Profesa Kitila Mkumbo amepewa Uwaziri ili kukamilisha mpango wa bandari kwa DP World?

Profesa Kitila Mkumbo amepewa Uwaziri ili kukamilisha mpango wa bandari kwa DP World?

Hivi nyie watu ni wadini angeweka muislamu ungesema waislamu wameamua kuuza bandari, wakati umewekewa picha kabisa kwamba muazilishi wa Dp world ni kitila mwenyewe kipindi ni waziri wa viwanda sasa unapindisha tena, udini hautupeleke popote kama nchi,
Lazima mchambe
 
Tuliwahi kuandika hapa JF kuwa hakuna uteuzi au utenguaji unaofanyika kwa bahati mbaya au nzuri, kila uteuzi na utenguaji wa rais hapa Tanzania ni mpango kamili na mkakati mahususi wa muda mfupi, kati au umrefu.

Pia soma > Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Kuna jambo fulani niliwahi kudokezwa siku nyingi kidogo kuhusu Profesa Kitila Mkumbo kwenye utawala wa mama nikabakia kushangaa na kusubiri kuona kama kweli litatokea ili niamini. Niliambiwa Kitila Mkumbo angeondolewa kwenye nafasi ya uwaziri (kama geresha ili kuwafumba macho watanzania) halafu baadaye atarejeshwa tena mambo yakiiva!

Unaweza usiamini sana, lakini fahamu tu, katika utawala wa mama, Professa Kitila Mkumbo ndio dalali muhimu wa mapatano katika deal la uuzwaji wa bandari za Tanganyika kwenda kwa waarabu wa Dubai. Muarabu wa Dubai anamuelewa vyema tangu mwanzo Profesa Kitila kwenye hili deal na kwa hali ilipofikia sasa (moto unaowaka chini kwa chini) kwa gharama zote Profesa Kitila imebidi apewe tena majukumu mahususi kumpooza muarabu mezani ili mambo yaende kama awali.

Ili kufanya mambo yaende sawa, kuondoa hatari ya siri kuvuja ovyo na kupunguza miruzi mingi, imebidi haraka sana suala la Mipango liondolewe kutoka wizara ya fedha na suala la uwekezaji (ambalo tayari mchakato wake ulishakamilika ili kulihamisha) liondolewe kutoka viwanda na biashara ili kuundwa kwa wizara mpya ya mipango na uwekezaji, kisha iwe chini ya ofisi ya rais na waziri apewe Profesa Kitila Mkumbo!

Kama tulivyozoea kumuona Profesa Kabudi akiwa mchenga wa deal za Magufuli kipindi kile cha issue za madini na siasa za kidiplomasia, tutegemee kumuona Profesa Kitila na deal za uuzwaji wa Bandari kwenda uarabuni.

Watu wengi wanadanganywa kuwa hili suala la uuzwaji wa bandari limeanza mwaka huu, kiufupi mikataba halisi ilishafanyika tangu mwaka jana, na deal lilianza kutengenezwa tangu mwaka juzi Profesa Kitila akiwa ni waziri husika.

Pia wapo watu wanadhani Profesa Kitila ni mpya kwenye hiyo nafasi, lakini kiuhalisia alishawahi kuwa waziri ofisi ya rais (uwekezaji)hapo kabla tena akiteuliwa na Magufuli. Mwisho kabisa wapo watu wanaodhania kuwa Profesa Kitila amepewa hiyo nafasi kwa kuwa amekuwa mtetezi muhimu wa serikali kuhusu sakata la bandari kuuzwa kwa muarabu, basi watu hao huenda wako sahihi kwa 100%. Siri ya mtungi aijuaye kata!

Kaa mkao wa kula, kuna mengi yatafuata!

Ninaamini hili!!

Kuna Skendo fulani ilitokea pale UDSM na Mke wa Prof.Mkumbo ambaye alikuwa muajiriwa wa chuo hicho alihusika kwenye hiyo Skendo na wenzake kadhaa!! kwenye sakata hilo mara akahamishwa haraka na kupelekwa TPA na kupangiwa nafasi kubwa tu hapo bandarini na kuwaacha wenzake wakihangaika na hiyo skendo na Sijui Kama walichomoka!!

Kwa Tanzania hii,kuzaliwa katika familia ya kimaskini ni laana
 
Na bado..

Anaupiga mwingi!

Tulibanwa sana!

Sasa tunapumua!

Anatuponya majeraha!
 
Ila CCM wanatukosea sana sana, nenda pale Sabasaba uone uchafu na udini unaofanywa na yule Mama pale Sabasaba, Kila siku anasafiri na Rais Samia.
Taasisi inakufa, wameenda pale mawaziri na makatibu wakuu ila wameshindwa kumuomba aliyemteua amuondoe. She is Samia's best friend.

Yaani kama Samia anashauriwa na MTU kama yule basi KAZI IPO, wanakazi ya kununua Madera na shopping 🛍️ Kila akisafiri. Usitegemee lolote
Wewe ndio mdini na mwenye roho mbaya. Unataka kila nafasi ya uongozi muwe Wakristo tu kwani hii nchi ni mali yenu pekee yenu? Waislam wapo wachache kwenye hizo nafasi lakini hawapumui kwa kusakamwa na nyie mabazazi!
 
Inasemekana wameanzia mbali.

Nchemba naye kaona isiwe shida, mama panua wigo nipate muda wa kutosha.

Tunataka Bandari zetu.
 
Tuliwahi kuandika hapa JF kuwa hakuna uteuzi au utenguaji unaofanyika kwa bahati mbaya au nzuri, kila uteuzi na utenguaji wa rais hapa Tanzania ni mpango kamili na mkakati mahususi wa muda mfupi, kati au umrefu.

Pia soma > Rais Samia aunda Wizara Mpya na kufanya Mabadiliko ya kimuundo baadhi ya Wizara. Amteua Profesa Kitila Mkumbo kuwa Waziri

Kuna jambo fulani niliwahi kudokezwa siku nyingi kidogo kuhusu Profesa Kitila Mkumbo kwenye utawala wa mama nikabakia kushangaa na kusubiri kuona kama kweli litatokea ili niamini. Niliambiwa Kitila Mkumbo angeondolewa kwenye nafasi ya uwaziri (kama geresha ili kuwafumba macho watanzania) halafu baadaye atarejeshwa tena mambo yakiiva!

Unaweza usiamini sana, lakini fahamu tu, katika utawala wa mama, Professa Kitila Mkumbo ndio dalali muhimu wa mapatano katika deal la uuzwaji wa bandari za Tanganyika kwenda kwa waarabu wa Dubai. Muarabu wa Dubai anamuelewa vyema tangu mwanzo Profesa Kitila kwenye hili deal na kwa hali ilipofikia sasa (moto unaowaka chini kwa chini) kwa gharama zote Profesa Kitila imebidi apewe tena majukumu mahususi kumpooza muarabu mezani ili mambo yaende kama awali.

Ili kufanya mambo yaende sawa, kuondoa hatari ya siri kuvuja ovyo na kupunguza miruzi mingi, imebidi haraka sana suala la Mipango liondolewe kutoka wizara ya fedha na suala la uwekezaji (ambalo tayari mchakato wake ulishakamilika ili kulihamisha) liondolewe kutoka viwanda na biashara ili kuundwa kwa wizara mpya ya mipango na uwekezaji, kisha iwe chini ya ofisi ya rais na waziri apewe Profesa Kitila Mkumbo!

Kama tulivyozoea kumuona Profesa Kabudi akiwa mchenga wa deal za Magufuli kipindi kile cha issue za madini na siasa za kidiplomasia, tutegemee kumuona Profesa Kitila na deal za uuzwaji wa Bandari kwenda uarabuni.

Watu wengi wanadanganywa kuwa hili suala la uuzwaji wa bandari limeanza mwaka huu, kiufupi mikataba halisi ilishafanyika tangu mwaka jana, na deal lilianza kutengenezwa tangu mwaka juzi Profesa Kitila akiwa ni waziri husika.

Pia wapo watu wanadhani Profesa Kitila ni mpya kwenye hiyo nafasi, lakini kiuhalisia alishawahi kuwa waziri ofisi ya rais (uwekezaji)hapo kabla tena akiteuliwa na Magufuli. Mwisho kabisa wapo watu wanaodhania kuwa Profesa Kitila amepewa hiyo nafasi kwa kuwa amekuwa mtetezi muhimu wa serikali kuhusu sakata la bandari kuuzwa kwa muarabu, basi watu hao huenda wako sahihi kwa 100%. Siri ya mtungi aijuaye kata!

Kaa mkao wa kula, kuna mengi yatafuata!

Hii sakata la Bandari linakwenda kumuua Samia kisiasa rasimi.Sidhani kama atafika 2025 na kama akifika basi atanyang'anywa madaraka.
 
Hiyo ndio kazi kubwa ya Kitila. Atahusika na uandaaji wa mikataba mbalimbali inayohusisha ubinafsishaji. Huu ni mpango mzuri kwa serikali kuondoa hisia kwamba Wazanzibari wanauza mali za Watanganyika.

Tukumbuke kwamba kuna mikataba mingi tu serikali imeshaingia katika hatua mbalimbali na mingine mingi serikali inakusudia kuingia siku za karibuni. Haijalishi Wizara hii mpya ya Ubinafsishaji na Mipango imeundwa lini ila ila ukweli ni kwamba Kitila Mkumbo atabeba lawama nyingi.
 
Kiukweli Ilikuwa ngumu kwangu kuamini huyu huyu Prof Mbarawa ambaye Shujaa Magufuli alimuandaa kuwa Rais wa Zanzibar ndio kaanzisha mazungumzo na DP World

Baada ya kuona picha za Waziri mpya akiwa Dubai nadhani nilikuwa sahihi

Mungu ni mwema wakati Wote!
 
Inaonekana ukiunganisha dots kweli Kitila hajawekwa hapo bahati mbaya, Samia ameamua kuziba masikio asisikie malalamiko ya watanganyika, lakini bado naamini, muamuzi wa mwisho kwenye hili suala la mkataba wa hovyo wa bandari, ni sisi watanganyika wenyewe, sio Kitila wala Samia, hivyo ni vinyago tulivyovichonga wenyewe, visitutishe.
Nyie bakini kupiga kelele nyuma ya keyboard tu wakati wenye bandari yao wanaendelea na mipango yao.
 
Wameshauza bandari huyo Kitila Mkumbo ana faida gani?
Kazi iendelee
IMG-20230706-WA0001.jpg
 
Hii sakata la Bandari linakwenda kumuua Samia kisiasa rasimi.Sidhani kama atafika 2025 na kama akifika basi atanyang'anywa madaraka.
Mtaishia kuwaombea watu mabaya
 
Back
Top Bottom