Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au vipi?![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sukuma gang on the move
Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.
Si tulipewa zile 700b? Na hisa 16%, umesahau?
Baada ya majadiliano, ilithibitika hatuwadai hata dola 1 Acacia ila Barrick wanapendekeza Acacia atupatie msaada wa dola milioni 120 maana milioni 180 wanatudai. Hivyo kutoka ile dola milioni 300 waliyoipendekeza Acacia kutusaidia, ukiondoa dola milioni 180 wanayotudai Acacia, inabakia dola milioni 120 tu.Kutoka trillion 360 mpaka bilioni 700! Hakyamama tumeonekana vilaza namba 1 duniani
Sasa mkuu kama kweli tulikuwa na haki ya kupata kiasi halisi cha kodi yetu palikuwa na ulazima gani wa kuwalaghai wananchi kwamba tunawadai trilioni 360 hali ya kuwa tunajua ukweli?Kwanini uonekane kilaza ikiwa hata hiyo bil 700 hukutegemea kuipata?
Mimi nakuona wewe ndie kilaza.
Huyo jamaa alikuwa anakusingizia Kodi halafu anafyeka Hela zote kwenye akaunti, ulikuwa utawala wa kishetani kabisaTukisema mwendazake aliitumia TRA kusingizia watu madeni mnakataa... huo ushahidi sasa?
Kodi inatumia Sheria, haiamuliwi from nowhere.
Bado Kabudi ameongeza upuuzi juu ya upuuzi kwenye utetezi wake.
Usijichoshe kufikiria mbali, hapo kilichofanyika ni kucheza na maneno tu, mimi binafsi siamini kama kweli tulikuwa tunawadai wazungu hata mia, kama ingekuwa hivyo, wale wangeshafukuzwa siku nyingi sana kwa kukiuka masharti ya mkataba, ni sound za kina Kabudi kwa wazungu ndio zilifanya wakapata hizo pesa, ndio maana nawapongeza kwa sound zao.Sasa mkuu kama kweli tulikuwa na haki ya kupata kiasi halisi cha kodi yetu palikuwa na ulazima gani wa kuwalaghai wananchi kwamba tunawadai trilioni 360 hali ya kuwa tunajua ukweli....
Kwani usiende majukwaa ya mbwa Moja Kwa Moja? Hili jukwaa la binadamu!ukipata like 10 niite mbwa!! nimekaa pale
Target ya trillion 360 ili kupata billion 700 (something less than 6% out of 100%) ambazo haziwezi kuwa enforced- Just a favor? Ni ujinga mtupu kwa macho ya mwenye akili.Yuko sahihi, ni sawa na mfanyabiashara anayeweka cha juu ili ukija kulia akupunguzie bei bado usishuke chini ya target yake, muhimu ijulikane hicho kilichopatikana hapo hata kama kidogo, bado hakikutegemewa kupatikana.
Hii nayo ni rubbish.I agree, 360 trillions Tshs ilikuwa mbinu za majadiliano, ili waweze kupata walicho plan kwenye majadiliano yale, kumbuka Barrick Gold yale ni mabeberu haswa ya dunia hii, yaani majambazi makuu, sasa mbinu za majadiliano lazima ziwe kubwa mn...
Ni juice ya Madagascar?9
Kama Professor alishiriki kuudanganya umma wa Watanzania,Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi...
Freaking moron.Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi...
Wewe ni kada wa CCM?Bila shaka ni kwa vile wewe siyo professor na huenda huna vigezo vya kuwa professor.
From: Professor ajaye (Mathematics).
Haikuwezekana kudai pesa halali tukalipwa?Kwanini uonekane kilaza ikiwa hata hiyo bil 700 hukutegemea kuipata?
Mimi nakuona wewe ndie kilaza.