TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

TANZIA Profesa Honest Ngowi afariki dunia kwenye ajali Mlandizi Pwani. Alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu Mzumbe

Pumzika kwa amani Prof Honest Ngowi. Japo sisi wa chache ambao akili na mawazo yetu vimekataa kukiona kifo hiki kama kifo cha kawaida.

Yapo maswali magumu sisi tunao amini conspiracy theories na elimu dunia tunajiuliza na kutamani kujuwa nani alikosea au kujisahau mpaka kifo kikakukuta kama masihara.
Nitaendelea...
Unajifanya mjuaji wa kila kitu.
Ngowi kaangukuwa na contena
Ni ngumu assassination ya aina hiyo kutokea au kuwepo.

Ingekuwa ajali ya mchongo kama ya sokoine hapo sawa

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Andika kitabu chako cha ujasusi wa kidola na umbea uwe unauza kama Yericko
Pumzika kwa amani Prof Honest Ngowi. Japo sisi wa chache ambao akili na mawazo yetu vimekataa kukiona kifo hiki kama kifo cha kawaida.

Yapo maswali magumu sisi tunao amini conspiracy theories na elimu dunia tunajiuliza na kutamani kujuwa nani alikosea au kujisahau mpaka kifo kikakukuta kama masihara.
Nitaendelea...
 
Prof Honest Ngowi aliwapenda wadada weupe wa university sana na ilimfanya mke apate msongo wa mawazo .
Duh!
hii dunia ina mambo. sasa hao wadada ndio wamesababisha kifo chake? au kuna laana ya mjane?
hebu fafanueni tuelewe vyema
 
Back
Top Bottom