko right kuliko wengine , ni fanatic fulani wa misimamo ya kijinga jinga.
Hizo taasisi zilizopigwa, ZIMEPIGWA NA ASSAD? Wewe umejuaje kwamba zimepigwa?
 
kutokufuata sheria ya manunuzi ni tatizo kubwa na lina hasara nyingi kuliko faida. Procurement yoyote inayofanywa kwa siri, uharaka na kutokufuata sheria za manunuzi ni bomu kubwa na hatari sana, huwezi kununua mali ya uma ovyoovyo tu kama unaenda sokoni kununua nyanya...
Hujakosea usemacho, ila nnachokisemea mimi ni afadhali aliyethubutu kununua hata kama hakufuata njia sahihi kuliko yule ambaye hakununua kabisa.

Shirika lilikuwa limekufa kabisa... hamna ndege hata moja. Je, hiyo hela angeila yeye au kujinunulia majumba na vitu vingine vya thamani ingekuaje? Hao ambao wanamsema wamefanya nn cha maana.

Na pia upatikanaji wa dawa na huduma nyingine za kijamii ni mkubwa zaid ukilinganisha na kipind kingjne chochote cha serikali zilikuwa madarakani.

"AHERI UFANYE UKOSEE, KULIKO KUTOKUFANYA KABISA" na hiyo ndo maana ya UTHUBUTU
 
Hujakosea usemacho, ila nnachokisemea mimi ni afadhali aliyethubutu kununua hata kama hakufuata njia sahihi kuliko yule ambaye hakununua kabisa. Shirika lilikuwa limekufa kabisa..
Dhamira ya serekali ilikuwa nzuri hilo halina ubishi ila approach yake ni mbovu na lazima ikanwe isikae ijirudie tena. kununua hayo mandege bila kufata utaratibu ni mbaya zaidi kuliko kutokununua kabisa.

Mimi na wewe hatuna uhakika kama kuna ufisadi umefanyika hapo na kama umefanyika ni hasara kwa taifa haya umenunua ndege kwa kukurupuka hujafanya survey kama biashara hio itakulipa kampuni mpaka leo linaingia hasara tu maintaniance cost na running costs ni kubwa kuliko mapato alafu unakuja kujisifia eti ni bora mimi nilinunua ndege duuh ni hatari sana uthubutu kwenye jambo bila mipango endelevu ni ujinga tu kama ujinga mwingine
 

Soma hapo ujue Eithiopia Airline wanamiliki ndege ngapi walizonunua cash na order walizoweka kwa cash kuletewa ndege na ambazo wamekopa/lease.

Halafu mtu anakuja kuropoka eti kununua cash ni ukichaa.
Cash ina mambo yake ya kufanya, ni kichaa tu ananunua ndege cash kwa (U$200mil) halafu watu wanakufa kwa kukosa matibabu na madawa huku watoto wanasoma chini ya miembe.

As simple as that, as easy as ABC. Hatuangalii kama Ethiopia wamefanya, Qatar wamefanya, US airline wamefanya, British air wamefanya, tunacho angalia ni matatizo na uwezo wetu sisi wenyewe.
 
Of course familia yangu ni ya kimasikini, ndio maana kwangu sina wazo la kununua hata gari kwa cash sembuse ndege!, ila kumwambia bibi na shangazi zangu ni wajinga kwa kuweza kununua wanachokiweza, wewe na huyo aliyesema tutatifuana.
Utatifuana na nani wewe usiyejua hata IPSAS ni nini.

Komaa kula mabuyu tu jomba.
 
Hizo taasisi zilizopigwa, ZIMEPIGWA NA ASSAD? Wewe umejuaje kwamba zimepigwa?
Usidandie gari kwa mbele , nimekuambia kulikuwa na upigaji Je hujui kuwa aliwahi kiwa mjumbe pale NSSF (as it then was)? Ujenzi wa majengo ya ovyo ovyo ambayo hayawezi kurudisha ghalama haraka , hivyo poteza pesa za wafanyakazi.

Yeye Assad wakati wa tenure yake alifanya nini? The guy has no clean hands , akae kimya , aache siasa , Kama ni kadi yake ya CUF basi aendeleze tujue. Aache kushutumu marehemu ambaye hawezi kuja kujitetea Sasa hivi.
 
Back
Top Bottom