ooh! vipi tena, kwa hiyo mjane anahusikaje?Prof Honest Ngowi alipata ajali saa 12 asubuhi mke akiwa Iringa. Tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ooh! vipi tena, kwa hiyo mjane anahusikaje?Prof Honest Ngowi alipata ajali saa 12 asubuhi mke akiwa Iringa. Tuanzie hapo
Unajifanya mjuaji wa kila kitu.Pumzika kwa amani Prof Honest Ngowi. Japo sisi wa chache ambao akili na mawazo yetu vimekataa kukiona kifo hiki kama kifo cha kawaida.
Yapo maswali magumu sisi tunao amini conspiracy theories na elimu dunia tunajiuliza na kutamani kujuwa nani alikosea au kujisahau mpaka kifo kikakukuta kama masihara.
Nitaendelea...
Ngoja tumsubirie jsus wetu huyo wa jeyf aje amarizieeWaswahili bhana
HahahaUnajifanya mjuaji wa kila kitu.
Ngowi kaangukuwa na contena
Ni ngumu assassination ya aina hiyo kutokea au kuwepo.
Ingekuwa ajali ya mchongo kama ya sokoine hapo sawa
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Pumzika kwa amani Prof Honest Ngowi. Japo sisi wa chache ambao akili na mawazo yetu vimekataa kukiona kifo hiki kama kifo cha kawaida.
Yapo maswali magumu sisi tunao amini conspiracy theories na elimu dunia tunajiuliza na kutamani kujuwa nani alikosea au kujisahau mpaka kifo kikakukuta kama masihara.
Nitaendelea...
Majasus hao wa jeyf hahahawabongo wape KICHWA CHA HABARI tu maelezo yote wanayo
Kwani Ngowi ni nani katika Nchi hii?Heeee! Huu msiba ni mkubwa mnooooo, wachumi tumepoteza mtu.
Duh!Prof Honest Ngowi aliwapenda wadada weupe wa university sana na ilimfanya mke apate msongo wa mawazo .