Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

Faida za majadiliano na Barrick!
 

Attachments

  • image_2940963376021632815_.jpg
    image_2940963376021632815_.jpg
    59.2 KB · Views: 9
A. Ndiyo
B. Siyo
C. Sijui
D. Chagua kati ya A, B na C.

By the way, swali lako liko nje ya mada na nje ya maelezo uliyo - quote. Utakuwa una upungufu wa sehemu ya ubongo ya kuchakata muunganiko wa maneno.
Hivyo ulivyojibu utakuwa wewe ni mmoja wa Hao maprofessa wenye akili nyingi akina Kabudi
 
Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.

Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".

======


  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022
Zile mbuzi za CCM zilizomtusi Mheshimiwa Lissu na CHADEMA zije hapa sasa, kenge wale, CHADEMA ni level nyingine kabisa
 
Usijichoshe kufikiria mbali, hapo kilichofanyika ni kucheza na maneno tu, mimi binafsi siamini kama kweli tulikuwa tunawadai wazungu hata mia, kama ingekuwa hivyo, wale wangeshafukuzwa siku nyingi sana kwa kukiuka masharti ya mkataba, ni sound za kina Kabudi kwa wazungu ndio zilifanya wakapata hizo pesa, ndio maana nawapongeza kwa sound zao.
Sasa kama ilikuwa ni sound tu mbona hilo deni lilipekekwa hadi mahakama za kodi na hadi Samia ndio kaja kulifuta tu hivi juzi
 
View attachment 2376603

  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022

=====

Kumbukumbu: Picha inaonesha Prof. Kabudi akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya kulipwa kodi trilioni 360 za makinikia Mbele ya Hayati JPM Ikulu, Dar es salaam

View attachment 2376606
Kina Mama tuzalieni Magufuli mwingine!!

Alikuwa ni Mtu!!
 
View attachment 2376603

  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022

=====

Kumbukumbu: Picha inaonesha Prof. Kabudi akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya kulipwa kodi trilioni 360 za makinikia Mbele ya Hayati JPM Ikulu, Dar es salaam

View attachment 2376606
Kabudi chini ya JPM
 
Kauli hii ya Profesa Kabudi inadhihirisha kuwa Lissu alikuwa sahihi Sana kwa sababu hata kama ni mbinu za kutaka mjadala, kwa wasomi kama maprofesa kutumia mbinu ya uongo "ulio dhahiri" kiasi hiki ulikuwa ni upungufu wa weledi.

Labda tuwasikie Wataalam wa daplomasia ya uchumi waje watufafanulie mbinu hii ya "Uongo mkubwa wa dhahiri" kama Lissu alivyokuwa "Profesorial Rubbish".

======


  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022
S ajabu akarudishwa kweny ulambaji wa asali jumlajumal

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2376603

  • Asema zilikuwa mbinu za majadiliano, ataja tishio la Acacia
  • Afafanua suala hilo limekwisha, atamtafuta mwigulu amweleze
  • Atamba uamzi ule umeleta heshima, faida kubwa kwa nchi
  • Asema alikosea kutumia neno jalala, asisitiza kibiblia ni sahihi.

Nukuu za Prof. Palamagamba Kabudi kwenye gazeti la leo la Jamhuri, Oktoba 4, 2022

=====

Kumbukumbu: Picha inaonesha Prof. Kabudi akishuhudia utiaji saini wa makubaliano ya kulipwa kodi trilioni 360 za makinikia Mbele ya Hayati JPM Ikulu, Dar es salaam

View attachment 2376606
Wazungu wahuni San waliamua wenyewe bila shurti kusain walikuwa wanajuwa kbsa kuwa hawatalipa kias hicho

walimpumbaza jiwe Kisha wakamuaa jumla jumla sas Wana kiburi kimeanza Tena accia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Je kulikuwa na ulazima wa Kabudi kulitolea maelezo jambo hili la majadiliano na Barick kwa sasa?,na kwa nini sasa?

Je ni shinikizo la kuisafisha serikali ya awamu ya SITA kwa kusamehe kodi zetu akiahidiwa utukufu?

Angekaa kimyaa angepungukiwa nini? .kwasababu serikali ina wasemaji wake na yeye si msemaji?

Je gazeti la jamuhuri limepotosha mahojiano?


Kwakua amezalisha maswali na mitazamo mbalimbali ,ni jukumu lako sasa kuendelea kutoa ufafanuzi zaidi ya mahojiano ya gazeti la Jamuhuri.


Nawasilisha
 
Huu ni uthibitisho kwamba JPM alikuwa anaendesha nchi kwa ulaghai, utapeli, uzandiki, na propaganda. Alizungukwa na waongo na wanafiki, na yeye alipenda uongo na unafiki.

Ajabu mpaka Leo Kuna mijitu mijinga inaendelea kuimba ujinga wa awamu ya tano. Anajifanya kupambana na ufisadi huku pembeni ana Makonda, na Sabaya. Tenda za kujenga stiglers, sub contractors wote ni vikampuni vyake, pamoja na inner cycle yake. Wenye vikampuni hivyo ndio wanapiga mdomo sana kuhusu mradi, kwa sababu wamekaa pale wananyonya nchi. Akina polepole, ana kikampuni pale kina tenda, kinafiki anajifanya mzalendo kuupenda mradi, nyuma ya pazia ana kampuni inakula Hela zetu pale stiglers.

Stendi ya Magufuli Mbezi, kikampuni chake, kimevuta Hela, na stendi hakijaimaliza, inabidi Hela itafutwe kwingine, masoko mapya nchi nzima, stendi ya nyamhongolo, barabara za Kanda ya ziwa via mayanga construction, barabara ya kigoma inayojemgwa na nyanza road, kampuni ambayo ana hisa, imejengwa miaka zaidi ya 20 haiishi huku akiwa bize kufutia ukandarasi kampuni za wenzake.

Wafanyakazi anatimua timua huku wale wa Chato wakiajiriwa bila interview na kujazwa serikalini.

Uwanja wa ndege Chato, imejenga kampuni yake, hospitali ya Kanda Chato...endless list.

Hakuna utawala mchafu kama wa awamu ya JPM.

Miradi mingi ya ujenzi wa madaraja na barabara ni kampuni za JPM lakini alikuwa anawapachika wachina.

Oohh masikini na wanyonge, jitu limejaza matrilioni kwenye akaunti za Siri, mfugale anaulizwa hizi Hela vipi, badala ya kujibu, na yeye anakufa

Sasa hao jamaa wa mgodi wakaidai bilioni 700 ambayo waliilipa kupitia professorial rubbish

Mkuu mimi binafsi katika kazi zangu nimepata access ya kuwajua sub-contractors wengi wa bwawa la umeme na reli ya mwendokasi na waliokua wameanza kujiweka sawa kwa ajili ya bomba la mafuta.

Nakuhakikishia katika kipindi ambacho watu wamepata hizo tenda kwa haki, bila rushwa na bila kumjua mtu ni kipindi cha JPM.

Mnapotosha kwa faida ya nani? Hebu taja hiyo kampuni ya Polepole iliyokua inahudumu kwenye bwawa la umeme, vinginevyo wewe ni qumer tuu.
 
Maana yake ni kwamba hii nchi inaongozwa kwa ulaghai, uwongo na kwa ujinga mkubwa.

Hilo la trillion 360 mmeambiwa na profesa jalala ilikuwa ni uwongo, je kuna mangapi ambayo yamekuwa ya uwongo, na hawajakiri kwa sababu hamjahoji?

Kwa ujumla, awamu ya 5, ilikuwa ni ya uongozi na hadaa, na wajinga/wendawazimu waliokotwa sana kwa zile hadiyhi. Sisi wengine tulijua kutoka mwanzo kuwa ulikuwa ni uwongo na uwendawazimu kusema kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa kodi ya ya sh. Trilion 360. Mpumb.avu pekee yake ndiye angeweza kuamini. Ni sawa uambiwe kuwa kuna mwizi ameiba tani 1000 za cement, amekutwa amezipakia kwenye guta,na wewe ukaamini. Wewe utakayeamini ni lazima uwe mwendawazimu.

Wote walioamini kuwa Acacia walikuwa wanadaiwa sh trilioni 360, hakika wote, wana uwendawazimu wa aina fulani.

Hata bilioni 700 walizokubali Barrick kuipa Tanzania ndani ya miaka 7, walitamka wazi kuwa ni msaada, wala siyo deni la kodi, na haitalipwa mara moja.

Hata ukiangalia ule mkataba wa Barrick na Swrikali, utagundua kuwa, mwishoni ni Serikali ndiyo iliyoamua kuibembeleza Barrick, ndiyo maana Barrick ilitoa masharti magumu, na Serikali ikaridhia.

Awamu ile iliwatumia maprofesa punguani kuwahadaa wajinga na neno 'profesa', kumbe ni maprofesa wa hadaa.
Jiwe na proof walikuwa sahihi kipindi hicho

Kwa wale waliosoma cuba ndio wanaweza kuelewa umesoma tz utaelewe kwa shida sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi binafsi katika kazi zangu nimepata access ya kuwajua sub-contractors wengi wa bwawa la umeme na reli ya mwendokasi na waliokua wameanza kujiweka sawa kwa ajili ya bomba la mafuta.

Nakuhakikishia katika kipindi ambacho watu wamepata hizo tenda kwa haki, bila rushwa na bila kumjua mtu ni kipindi cha JPM.

Mnapotosha kwa faida ya nani? Hebu taja hiyo kampuni ya Polepole iliyokua inahudumu kwenye bwawa la umeme, vinginevyo wewe ni qumer tuu.
Hpolepole Acha matusi, vp shule yako ya uongozi bado unaendeleanayo?
 
Back
Top Bottom