Ndiyooooooooo.Sent from my HTC One_M8 using JamiiForums mobile app
Kumbeee...basi sio kosa lake aiseeh ilikuwa ni lazima awe hivyo hakukuwa na namna.yani ulale saa nane za usiku then kukipambazuka uanze tena hekaheka za harusi!!lazima mtu achoke aseeh.Mwanamke amefanya send off jumamosi, jumapili kafanya harusi, plus anaonekana mjamzito.
Kiufupi walimu overdose sherehe,so alichoka kupita maelezo, sidhani kama unawezs kutabasamu ukiwa umechoka kupita kiasi.
Swali ni kwa nini waliunganisha send off na harusi? What the hurry?
"the highest risk should give maximum profit"
Discuss people.Simple minds
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Umenena mwaya yani yule mke wa sugu mweh....sura ka jiwe la kusugulia miguu[emoji57] [emoji15]Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
Mi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
Uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia eeeeh [emoji442][emoji443][emoji443][emoji443][emoji456][emoji447][emoji448][emoji441][emoji441]. Huwez jua rais wa Mbeya kampendea nini bibie Happy. Mapenzi ni zaidi ya uzuri wa sura [emoji12]
Usishangae kuwa alimpata kanisani ninaona mheshimiwa ameamua kwenda direction tofauti na baby motherMi nampongoza mhe. kwa kuwa na mke mrembo kidogo sio kama Sugu sijui alimuokota wapi yule dada mmh!
Na huwenda jamaa alisimamia show siku ya send off....Kumbeee...basi sio kosa lake aiseeh ilikuwa ni lazima awe hivyo hakukuwa na namna.yani ulale saa nane za usiku then kukipambazuka uanze tena hekaheka za harusi!!lazima mtu achoke aseeh.
Ila dada ni mrembo bhana tuache matani.
Kama anakibendi kweli!amejitahidi sana aiseeh
Usishangae kuwa alimpata kanisani ninaona mheshimiwa ameamua kwenda direction tofauti na baby mother
Sikupata muda mzuri sana wa kukaa na kutulia kisha niipitie kwa ' umakini ' sana ' Sherehe ' nzima ya Harusi ya Mbunge wa Mikumi Mheshimiwa Msanii Joseph Haule a.k.a Profesa Jay hadi hii leo ambapo nimeweza kuipitia yote na hatimaye ' Kikubwa ' nilichokiona hasa kwa upande wa Mke wa Profesa Jay kiukweli mara zote alionekana ni Mtu mwenye mawazo, kukata tamaa na mara nyingi akilazimisha tu furaha hata pale akina Sugu, Lema na Msigwa walipojitahidi ' kumchangamsha '.
Je Profesa Jay au nyie ' Wageni ' waalikwa mliohudhuria ile ' Harusi ' ni kitu gani labda kilimfanya hadi Bibi Harusi ( Mkewe Profesa Jay ) muda mwingi kutokuwa mchangamfu, kununa na kucheka / kutabasamu kwa kulazimishwa / kujilazimisha?
Nilichofurahi tu katika ' Harusi ' ile ya Profesa Jay hakuna Mtu aliyegoma au kutoka ' Ukumbini ' au hata tu Kurusha Ngumi kama asilimia ( % ) kubwa ya ' Wageni ' waliokuwepo mule walivyobobea Kugoma na Kutoka ' Ukumbini ' katika ' Shughuli ' zingine za Ujenzi wa nchi.
Profesa Jay nasubiri jibu langu tafadhali hata kama upo ' Fungate ' kwa sasa.
GENTAMYCINE umelala kamanda maana sio kwa mitusi hiyo mwambwa..