I agree, 360 trillions Tshs ilikuwa mbinu za majadiliano, ili waweze kupata walicho plan kwenye majadiliano yale, kumbuka Barrick Gold yale ni mabeberu haswa ya dunia hii, yaani majambazi makuu, sasa mbinu za majadiliano lazima ziwe kubwa mno.
Mie pia nilijua tu Barrick hawawezi lipa tshs 360 tril. Ila badala yake tulipata kishika uchumba $ 300 mil plus tumepata 16% ya Acacia shares (umiliki), pia watu wetu wako ktk management ya Acacia, bado udhibiti umekuwa mkubwa sana sasa hivi..
Walau tumepata kitu kikubwa, nakubaliana na Prof. Kabudi, though ana umaskini wa akili na mali, he has intellectual arrogance kubwa sana Prof . huyu.