Naskia week iliyopita alimzika Mama yake baada ya kifo cha Mama yake Baba yake alivyosikia mume WA Mama yake huyo marehemu alizimia Masaa 8 ..alivyozinduka naye baadae umauti ukamfika akawazika ..sasa Juzi nasikia amerudi Morogoro ndio nayeye yamemkuta ..R.I.P Mamilo kwani kapitia Magumu sana
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Hujaeleweka mkuu