Profesa Kabudi: Trilioni 360 za makinikia haikuwa kodi sahihi, Nilikosea kutumia neno “Jalala”

Mkuu tukio la Edo halikuhusisha marisasi. Hili tukio lina guilt nyingi mtu anakuwa anakereketwa kusema
 
Mkuu tukio la Edo halikuhusisha marisasi. Hili tukio lina guilt nyingi mtu anakuwa anakereketwa kusema
Kwani hata huyo Kabudi ameshikiwa Bastola kusema hayo? Nadhani anatafuta kuungwa mkono na Wananchi, na katika watu hawatarudi Bungeni 2025 ni pamoja na huyo Mzee wa Jalalani

Lakini ni ukweli katika watu JPM aliwaamini ni pamoja na huyo Mzee
 
Mnayasema hayo hadharani na mnategemea wawekezaji serious walete mitaji yao. Kama wale wawekezaji walioenda Kenya mnategemea kuna siku watakuja huku? Hapana, Huku watakuja wawekezaji matapeli wanaokuja bila mitaji na wanaipatia huku huku.

Nchi hii ina wasomi waliochanganyikiwa, badala ya kukalia viti kwa nafasi walizopewa ni bora kwa kuwasaidia wapelekwe hospitali ya watu wenye matatizo ya akili.
 
mbele ya meza ya mfalme watu hujikomba na kujishtukia,lakini akina yaheee tupo tu.
 
Kwani hata huyo Kabudi ameshikiwa Bastola kusema hayo? Nadhani anatafuta kuungwa mkono na Wananchi, na katika watu hawatarudi Bungeni 2025 ni pamoja na huyo Mzee wa Jalalani

Lakini ni ukweli katika watu JPM aliwaamini ni pamoja na huyo Mzee
JPM alibariki kodi zisizo na uhalisia na zisizolipika, huu ulikuwa udhaifu.
 
Kwenye madai ambayo hayakuwepo, ni fiction, hiyo pesa kwangu ni nyingi sana, bado naendelea kumpongeza Kabudi.
Pale tapeli anapompongeza tapeli mwenzie aka mwana fisiemu
 
Profesa wa mchongo aka kabudo
 
Aa kumbee nyie ndio mlio mpeleka mfugale paradise👆👆
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Sukuma gang umechafukwa
 
Ikulu ni nyumba ya udalali - Simkumbuki aliyetamka haya maneno.
Mfano dangote anawekeza lkn haweki hiza zake wazi Kwa DSM stock exchange, anahipatia hasara kubwa Kwa Taifa letu.
Kazi kubwa kwake kuja ikulu kuongea, pindi anapoingia raisi mpya Ikulu, what hell our president doing in the state House 🚮🚮🚮
 
JPM alibariki kodi zisizo na uhalisia na zisizolipika, huu ulikuwa udhaifu.
Mkuu zilipikwa kodi hasa.. Kwa neno UZALENDO

Unaumiza raia wako makusudi... Mtu anakwambia kabisa mimi mtaji wangu huu... Nauza kiasi hiki... Unasema ni mwongo...
Matokeo yake watu wameyumba kiuchumi kwa fujo za utawala ule..

Ukienda kwa DPP ofisini kwake asilimia 50 za kesi ni uhujumu uchumi sijui kakwepa kodi... Kumbe mtu kabambikwa kodi kakataa wakamtengenezea kesi akae ndani..
ili DPP afanye mazungumzo na huyo mtu akiwa gerezani kumlazimisha wachukue nusu ya salio lake kwenye account..

Ule uongozi ulipenda kesi za ajabu na nyingi za kutengeneza ili kuweza kuaminisha watu.. Eti tuna kiongozi Mzalendo...
Tuna Katiba inayompa Rais madaraka ya kufanya lolote bila kuhojiwa.. Ndio matokeo yake

Yaani Jiwe asinge pambanishwa na combination ya covid + ibilisi na kukutanishwa uso kwa uso na IZIRAELI ile March 2021 ..... Nchi ilikuwa inaenda shimoni
 
Mkuu kumbe ulikuwa hufahamu- ngoja nikwambie Mungu hajawahi kuumba msomo, wazir, wala nani- Mungu aliumba mwanadamu mwanaume kwa udongo na mwanamke kwa mifupa ya mwanume mengine yote ni mbwembwe tu
Kabisaa!!!
 
Kadhi Mkuu 1 said:
Kibongo bongo ni sawa, kama vile mtu anauza kitu elf 25 mwisho unanunua elfu 3.

Kwa kweli wasi wasi wangu ni mmoja tu hii habari ikiwafikia waliokuwa wakidaiwa hii kodi, je mtakuwa na ujeuri wa kusema, hapana, tuliwabambikia tu makusudi! Huu ujinga utatumaliza!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…