TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia


Hujaeleweka mkuu
 

Mkuu unaandika kama mtoto wa chekechea.. yaani hueleweki.. tumia alama za uandishi.. na pangilia maelezo msomaji aelewe
 
Baba yake aliposikia mume wa mama yake ndio nini?
 
Dah Corona hii, habari tunazozisikia ni za watu ambao kwanjia moja ama nyingine wanaumaarufu nchini. Vipi huko vijijini au uswahili kwa wasiojulikana?
 
Marehemu alisumbuliwa na nn?!!au amekufa ghafla?!!
R.I.P PROF
 
Wewe ulipotea zaidi aisee..nilikua nachek umeonekana kama sikosei 2019...nikajua umechange id...mm nipo nimepumzika tu na soshomedias
All in all God is good nimefurahi kuona comment yako leo, kuna baadhi ya watu muhimu nikiona comments zao huwa nafurahi mmojawapo ni ww anyway tuko pamoja. stay blessed.
 
Chizi Corona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…