Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Umenielewa kweli au umekurupuka?Wewe ndio mdini na mwenye roho mbaya. Unataka kila nafasi ya uongozi muwe Wakristo tu kwani hii nchi ni mali yenu pekee yenu? Waislam wapo wachache kwenye hizo nafasi lakini hawapumui kwa kusakamwa na nyie mabazazi!
Shughuli katoka nayo mbali😄😄Kitila mkumbo....Waziri mpya wa Mipango na Uwekezaji
Hivi huyo ni prof wa nini!?Kiukweli Ilikuwa ngumu kwangu kuamini huyu huyu Prof Mbarawa ambaye Shujaa Magufuli alimuandaa kuwa Rais wa Zanzibar ndio kaanzisha mazungumzo na DP World
Baada ya kuona picha za Waziri mpya akiwa Dubai nadhani nilikuwa sahihi
Mungu ni mwema wakati Wote!
Naunga mkono hoja aiseeKiukweli Ilikuwa ngumu kwangu kuamini huyu huyu Prof Mbarawa ambaye Shujaa Magufuli alimuandaa kuwa Rais wa Zanzibar ndio kaanzisha mazungumzo na DP World
Baada ya kuona picha za Waziri mpya akiwa Dubai nadhani nilikuwa sahihi
Mungu ni mwema wakati Wote!
Haiwezi kuwa wazi ni confidential.Hiyo mikataba mingine iwekwe wazi ili Wananchi wajue Bandari yao inakodishwa kwa muda gani.
Lazima wataweka wazi ili kuondoa sintofahamu.Haiwezi kuwa wazi ni confidential.
Mbona Mbowe anaishi Dubai yalipo Makao makuu ya DP World hivyo Hoja Yako ya kusalimia Wajomba Oman haina mashiko!Hata kama lilianzia kwa mtanganyika, walioweka saini zao kulipitisha ndio maadui zetu, kwasababu wazo pekee bila utekelezaji halina madhara yoyote kwa jamii husika.
Hata hivyo hujielewi, Samia kwenda kusalimia wajomba zake akawapa bandari zetu sioni uhusiano wowote na mtanganyika hapo, uwe unatulia kabla hujakurupuka na hizi thread zako nusu mkate.
Mbona Mbowe anaishi Dubai yalipo Makao makuu ya DP World hivyo Hoja Yako ya kusalimia Wajomba Oman haina mashiko!
Magufuri alikuwa anaandaa watu dhaifu ili awa control, mfano ni wabunge wetuKiukweli Ilikuwa ngumu kwangu kuamini huyu huyu Prof Mbarawa ambaye Shujaa Magufuli alimuandaa kuwa Rais wa Zanzibar ndio kaanzisha mazungumzo na DP World
Baada ya kuona picha za Waziri mpya akiwa Dubai nadhani nilikuwa sahihi
Mungu ni mwema wakati Wote!
Waziri mpya wa Mipango na Uuzaji wa Bandari zetuKitila mkumbo....Waziri mpya wa Mipango na Uwekezaji
Na wewe pia!Mbwa weee !
Inafikirisha!Magufuri alikuwa anaandaa watu dhaifu ili awa control, mfano ni wabunge wetu
Amelipwa fadhila baada ya kufanikisha alichotumwaKitila mkumbo....Waziri mpya wa Mipango na Uwekezaji