The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Muhongo hana akili.
Hapo anadalalia mabwana zake wa marekani wanaouza mitambo ya gesi ili inunuliwe yeye apate kidogo.
Asisahau kua tunajua alikua ana renew leseni za uchimbaji madini bila ridhaa ya baraza la mawaziri.
Asisahau kua tunajua alichangia/kushawishi bodi ya wakurugenzi kumsimamisha mkurugenzi wa TPDC pale alipokataa vimemo vyake vya mabwana zake kupata upendeleo wa vitalu vya gas vya TPDC hadi Magufuli alipoamua kumrudisha kazini.
Asisahau kua tunajua alitaka kujaza wajita wenzake Tanesco kwenye idara ya fedha na wizara ya nishati na madini wakati huo.
Muhongo ni msanii laghai
Mama akiingia mkenge Tu amekwisha