Profesa Makame Mbarawa anatushinda kumng'oa?

Profesa Makame Mbarawa anatushinda kumng'oa?

HUyo waziri ametangulizwa na genge la wapigaji wa awamu ya nne waliorudi madarakani kinyemela.

Pia huyo prof. ni fisadi wa mda mrefu sana, kaangalie jengo lake jipya pale Mwenge jirani na stand mpya lililopewa jina la "Mwenge Complex"
 
Binafsi naunga mkono ubinafsishaji wa bandari.

Mnaopiga kelele ni kwamba ama ni wezi au mnatumika na wezi,

Inshu ni miaka 99 mkuu. Hivi wakiharibu ata mwanzo wa mkataba tuseme miaka 10 ya mwanzo kuna kifungu cha kufuta huo mkataba?

Yote kwa yote miaka 99 ni mingi sana wangefanya iwe angalau 25 kama wako fresh wanaongezewa kama ilivyokua kwa kina kalamangi
 
Huyo Mbarawa kajiteua Mwenyewe, acheni ujinga, Ncni ina waoga tupu sasa mnatafita Vichaka?

Alie mteia unamuacha vipi? Unazania anafanya mambo bila kuahizwa na alie mteua?

Ncni ina wajinga hii sana
 
Ni Mzazibari na wazanzibari wanamision yao ya kutufanya maskini.
 
Tunaangushana sana. Wako wale wanaotajirika bandarini, na wako wale wanaotaka kuuza bandari.

Wote mnatuangusha. Tunaotetea bandari isiuzwe, tunaungana na wale wanaotetea goli lao lisiuzwe, wanaotetea bandari iuzwe, wanaungana na wale wanaopata mkono wa Uarabuni.
 
Angalia walivyojipanga hao uchumi wa bluu ndani ya serkali. Hapa waarabu wameshika dola.
 
Akili hizi watanzania sijui ccm kama itatoka madarakani mkataba amesaini rais uje useme waziri atupishe?
 
Hawa wezi wote wa Taifa hili tunawafyeka haraka sana. Kama Mungu aishivyo hatawaacha
 
Bwana Yanukovichy kibaraka wa Putin akiwa Rais wa Ukraine aliuza bandari za Ukraine kwa warusi madhara yake Ukraine Haina maamuzi na bandari zake.Warusi ndio wanaamua mzigo usafiri ama usisafiri.Tuwe makini na mikataba.Ufanano wa Imani zetu usistupumbaze na kumwamini Kila mtu.Hao waarabu ni jina tu hizo ni European Companies.
 
Baadaye atatokea Kiongozi wa kupinga Hiyo mikataba ya ujanja ujanja,,haya majitu yatasema amekuja mkombozi mzalendo.. Hakuna mgeni Anaweza kukupa uchumi wa Nchi Yako..Tusahau Hilo,, Yale Yale ya Tanesco yanarudi..Bila Maombi Hii Nchi imelogwa
 
Why miaka 99 at first entry, kwa nini wasianze hata na 20 years kupima upepo ?

Hapa kama ni Nyundo tutagongwa za kutosha mpaka tukome.

Ipo siku mpaka ndoa za Watu zitabinafsishwa kwa Ujinga tuliojiamria ya kwamba Rais eti ndio kila kitu , Katiba la kijinga kabisa.
 
Habari Watanzania,

Binafsi nimeamini Prof. Mbarawa hafai kuwa mtumishi katika kiwango cha Uwaziri katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni waziri muoga, waziri picha tu. Ni Profesa aina ya le profeseri, yani yupo kama hayupo, na mambo mengi ya kuudhi na kuuza nchi hufanyika akiwa tuli kama kunyoa kichwa cha mwendawazimu.

Sasa hivi naamini hata Marehemu JPM alikuwa sahihi kumtimulia mbali pasi hata na kueleza sababu za kumtimua.

Ufafanuzi wa TPA kuhusu kuuzwa bandari ya Dar es Salaam (usiniambia eti kukodisha). Ukishakuwa umepewa sehemu kwa miaka 99, hapo umeuziwa, ndio uhalisia. Yani two good generation gonna live with the same contract and ownership, hata Mangugo alikuwa anafikiria sawasawa.

Kwa msioijua bandari ya Dar es Salaam, nawamegea kidogo.

Hao DP World wamepewa gati namba 5 mpaka 8.

Hayo ndiyo magati ambayo tangu enzi za Kikwete na JPM yamekuwa yakiendelezwa sana. Tena kwa gharama kubwa za serikali. Ambacho hakikuwa kikifanyika ni uwekaji wa mitambo ya kisasa tu, ila upanuzi na ujenzi umetumia fedha nyingi sana za serikali.

Mfano gati namba 5, 6, 7, 8 huku ndio asilimia 90 ya mizigo yote ya bandari ya Dsm imekuwa ikishushwa miaka yote.

Ishu ya kusema eti hakuna mkataba, ni uongo, iweje tujue wamepewa eneo hilo. Hicho ni nini?

Kama hawa DP World ni wakombozi wetu hivyo, kwanini wasipewe gati namba 1 hadi 4?!

Waendelee hapo, tuone ukongwe wao.

Miaka 99, akili au matope?

Tupige kura hapa Prof. Makame Mbarawa atupishe kwanza.
Nyie ndio mliompa huo uwaziri mpaka muweze kumfukuza ?
 
Hapa Washauri wa Mhe Rais wamechemka sana.
Watu kulalamikia Weredi wa Usalama wa Taifa wakati mwingine inafika hatua unaelewa , saa mikataba ya kijinga kama hii haikupita hata Bungeni Rais kaenda kumwaga wino ndio nini sasa [emoji848]
 
Habari Watanzania,

Binafsi nimeamini Prof. Mbarawa hafai kuwa mtumishi katika kiwango cha Uwaziri katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni waziri muoga, waziri picha tu. Ni Profesa aina ya le profeseri, yani yupo kama hayupo, na mambo mengi ya kuudhi na kuuza nchi hufanyika akiwa tuli kama kunyoa kichwa cha mwendawazimu.

Sasa hivi naamini hata Marehemu JPM alikuwa sahihi kumtimulia mbali pasi hata na kueleza sababu za kumtimua.

Ufafanuzi wa TPA kuhusu kuuzwa bandari ya Dar es Salaam (usiniambia eti kukodisha). Ukishakuwa umepewa sehemu kwa miaka 99, hapo umeuziwa, ndio uhalisia. Yani two good generation gonna live with the same contract and ownership, hata Mangugo alikuwa anafikiria sawasawa.

Kwa msioijua bandari ya Dar es Salaam, nawamegea kidogo.

Hao DP World wamepewa gati namba 5 mpaka 8.

Hayo ndiyo magati ambayo tangu enzi za Kikwete na JPM yamekuwa yakiendelezwa sana. Tena kwa gharama kubwa za serikali. Ambacho hakikuwa kikifanyika ni uwekaji wa mitambo ya kisasa tu, ila upanuzi na ujenzi umetumia fedha nyingi sana za serikali.

Mfano gati namba 5, 6, 7, 8 huku ndio asilimia 90 ya mizigo yote ya bandari ya Dsm imekuwa ikishushwa miaka yote.

Ishu ya kusema eti hakuna mkataba, ni uongo, iweje tujue wamepewa eneo hilo. Hicho ni nini?

Kama hawa DP World ni wakombozi wetu hivyo, kwanini wasipewe gati namba 1 hadi 4?!

Waendelee hapo, tuone ukongwe wao.

Miaka 99, akili au matope?

Tupige kura hapa Prof. Makame Mbarawa atupishe kwanza.
Wazanzibari wanauza vitu hovyo unakumbuka jinsi Mwinyi alivyouza mbuga ya Loliondo kwa waarabu? Hawana uchungu na Bara.
 
Kwanza hao waarabu mpaka wakapewa hiyo bandari palikuwepo na ushindani wowote? hapana haukuwepo, ni upendeleo tu.

Haya, baada ya hapo, hao jamaa wamepewa hiyo bandari waiendeshe kwa miaka mia moja, huu nao ni muendelezo wa upendeleo, yani Rais ametoa zawadi bandari yetu kwa ndugu na rafiki zake kwa miaka mia moja.!!

Maana yake ni kwamba, huu ujinga wa huyu Rais tuliyenaye, maumivu yake yatasikiwa na vizazi viwili vya watanzania, huyu kiumbe anastahili laana, hakika alaaniwe.

Kila siku tunasema huwa hapendi kuhangaisha kichwa chake, yupo kama mwanasesere tu anayesikiliza watendaji wake kwenye kila jambo, wajinga wanamsifia, mama anafungua nchi, haya sasa ameenda kuwafungulia ndugu zake kwa miaka mia moja ijayo, naamini wapuuzi wanashangilia huko walipo.
 
Habari Watanzania,

Binafsi nimeamini Prof. Mbarawa hafai kuwa mtumishi katika kiwango cha Uwaziri katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni waziri muoga, waziri picha tu. Ni Profesa aina ya le profeseri, yani yupo kama hayupo, na mambo mengi ya kuudhi na kuuza nchi hufanyika akiwa tuli kama kunyoa kichwa cha mwendawazimu.

Sasa hivi naamini hata Marehemu JPM alikuwa sahihi kumtimulia mbali pasi hata na kueleza sababu za kumtimua.

Ufafanuzi wa TPA kuhusu kuuzwa bandari ya Dar es Salaam (usiniambia eti kukodisha). Ukishakuwa umepewa sehemu kwa miaka 99, hapo umeuziwa, ndio uhalisia. Yani two good generation gonna live with the same contract and ownership, hata Mangugo alikuwa anafikiria sawasawa.

Kwa msioijua bandari ya Dar es Salaam, nawamegea kidogo.

Hao DP World wamepewa gati namba 5 mpaka 8.

Hayo ndiyo magati ambayo tangu enzi za Kikwete na JPM yamekuwa yakiendelezwa sana. Tena kwa gharama kubwa za serikali. Ambacho hakikuwa kikifanyika ni uwekaji wa mitambo ya kisasa tu, ila upanuzi na ujenzi umetumia fedha nyingi sana za serikali.

Mfano gati namba 5, 6, 7, 8 huku ndio asilimia 90 ya mizigo yote ya bandari ya Dsm imekuwa ikishushwa miaka yote.

Ishu ya kusema eti hakuna mkataba, ni uongo, iweje tujue wamepewa eneo hilo. Hicho ni nini?

Kama hawa DP World ni wakombozi wetu hivyo, kwanini wasipewe gati namba 1 hadi 4?!

Waendelee hapo, tuone ukongwe wao.

Miaka 99, akili au matope?

Tupige kura hapa Prof. Makame Mbarawa atupishe kwanza.
Acha upotoshaji
 
Back
Top Bottom