Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

Faida za majadiliano na Barrick!
 

Attachments

  • image_2940963376021632815_.jpg
    59.2 KB · Views: 9
A. Ndiyo
B. Siyo
C. Sijui
D. Chagua kati ya A, B na C.

By the way, swali lako liko nje ya mada na nje ya maelezo uliyo - quote. Utakuwa una upungufu wa sehemu ya ubongo ya kuchakata muunganiko wa maneno.
Hivyo ulivyojibu utakuwa wewe ni mmoja wa Hao maprofessa wenye akili nyingi akina Kabudi
 
Zile mbuzi za CCM zilizomtusi Mheshimiwa Lissu na CHADEMA zije hapa sasa, kenge wale, CHADEMA ni level nyingine kabisa
 
Sasa kama ilikuwa ni sound tu mbona hilo deni lilipekekwa hadi mahakama za kodi na hadi Samia ndio kaja kulifuta tu hivi juzi
 
Kina Mama tuzalieni Magufuli mwingine!!

Alikuwa ni Mtu!!
 
Kabudi chini ya JPM
 
S ajabu akarudishwa kweny ulambaji wa asali jumlajumal

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu wahuni San waliamua wenyewe bila shurti kusain walikuwa wanajuwa kbsa kuwa hawatalipa kias hicho

walimpumbaza jiwe Kisha wakamuaa jumla jumla sas Wana kiburi kimeanza Tena accia

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Bila shaka ni kwa vile wewe siyo professor na huenda huna vigezo vya kuwa professor.

From: Professor ajaye (Mathematics).
Alfu unajuwa nn proof [emoji23] muda siyo mrefu nilikukumbuka San kuhusu swala lako la interview je ulifanikiwa kufika jijin dsm ama uko geita Bado kwako prof

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Je kulikuwa na ulazima wa Kabudi kulitolea maelezo jambo hili la majadiliano na Barick kwa sasa?,na kwa nini sasa?

Je ni shinikizo la kuisafisha serikali ya awamu ya SITA kwa kusamehe kodi zetu akiahidiwa utukufu?

Angekaa kimyaa angepungukiwa nini? .kwasababu serikali ina wasemaji wake na yeye si msemaji?

Je gazeti la jamuhuri limepotosha mahojiano?


Kwakua amezalisha maswali na mitazamo mbalimbali ,ni jukumu lako sasa kuendelea kutoa ufafanuzi zaidi ya mahojiano ya gazeti la Jamuhuri.


Nawasilisha
 

Mkuu mimi binafsi katika kazi zangu nimepata access ya kuwajua sub-contractors wengi wa bwawa la umeme na reli ya mwendokasi na waliokua wameanza kujiweka sawa kwa ajili ya bomba la mafuta.

Nakuhakikishia katika kipindi ambacho watu wamepata hizo tenda kwa haki, bila rushwa na bila kumjua mtu ni kipindi cha JPM.

Mnapotosha kwa faida ya nani? Hebu taja hiyo kampuni ya Polepole iliyokua inahudumu kwenye bwawa la umeme, vinginevyo wewe ni qumer tuu.
 
Jiwe na proof walikuwa sahihi kipindi hicho

Kwa wale waliosoma cuba ndio wanaweza kuelewa umesoma tz utaelewe kwa shida sana

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hpolepole Acha matusi, vp shule yako ya uongozi bado unaendeleanayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…