Naskia week iliyopita alimzika Mama yake baada ya kifo cha Mama yake Baba yake alivyosikia mume WA Mama yake huyo marehemu alizimia Masaa 8 ..alivyozinduka naye baadae umauti ukamfika akawazika ..sasa Juzi nasikia amerudi Morogoro ndio nayeye yamemkuta ..R.I.P Mamilo kwani kapitia Magumu sana
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Nimonia?
Naskia week iliyopita alimzika Mama yake baada ya kifo cha Mama yake Baba yake alivyosikia mume WA Mama yake huyo marehemu alizimia Masaa 8 ..alivyozinduka naye baadae umauti ukamfika akawazika ..sasa Juzi nasikia amerudi Morogoro ndio nayeye yamemkuta ..R.I.P Mamilo kwani kapitia Magumu sana
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Baba yake aliposikia mume wa mama yake ndio nini?Naskia week iliyopita alimzika Mama yake baada ya kifo cha Mama yake Baba yake alivyosikia mume WA Mama yake huyo marehemu alizimia Masaa 8 ..alivyozinduka naye baadae umauti ukamfika akawazika ..sasa Juzi nasikia amerudi Morogoro ndio nayeye yamemkuta ..R.I.P Mamilo kwani kapitia Magumu sana
Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Baba yake aliposikia mume wa mama yake ndio nini?
[emoji870]Huku mbeya tumeambiwa marufuku kuandika Kama amekufa ghafla
She is She not He.Pigo kubwa! How old was he?
Wewe ulipotea zaidi aisee..nilikua nachek umeonekana kama sikosei 2019...nikajua umechange id...mm nipo nimepumzika tu na soshomediasUlipotea kitambo!
Heri nawe mkuuPoleni. Leo nimemuona Elli Mshana nikataka kumuuliza umepotelea wapi?!! Heri ya mwaka mpya
All in all God is good nimefurahi kuona comment yako leo, kuna baadhi ya watu muhimu nikiona comments zao huwa nafurahi mmojawapo ni ww anyway tuko pamoja. stay blessed.Wewe ulipotea zaidi aisee..nilikua nachek umeonekana kama sikosei 2019...nikajua umechange id...mm nipo nimepumzika tu na soshomedias
Tupo pamojaAll in all God is good nimefurahi kuona comment yako leo, kuna baadhi ya watu muhimu nikiona comments zao huwa nafurahi mmojawapo ni ww anyway tuko pamoja. stay blessed.
Ww ndio Wangari Maathai!!?Tupo pamoja
Kwa mwendo huu wa kutokuwa na ujasiri wa kumkabili mzee baba na genge lake, wengu tu njia moja mmoja mmoja Kula mtu kwa wakati wake kwa kirusi hiki hiki.
Hata huu alikuwa na nafasi ya kupaza sauti.
Hatimaye nafasi hiyo haipo tena.
Apumzike kwa amani profesa Mamiro.
Kasi ya kuzaliwa watoto imeongezeka sana siku hizi kuliko zamani !Speed ya misiba imezidi aiseee