Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Shida ya Lipumba ni unafiki.Leo kaongea km Profesa halisi wa wa uchumi.Lakini wakimuwekea bahasha mezani tu anajitoa ufahamu wote mpaka mtu unajiuliza,Hivi huyu ndo Prof Lipumba au msukule wake?!!! Aache kubadilika badilika km kinyonga.
Usishangae akijitokeza na kusema katiba mpya sio hitaji la wananchi kwa sasa, bali mama aachwe ainue uchumi kwanza.