Buenos Aires
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 1,894
- 1,622
Tuliwaambia JPM alikuwa mzalendo halisi na mtamkumbuka. Haya sasa mbona!??? Bi Mkubwa ajiuzulu tuu asingoje ilee 2025.
Hili la kigogo wa Escrow hata mimi najiuliza, analipa bilioni 26 kati ya bilioni 350 zilizobaki atalipa nani?Akiongea na waandishi wa habari leo profesa Lipumba ameonyesha kushangazwa na hatua ya Rais Samia kumuachia huru mtu aliyekula njama za kukwapua zaidi ya shilingi bilion 350 za Escrow kwa kulipa shilingi bilion 26 tu, Profesa anahoji hizo pesa nyingine sasa zinakwenda wapi, na tutazipataje?
Akiongea kwa utulivu na kwa data, profesa Lipumba pamoja na kutambua baadhi ya mambo mazuri ambayo rais Samia ameyafanya ndani ya siku 100 za uongozi wake, Profesa Lipumba ameendelea kusisitiza kuwa Demokrasia ndiyio msingi wa uchumi shirikishi, kwamba huwezi kujenga uchumi shirikishi wenye kunufaisha wananchi bila demokrasia.
Profesa anasema kuwa licha ya rais Magufuli kufungia shughuli za kisiasa kwa madai hayohayo ya kukuza uchumi kwanza lakini takwimu zinaonyesha kuwa thamani yote ya pesa za uwekezaji nchini ilipungua kutoa zaidi ya dola bilion 2 mwaka 2015 hadi dola milion 800 tu mwaka 2019 tena kabla ya gonjwa la korona halijaikumba dunia, Profesa anahoji kuwa kama kuzuia shughuli halali za kisiasa ndiyo kukuza uwekezaji mbona basi uwekezaji ulishuka kipindi cha Magufuli?
Profesa akaendelea kusema kuwa uwekezaji ulishuka nchini kwa sababu Magufuli alikuwa haheshimu sheria, kitu ambacho Rais Samia amekionyesha kuwa naye atakuwa siyo mheshimu sheria baada ya kutoa tangazo la kuzuia shughuli halali za kisiasa kama zinavyoruhusiwa na sheria za nchi. Kutoheshimu sheria kunaua confidence ya wawekezaji na wenye mitaji yao!
Profesa Lipumba anasema kuna uwezekanao Wahafidhina ndani ya Chama cha Mapinduzi wanamshauri vibaya rais Samia ili asikutane na wapinzani na kumshawishi kuchukua hatua za kuvunja sheria kama hizi tunazoanza kuona akichukua.
Profesa anasema kuwa rais Samia anayo nafasi adhimu ya kukumbukwa kwa kuacha urathi (legacy) ya maana iwapo atawaachia wananchi katiba mpya, Profesa anasema kwamba kwamba hoja ya rais Samia kwamba tusubiri ajenge uchumi kwanza ndo tuzungumze habari za katiba ni ya kushangaza, ni ya kushangaza kwa sababu wao wanasema sisi tayari tuko katika uchumi wa kati, Profesa anahoji anasema au Samia anataka hadi tuwe uchumi wa juu ndo afikirie habari za katiba mpya?
Profesa Lipumba pia ametoa maoni yake pia kuhusu bajeti ya nchi, Amesema kwamba bajeti ya shilingi trilion 36 iliyosomwa bungeni haitekelezeki, anasema haoni means ambazo seriakli itaweza kupata fedha za kutosheleza bajeti hiyo
MY TAKE:
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Profesa ameongea mambo mazito sana leo na ni fact tupu!
1.Tunataka tujue ni nini hatma ya pesa za wananchi za Escrow, Habinder Seth ameachiwa , kwa nini kalipa bilion 26 tu, zilizobaki zitalipwa na nani? (By the way Profesa kasema Habinder Seth kalipa shilingi milioni 200 tu kwa hiyo hata hiyo bilioni 26 nayo ina question mark)
2. Bila Political reforms na economic reforms vikienda kwa pamoja rais Samia atashindwa kukidhi mahitaji ya wananchi, ajiandae ama kuwa dikteta kuzidi Magufuli ili kunyamazisha watu, au aonyeshe leadership kwa kuachana na wahafidhina ndani ya CCM wanaomshauri afuate njia zilizofeli za kutoheshimu sheria na kuminya haki za makundi mbali mbali ya kijamii
3. Samia kuendelea kukumbatia baraza la mawaziri la Magufuli na baadhi ya wateule wa Magufuli akidhani kuwa atawamudu kwa kuwa yeye ni rais, bila shaka ni ishara ya kuendeleza status quo, na kwa kuwa hawa ndiyo washauri wake wakubwa basi tutegemee mambo ya Kimagufulimagufuli yakirudi polepole maana hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua ya kulinda vyeo vyao, hawawezi kumshauri awe fair kwa wapinzani wake hawa maana fairness inahitaji kujiamini na kujenga hoja za ushawishi mbele ya wananchi badala ya ujanjaujanja tuliouona katika miaka 5 iliyopita
4. Hii ya kumuachia mtu anayetuhumiwa kula njama za kuiba mabilioni ya fedha za wananchi, na ile tuliyoishuhudia kutoka kwa mtangulizi wa rais Samia ya kufunga watu kiuonevu ni Uthibitisho usioyumba kuwa wananchi tunahitaji katiba mpya ili tuweze kuondoa abuse hii ya mamlaka, kinyume cha hapo, kwa katiba hii hata ukiujenga uchumi ukawa kama Singapore bado inatoa mwanya mchwa kuutafuna kifisadi huku wakilindwa na katiba!
Umesahau na mbowe pia alilegaza paja mbele ya pesa zaowass mbona hukuwahi kushangaaShida ya Lipumba ni unafiki.Leo kaongea km Profesa halisi wa wa uchumi.Lakini wakimuwekea bahasha mezani tu anajitoa ufahamu wote mpaka mtu unajiuliza,Hivi huyu ndo Prof Lipumba au msukule wake?!!! Aache kubadilika badilika km kinyonga.
Hapana sio akina Seth, alichosema huyo atalipa b.26 zilizobaki atalipa nani? Kwa maana nyingine wasakwe waliogawiwa na wote warudishe mgao, je itawezekana?Hoja ya Lipumba ni ya kisiasa halafu haina mantiki.
Escrow uikiingalia kwa jicho la kiutu uzima, utajua sakata zima ni SIASA tu zinachezwa na hao kina Sethi ni mbuzi tu wa kafara.
Jiulize,
- Lipumba anaposema Sethi alikula 350b siyo kweli kwasababu hiyo ndiyo iliyokuwa pesa yote ya Escrow waliyogawana wahusika wote sasa Lipumba anasemaje pesa yote alikula Sethi?
- Maana yake kwenye hiyo 350B kuna mgawo wa kina Rugemarila na wale wa Stanbic Bank ( ambao mpaka sasa hawajulikani ni kina nani ).
Kuwakomalia kina Rugemarila na Sethi kwasababu pesa zao waligawana kwa uwazi kupitia Mkombozi bank na kutojihusisha na chochote kuhusu wale wa Stanbic inaonesha dhahiri sakata lote ni siasa tu.
Uongozi ni kuonyesha njia iliyonyooka ambayo wengine wanaweza wasiipenda kabisa. Ukishakuwa na kiongozi anayetaka kumfurahisha kila mtu, basi elewa kuwa hajui ni njia ipi anataka kuwaongoza watu wake.Akiongea na waandishi wa habari leo profesa Lipumba ameonyesha kushangazwa na hatua ya Rais Samia kumuachia huru mtu aliyekula njama za kukwapua zaidi ya shilingi bilion 350 za Escrow kwa kulipa shilingi bilion 26 tu, Profesa anahoji hizo pesa nyingine sasa zinakwenda wapi, na tutazipataje?
Akiongea kwa utulivu na kwa data, profesa Lipumba pamoja na kutambua baadhi ya mambo mazuri ambayo rais Samia ameyafanya ndani ya siku 100 za uongozi wake, Profesa Lipumba ameendelea kusisitiza kuwa Demokrasia ndiyio msingi wa uchumi shirikishi, kwamba huwezi kujenga uchumi shirikishi wenye kunufaisha wananchi bila demokrasia.
Profesa anasema kuwa licha ya rais Magufuli kufungia shughuli za kisiasa kwa madai hayohayo ya kukuza uchumi kwanza lakini takwimu zinaonyesha kuwa thamani yote ya pesa za uwekezaji nchini ilipungua kutoa zaidi ya dola bilion 2 mwaka 2015 hadi dola milion 800 tu mwaka 2019 tena kabla ya gonjwa la korona halijaikumba dunia, Profesa anahoji kuwa kama kuzuia shughuli halali za kisiasa ndiyo kukuza uwekezaji mbona basi uwekezaji ulishuka kipindi cha Magufuli?
Profesa akaendelea kusema kuwa uwekezaji ulishuka nchini kwa sababu Magufuli alikuwa haheshimu sheria, kitu ambacho Rais Samia amekionyesha kuwa naye atakuwa siyo mheshimu sheria baada ya kutoa tangazo la kuzuia shughuli halali za kisiasa kama zinavyoruhusiwa na sheria za nchi. Kutoheshimu sheria kunaua confidence ya wawekezaji na wenye mitaji yao!
Profesa Lipumba anasema kuna uwezekanao Wahafidhina ndani ya Chama cha Mapinduzi wanamshauri vibaya rais Samia ili asikutane na wapinzani na kumshawishi kuchukua hatua za kuvunja sheria kama hizi tunazoanza kuona akichukua.
Profesa anasema kuwa rais Samia anayo nafasi adhimu ya kukumbukwa kwa kuacha urathi (legacy) ya maana iwapo atawaachia wananchi katiba mpya, Profesa anasema kwamba kwamba hoja ya rais Samia kwamba tusubiri ajenge uchumi kwanza ndo tuzungumze habari za katiba ni ya kushangaza, ni ya kushangaza kwa sababu wao wanasema sisi tayari tuko katika uchumi wa kati, Profesa anahoji anasema au Samia anataka hadi tuwe uchumi wa juu ndo afikirie habari za katiba mpya?
Profesa Lipumba pia ametoa maoni yake pia kuhusu bajeti ya nchi, Amesema kwamba bajeti ya shilingi trilion 36 iliyosomwa bungeni haitekelezeki, anasema haoni means ambazo seriakli itaweza kupata fedha za kutosheleza bajeti hiyo
MY TAKE:
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Profesa ameongea mambo mazito sana leo na ni fact tupu!
1.Tunataka tujue ni nini hatma ya pesa za wananchi za Escrow, Habinder Seth ameachiwa , kwa nini kalipa bilion 26 tu, zilizobaki zitalipwa na nani? (By the way Profesa kasema Habinder Seth kalipa shilingi milioni 200 tu kwa hiyo hata hiyo bilioni 26 nayo ina question mark)
2. Bila Political reforms na economic reforms vikienda kwa pamoja rais Samia atashindwa kukidhi mahitaji ya wananchi, ajiandae ama kuwa dikteta kuzidi Magufuli ili kunyamazisha watu, au aonyeshe leadership kwa kuachana na wahafidhina ndani ya CCM wanaomshauri afuate njia zilizofeli za kutoheshimu sheria na kuminya haki za makundi mbali mbali ya kijamii
3. Samia kuendelea kukumbatia baraza la mawaziri la Magufuli na baadhi ya wateule wa Magufuli akidhani kuwa atawamudu kwa kuwa yeye ni rais, bila shaka ni ishara ya kuendeleza status quo, na kwa kuwa hawa ndiyo washauri wake wakubwa basi tutegemee mambo ya Kimagufulimagufuli yakirudi polepole maana hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua ya kulinda vyeo vyao, hawawezi kumshauri awe fair kwa wapinzani wake hawa maana fairness inahitaji kujiamini na kujenga hoja za ushawishi mbele ya wananchi badala ya ujanjaujanja tuliouona katika miaka 5 iliyopita
4. Hii ya kumuachia mtu anayetuhumiwa kula njama za kuiba mabilioni ya fedha za wananchi, na ile tuliyoishuhudia kutoka kwa mtangulizi wa rais Samia ya kufunga watu kiuonevu ni Uthibitisho usioyumba kuwa wananchi tunahitaji katiba mpya ili tuweze kuondoa abuse hii ya mamlaka, kinyume cha hapo, kwa katiba hii hata ukiujenga uchumi ukawa kama Singapore bado inatoa mwanya mchwa kuutafuna kifisadi huku wakilindwa na katiba!
Hakuna kiongozi hapo ni balaa tupuHapa ndiyo tutamuelewa Kigogo2014 na Lissu, Samia hana jipya kwa kuwa na yeye ni product ya wizi wa kura za October, 2020
Lipumba alikataa uhuni wa Seif
Sasa mkuu kama hakukuwa na "financial loss" inakuwaje wamdai kiasi kikubwa hivyo.hoja ya Lipumba dhaifu mno
ukituhumiwa kwa kosa la kula njama za kuiba kuku wa Rashidi ina maana mlijipanga lakini kuku hakuibiwa. Kuku angeibiwa ungetuhumiwa kuiba kuku.
huwezi kuambiwa sasa rudisha kuku wa Rashidi wakati tangia hapo kuku anae mwenyewe Rashidi.
Achana na mambo ya chadema maana hayo maufisadi yote yalifanya ccm ikiwa madarakani,polisi wenu,takukuru ya kwenu,mahakama zenu na Dpp wenu.aya tunaomba matokeo ya kesi za ufisadi mlizofungua na hukumu zake.Sitaki kumtetea Lipumba hivyo wanavyomuona kuwa ni mnafki ila nashangaa kwamba kwanini na wengine pia waliyofanyaga unafki ila hawakuwahi kuitwa wanafki mpaka leo na bado wanaendelea kuaminiwa ila kwa Lipumba ni tofauti? 2015 kulifanyika unafki mkubwa sana watu walishuhudia kitu ambacho hawakuwahi kufikiri kama ingewezekana kufanyika ila watu walijilazimisha kuwaelewa Chadema kwa walichokifanya hawakuwaita wanafki ila Lipumba ndio kabaki kuitwa mnafki.
Kwanini niachane na mambo ya chadema Ni kwamba hutaki kujadili makosa ya chadema au vp?Achana na mambo ya chadema maana hayo maufisadi yote yalifanya ccm ikiwa madarakani,polisi wenu,takukuru ya kwenu,mahakama zenu na Dpp wenu.aya tunaomba matokeo ya kesi za ufisadi mlizofungua na hukumu zake.
Anashangaa nini sasa hajui ikulu iko Msoga?Akiongea na waandishi wa habari leo profesa Lipumba ameonyesha kushangazwa na hatua ya Rais Samia kumuachia huru mtu aliyekula njama za kukwapua zaidi ya shilingi bilion 350 za Escrow kwa kulipa shilingi bilion 26 tu, Profesa anahoji hizo pesa nyingine sasa zinakwenda wapi, na tutazipataje?
Akiongea kwa utulivu na kwa data, profesa Lipumba pamoja na kutambua baadhi ya mambo mazuri ambayo rais Samia ameyafanya ndani ya siku 100 za uongozi wake, Profesa Lipumba ameendelea kusisitiza kuwa Demokrasia ndiyio msingi wa uchumi shirikishi, kwamba huwezi kujenga uchumi shirikishi wenye kunufaisha wananchi bila demokrasia.
Profesa anasema kuwa licha ya rais Magufuli kufungia shughuli za kisiasa kwa madai hayohayo ya kukuza uchumi kwanza lakini takwimu zinaonyesha kuwa thamani yote ya pesa za uwekezaji nchini ilipungua kutoa zaidi ya dola bilion 2 mwaka 2015 hadi dola milion 800 tu mwaka 2019 tena kabla ya gonjwa la korona halijaikumba dunia, Profesa anahoji kuwa kama kuzuia shughuli halali za kisiasa ndiyo kukuza uwekezaji mbona basi uwekezaji ulishuka kipindi cha Magufuli?
Profesa akaendelea kusema kuwa uwekezaji ulishuka nchini kwa sababu Magufuli alikuwa haheshimu sheria, kitu ambacho Rais Samia amekionyesha kuwa naye atakuwa siyo mheshimu sheria baada ya kutoa tangazo la kuzuia shughuli halali za kisiasa kama zinavyoruhusiwa na sheria za nchi. Kutoheshimu sheria kunaua confidence ya wawekezaji na wenye mitaji yao!
Profesa Lipumba anasema kuna uwezekanao Wahafidhina ndani ya Chama cha Mapinduzi wanamshauri vibaya rais Samia ili asikutane na wapinzani na kumshawishi kuchukua hatua za kuvunja sheria kama hizi tunazoanza kuona akichukua.
Profesa anasema kuwa rais Samia anayo nafasi adhimu ya kukumbukwa kwa kuacha urathi (legacy) ya maana iwapo atawaachia wananchi katiba mpya, Profesa anasema kwamba kwamba hoja ya rais Samia kwamba tusubiri ajenge uchumi kwanza ndo tuzungumze habari za katiba ni ya kushangaza, ni ya kushangaza kwa sababu wao wanasema sisi tayari tuko katika uchumi wa kati, Profesa anahoji anasema au Samia anataka hadi tuwe uchumi wa juu ndo afikirie habari za katiba mpya?
Profesa Lipumba pia ametoa maoni yake pia kuhusu bajeti ya nchi, Amesema kwamba bajeti ya shilingi trilion 36 iliyosomwa bungeni haitekelezeki, anasema haoni means ambazo seriakli itaweza kupata fedha za kutosheleza bajeti hiyo
MY TAKE:
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Profesa ameongea mambo mazito sana leo na ni fact tupu!
1.Tunataka tujue ni nini hatma ya pesa za wananchi za Escrow, Habinder Seth ameachiwa , kwa nini kalipa bilion 26 tu, zilizobaki zitalipwa na nani? (By the way Profesa kasema Habinder Seth kalipa shilingi milioni 200 tu kwa hiyo hata hiyo bilioni 26 nayo ina question mark)
2. Bila Political reforms na economic reforms vikienda kwa pamoja rais Samia atashindwa kukidhi mahitaji ya wananchi, ajiandae ama kuwa dikteta kuzidi Magufuli ili kunyamazisha watu, au aonyeshe leadership kwa kuachana na wahafidhina ndani ya CCM wanaomshauri afuate njia zilizofeli za kutoheshimu sheria na kuminya haki za makundi mbali mbali ya kijamii
3. Samia kuendelea kukumbatia baraza la mawaziri la Magufuli na baadhi ya wateule wa Magufuli akidhani kuwa atawamudu kwa kuwa yeye ni rais, bila shaka ni ishara ya kuendeleza status quo, na kwa kuwa hawa ndiyo washauri wake wakubwa basi tutegemee mambo ya Kimagufulimagufuli yakirudi polepole maana hiyo ndiyo njia pekee wanayoijua ya kulinda vyeo vyao, hawawezi kumshauri awe fair kwa wapinzani wake hawa maana fairness inahitaji kujiamini na kujenga hoja za ushawishi mbele ya wananchi badala ya ujanjaujanja tuliouona katika miaka 5 iliyopita
4. Hii ya kumuachia mtu anayetuhumiwa kula njama za kuiba mabilioni ya fedha za wananchi, na ile tuliyoishuhudia kutoka kwa mtangulizi wa rais Samia ya kufunga watu kiuonevu ni Uthibitisho usioyumba kuwa wananchi tunahitaji katiba mpya ili tuweze kuondoa abuse hii ya mamlaka, kinyume cha hapo, kwa katiba hii hata ukiujenga uchumi ukawa kama Singapore bado inatoa mwanya mchwa kuutafuna kifisadi huku wakilindwa na katiba!
Ninavyojua Singasinga dhamana yake ni mitambo mpaka akimaliza deni.Hapana sio akina Seth, alichosema huyo atalipa b.26 zilizobaki atalipa nani? Kwa maana nyingine wasakwe waliogawiwa na wote warudishe mgao, je itawezekana?
FinesSasa mkuu kama hakukuwa na "financial loss" inakuwaje wamdai kiasi kikubwa hivyo.