Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu

Profesa Assad ni muongo, duniani 73% ya ndege zote za biashara hununuliwa kwa pesa taslimu


Soma hapo ujue Eithiopia Airline wanamiliki ndege ngapi walizonunua cash na order walizoweka kwa cash kuletewa ndege na ambazo wamekopa/lease.

Halafu mtu anakuja kuropoka eti kununua cash ni ukichaa.
Hiyo wiki-info imeonyesha mpango wa kukopa pesa na kukodi ndege. Haionyeshi malipo ya pesa taslimu. Rudia kusoma
 
Wanufaika wa mateso ya marehemu magufuli wote wamejitoa fahamu wanatetea uonevu uovu mateso manyanyaso ya marehemu magufuli kwa watanzania pasipo kuona Aibu, ama kweli Nchi hii ilijaa mashetani wengi ambao ni wanufaika wa udikiteta wa marehemu
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Professor anaendesha vits nyekundu gari ambayo wanaume huhonga just for papuchi
 
Mtu aliyejinufaisha kupitia mgongo wa udikiteta wa marehemu magufuli huwa ni vigumu aone madhambi ya marehemu
 
Mbwa nyie na wanafiki mna Bahati kiboko yenu hayupo , magufuli kaondoka ndo mnajifanya kufungua midomo yenu kama mngekua wanaume kweli mngeropoka wakati yupo hai mbwa nyie magufuli aliwanyoosha Manina zenu sasa hiv ndo mnajitia mna sauti wanafiki nyie ... ila marehemu alijua kuwanyoosha mbwa nyie ***** zenu
Dadangu punguza jazba basi.
 
Rubbish. Nenda kanywe chai na mwenda zake kama unampenda sana. Wewe ungesimama kwenye nafasi ya Profesa kwa mambo aliyotendewa na hiyo mwenda zake. Kila mtu sasa amemgeuka hata tuliodhani ni die hard fans wa mwenda zake wamepiga u turn. Hata Ndugai kamgeuka.
 
Unanunuaje cash wakati wafanyakazi wako umewakazia more than 5 yrs hakuna nyongeza, vijana ajira hamna, amesema cash ina matumizi yake kwa issue kama hzo unapiga mkopo, hakuna haja ya kulaza njaa watu alaf unaenda kununua Boeing Kwa keshi unakuja kuliweka ardhini haliendi popote linakula hela ya maintenance, huku vijana mtaani wanakomaa na vibanda umiza, kwa dharau unawaambia wajiajiri na unasepa chato kutengeneza uwanja wa ndege wa kimataifa.

Serikali ya Pombe imekopa 1.2 Trillion kutoka World Bank kwa ajili ya ujenzi wa madarasa alafu at the same time serikali ya Pombe imenunua ndege kwa cash sh. 1.5 Trillion most of them zipo ground zinanyewa na popo huku fast jet Kwa hujuma ipo out of action.....Alaf Mimi msinikumbushe habari za jiwe kabisa aisee...the worst president ever

View attachment 1749154
Out of topic
 
Wewe Hakimu Mfawidhi nilidhani na wewe una akili timamu kumbe na wewe ni mtu wa hovyo kabisa. Kwanza kabisa, Aircraft Couriers nyingi duniani hazimilikiwa na serikali kwa asilimia 100%. Halafu pili wanaonunua ndege kwa pesa taslimu wengi wao ni mashirika binafsi (Aircraft Financing Corporation or Privately Owned Civilian Courriers) ambayo hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza mikataba ya utumiaji (Aircraft Lease Agreement) na wateja wengine au nchi ambao (The Lessee) na siyo serikali.

Ukienda kule Ireland makampuni mengi yana miliki ndege lakini siyo kwa lengo la usafirishaji peke yake bali kuazimisha kwa wateja mbalimbali. Lakini kubwa Upright Purchase huwa inafanywa na mashirika makubwa binafsi yenye mizizi mirefu kwenye biashara ya usafiri wa anga. Hebu wacha hizi mambo za kushabikia upuuzi na ujinga, yaani unasoma kitaarifa kimoja huko mtandaoni halafu unahisi ushakuwa Guru......
Kasoma kataarifa kidogo tu mtandaoni anajiona GURU
 
Weka data acha kuropoka.
Usitusumbue na link fake.
Sikiliza basi neno la Bwana; ,,
,, Bwana akamwambia Samweli, Hata lini utamlilia Sauli, ikiwa mimi nimemkataa asiwamiliki Israeli?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimesikitika kuona msomi kama Assad aki-personalize tofauti zake na Hayati Magufuli kwa kusema mtu kichaa tu ndie ananunua ndege kwa cash, profesa akasema mikopo/lease ndio njia sahihi.

Binafsi sijui hizo takwimu amezipata wapi za kua vichaa tu ndio wananunua ndege kwa pesa tasilimu ama cash.

Utafiti unaojulikana Duniani kote uliofanywa na Chase & Associate unaonyesha kua ndege zote za biashara 73% hununuliwa kwa cash ama wanaita outright purchase. Je, wote hao 73% ni vichaa? Ama profesa ndie ana akili kuwazidi?

Profesa anataka kuaminisha umma kua njia pekee na ya lazima ya kununua ndege ni kwa mkopo, kwa cash unakua kichaa, hivi huyu jamaa ana akili kweli?

Profesa ameongea kama mtu ambae hakwenda shule, profesa analazimisha mtazamo wake ndio uwe mtazamo wa watu wote.

Nilikua namkubali profesa lakini hii la ku-personalize tofauti zake na Magufuli na kumshambulia marehemu kua ni kichaa tena kwa mtazamo wake binafsi imesababisha nimemuondoa akili profesa Assad.

Hivi profesa yeye kwenye maisha ama kwenye public settings ameweza kufanikisha lipi?, Amewahi kua mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa NBC, enzi za utawala wake benki ilikua inaelekea kufa/kufilisika kabisa. Bila yeye kuondolewa bank isingekuwepo sasa hivi. Asijionyeshe kua no brainy saana, alipewa nafasi mbona hakutuonyesha huo u brainy wake?

Analalamikia kua hakupewa nyaraka za SGR, JNHP, ATCL, kwa nini hakujiuzuru kuonyesha credibility? Maana hapo ni sawa na kua alizuiwa kutekeleza majukumu yake ya msingi kwa maslahi mapana ya nchi, kwa nini hakujiuzuru?

Unajua Emirates, Etihad, Gulf Air, Singapore Airways, Quntas, Autralian wote wananunua keshi.

Labda ni kweli ni nyingi, lakini lazima tume na ndege zetu.

Huyu ana ajenda, wote waliotumbuliwa wana hasira hawajuhi jinsi ya kujiajiri. Watagemea watateuliwa.

Na hili group lao linaloitwa kigogo 2014 linawapoteza Watanzania sana.
 
Kwa wewe mtu mmoja kumuondoa haimpunguzii credit zake.

Hamshambulii marehemu anashambulia utendaji wa marehemu na iwe angalizo kwa watu wajao na waliopo.

Kuwa kiongozi si kuwa ndio unajua kila kitu na wenzio ni magarasa tu.

Hebu pita vizuri, nami nilikua nakukubali ila kwa chuki yako hii kama ya kidini nadhani nimekudharau.
Nani kakuambia mletauzi pekeake ndio amemdharau huyo profesa, hata mimi nimemdharau na wengine wengitu wenye akili.
 
Mjomba samahani una elimu gani?Au ndo Rushwa ya akili inakusumbua kama alivyosema Jana!

Kaa tafakari sio unachomoa vineno,unakurupuka tu bila kuelewa.
Nawewe mjomba samahani unaelimu gani?
Mbona unashindwa kujibuhoja ya mletauzi unaanza mipasho.
 
Sasa shida zote hizo za nini wakati hela ipo. Tununue tu. Sisi ni nchi tajiri na sio masikini tuanze kukopa kopa kila siku.
Maeneo mengi watoto bado wanakaa chini madarasa hata hayatoshi, mahospitali na vituo vya afya hamna wafanyakazi wala vitendea kazi, maji ndio kabisaa tunachangia na wanyama. Ni shida sana.
 
Nani kakuambia mletauzi pekeake ndio amemdharau huyo profesa, hata mimi nimemdharau na wengine wengitu wenye akili.
Na wewe huna tofauti naye na wa mfano wenu wako wengi wachache katika 100 mpo watatu hivyo haisumbui kitu
Kwa sasa sio muda wenu wa kuelewa mtaelewa huko mbeleni
Kuelewa taratibu inaruhusiwa
 
Maeneo mengi watoto bado wanakaa chini madarasa hata hayatoshi, mahospitali na vituo vya afya hamna wafanyakazi wala vitendea kazi, maji ndio kabisaa tunachangia na wanyama. Ni shida sana.
Hayo maeneo mengi na wap huko... mzee kajenga shule na ameboresha ngapi, vituo vya afya, zahanat na hospitali ngap zimejengwa...? Maendeleo sio hivo tu kila siku watu huongezeka. Hivyo ukiona serikali inanunua ndege au kufanya shughuli nyngne za kimaendeleo, kwanza jua inatengeneza ajira pili inaongeza wigo wa ukusanyaji kodi....

ni sawa naww nyumban kwako useme mm nataka ntumie hela yangu yote kusomesha watoto na matibabu ukasahau kuna siku zitaisha inabidi utafute nyingine. Watanzania lazima ifike mahali tuwe na jicho la kuona mbali. Mipango ya muda mfupi na muda mrefu ni muhimu kwa maendeleo ya nchi.

Hata marekani inarusha vyombo kwenda kufanya tafiti sayari za mbali lakini kuna watu wake hawana makazi wanalala mtaani. Chaguo ni lako, chukua au acha.
 
Nadhani ukiangalia balance sheet ya mashirika kumi makubwa ya ndege utakuta wanamadeni makubwa ya muda mrefu sababu manunuzi ya ndege.

Kwa Tanzania report ya CAG imeweka mambo sawa zaidi serikali ndio inamiliki ndege sio ATCL. Shirika lina mkataba wa lease operating licence only, na tena serikali inaonekana wapo serious kulipwa hela yao kwa mujibu wa mkataba.

So hela ya serikali imeanza kurudi kitambo tu kwa manunuzi ya ndege; be it inarudishwa kivingine ATCL kupitia ruzuku.

Hope na ATCL nao wapo serious kibiashara kulipwa hela yao siku raisi au viongozi wengine wa nchi wanapochokua ndege kwa shughuli za serikali.
 
Back
Top Bottom