TANZIA Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine - SUA afariki dunia

RIP umejuaje kwamba haibadilishi kitu???, lete ushahidi.
1.Torati 18:10-11.Wala asionekane mtu ..............apandishae pepo,wala uchawi ,wala mtu AWAOMBEA WAFU. Mungu anakataa kuombea wafu bali tuombeane tukiwa hai.

2.Muhubiri 9:5 Kwa sababu walio HAI WANAJUA ya kwamba watakufa; lakini WAFU HAWAJUI neno lo lote, wala HAWANA ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa."

3. Waebrania 9:27. Baada ya kifo ni hukumu. Hivyo kumuombea marehemu ni ujinga mbele za Mungu. RIP ni neno la kufarijiana tu ila halibadirishi chochote kwa mwenda zake.
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu.
Baba yake alikuwa mchungaji mstaafu. Although umri ulikuwa umeenda sana
Yani ni misiba mfululizo.
 
Forwarded message From SUA this morning, Tuesday, February 9th, 2021[emoji1427]

"Sad news, the husband, Dr Mamiro has also passed away alfajiri."

DUUUH KAMA NI UKWELI BASI HATARI SANA

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
 
Dah... So sad
 
Forwarded message From SUA this morning, Tuesday, February 9th, 2021[emoji1427]

"Sad news, the husband, Dr Mamiro has also passed away alfajiri."

DUUUH KAMA NI UKWELI BASI HATARI SANA

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
Unamaanisha mme wake nae amefariki, Au?Naomba unieleweshe
 
Alikuwa jirani yangu kipindi fulani Morogoroni huko. Mungu amlaze mahali pema peponi. Yeye na mme wake wote walikuwa maprofesa
 
Habari za asubuhi ni kwamba Mme wake pia Dr. Mamiro pia kafariki dunia asubuhi ya leo. Mwenyezi Mungu awatie moyo ndugu jamaa na marafiki wa familia hii.
 
Forwarded message From SUA this morning, Tuesday, February 9th, 2021[emoji1427]

"Sad news, the husband, Dr Mamiro has also passed away alfajiri."

DUUUH KAMA NI UKWELI BASI HATARI SANA

Sent from my TECNO CC6 using JamiiForums mobile app
.... duuuh! Ni kilio kila kona ya nchi! Hili gonjwa ni balaa; ni balaa kweli kweli. Tusipochukua hatua za kujikinga kazi ipo!
 
sijawahi kumsikia, kumbe ni mwanamke
Mwamba simu yako haionyeshi picha? Au huko kwenu wanaume wanabana nywele? Hiyo picha inayoonyesha cv yake hapo imetanabaisha ni mwanamke. Ni vizuri kabla ya kucomment usome kwa umakini details za muhimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…