nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Nikiwa mdogo niliambiwa kutoongea wakati wa kula mate sijerukia kwenye sinia la chakulaRasimu ilimpa umaarufu, akaambulia ulaji…. hata ingekuwa ni mimi siwezi kupiga kelele wakati wa kula.
KABUDI wa BUNGE la KATIBA wakikutana na KABUDI WAZIRI hakika WATAPISHANA kama HAWAJUANI NJAA mbaya sanaAliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kwani wewe hao wanaotaka katiba mpya unadhani wanaitaka kwa madhumuni gani kama siyo iwawezeshe kupata madaraka?Madaraka hulevya bwashee.
Hakunaga kitu chema kinachotokea jalalani.....take it from me.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hulijui au 😂😂😂Salama kabisa.
Wewe na Kabudi mlipata tatizo gani ambalo katiba ikawaokoa?
😂😂😂😂😂😂😂 kweli kabisaSababu siyo hiyo Kabudi awe mkweli tu. Katiba hii ni madhubuti kwasabb imemtoa Prof Kabudi jalalani
Bavicha=Wananchi wengi???Najua hili suala la aliyekuwa DC wa Hai liko Mahakamani lakini kama ni kweli kwamba accounts zake zilikutwa na billion 3 ni wazi mtu aliyemo au atakayeingia ndani ya serikali lazima atabadilika na kufanana na aliowakuta huko.
Hivi kama DC na kijana mdogo anaweza kuhodhi 3b kwa miaka minne tu, waziri anaweza kulimbikiza kiasi gani?
Kitu ambacho sikujua ni kuwa idadi ya watz wanaoabudu pesa (material possessions) nilifikiri ni wachache lakini kumbe hata tuliowategemea kwa uadilifu wao au umri ni kwa sababu ya maigizo tu, wakishaona ving'aavyo wote wanaufyata.
Umuhiumu wa katiba ni mkubwa hata zaidi ya wakati ule lakini ninachogundua wanaotaka katiba mpya ni wananchi walio wengi lakini wako nje ya serikali. Hivyo tusitarajie mtu aliyemo ndani huko kunga mkono hii movement, hapa ni wananchi wenyewe kusema basi
Huyo ni professor madhubuti kabisa 😂😂😂Sijawahi kumuelewa huyu Professor
Mbowe na Lissu nao wawe wakweli tu. Katiba mpya wanayoililia ni madhubuti kwani itawatoa jalalani na ukimbizini waliko kwa sasa.Sababu siyo hiyo Kabudi awe mkweli tu. Katiba hii ni madhubuti kwasabb imemtoa Prof Kabudi jalalani
Katiba yetu nzuri inaelekeza wananchi kupitia wawakilishi wao bungeni ndiyo wenye mamlaka ya kumu impeech rais kwa kura za 2/3 kutoka kila pande za muungano kwani rais anachaguliwa na wananchi wote na madaraka yake kakabidhiwa na wananchi wote. Ikitokea bunge likapitisha kura ya kumu impeanch rais, bunge huvunjika na Tume ya Uchaguzi huandaa na kuendesha uchaguzi mkuu mpya wa rais na wabunge. Yaani katika uchaguzi huo wananchi ndiyo hutoa maamuzi ya kurudi au kutorudi kwa rais huyo na wabunge hao. Hii ndiyo peoples power ya katiba yetu na si ile peoples power fake ya chadema.Katiba yetu ingekuwa madhubuti kiukweli basi Rais akiivunja angekuwa impeached. Mtangulizi wa Mama alivunja katiba na Mama naye kaanza. Na hakuna kuajibishwa. Madhubuti? My foot!
CCM mnapenda sana kuwadanganya watu.
Kuna waziri amewahi itwa mpumbavu na mwendazake.ila nimesahau ni nano ngoja nikumbuke.Aliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Kabudi ndiye waziri mzigo kuwahi kutokea Tanzania tangu tumepata uhuruAliyekuwa mjumbe wa Tume ya katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba na ambaye kwa sasa ni Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Kabudi amesema Katiba ya Tanzania ni madhubuti ndio maana imetuvusha tulipopata tatizo kubwa.
Nawasalimu kwa jina la JMT!