TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia

TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia

Duuu kanifundisha Microbiology na Organic farming kipengele cha Mushroom production. She was so ambitious and committed to her job. We used to call her an Iron lady. Huyu mama alichukia sana uzembe na ulege lege hasa tulionao wasomi wa Kitanzania.

Mungu amuweke mahali alipojichagulia.Its a worst day for me.[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Duuu kanifundisha Microbiology na Organic farming kipengele cha Mushroom production. She was so ambitious and committed to her job. We used to call her an Iron lady. Huyu mama alichukia sana uzembe na ulege lege hasa tulionao wasomi wa Kitanzania.

Mungu amuweke mahali alipojichagulia.Its a worst day for me.[emoji24][emoji24][emoji24]
Anaonekana tu kwenye hiyo picha yake. Ila ndivyo tena. Safari yake hapa duniani ndiyo imefikia tamati. Apumzike kwa amani. Na sisi wote tutamfuata. Yeye ametangulia tu.
 
Mama na mwana
Screenshot_20210207-164721.jpg


Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Habari za jumapili wapendwa?
Kwa tunaomfahamu Profesa Mamiro wa SUA amefarikiView attachment 1696732

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Kwa mwendo huu wa kutokuwa na ujasiri wa kumkabili mzee baba na genge lake, wengi tu njia moja. Mmoja mmoja kila mtu kwa wakati wake kwa kirusi hiki hiki.

Hata huyu alikuwa na nafasi ya kupaza sauti.

Hatimaye nafasi hiyo haipo tena.

Apumzike kwa amani profesa Mamiro.
 
Naskia week iliyopita alimzika Mama yake baada ya kifo cha Mama yake Baba yake alivyosikia mume WA Mama yake huyo marehemu alizimia Masaa 8 ..alivyozinduka naye baadae umauti ukamfika akawazika ..sasa Juzi nasikia amerudi Morogoro ndio nayeye yamemkuta ..R.I.P Mamilo kwani kapitia Magumu sana

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom