Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Gas alishauziwa mchina tuna chini ya asilimia 40 kwenye gas yetu anachotaka huyu mpuuzi ni tuingie mikataba na wachina watuuzie gas YETU naona ashaitwa pembeni na macho kengeza ...GAS TULISHALIWA KICHWA KITAAAMBO

Hili ndio tatizo lillomkwaza mwendazake
 
Hao ndiyo wana ccm wenye akili siyo kama wewe shehe ubwabwa
 
Mitambo mibovu kama nn. Uendeshaji wke ni wa gharama kuliko kawaida imagine spea unatafuta USA na haiwez fika kw wakat.
Muingo atulie tu aache uongo.
Toka aondolewe uwazir hajawai ongea kitu leoo ndioo anaibukaaa...
Kainua pua baada ya kiboko yake kuzama shimoni
 
Prof. Muhongo hajawahi kumuita mtu tumbili angalia facts zako.

Pili, tumsikilize anachoshauri kina mantinki sio kumuhukumu kwa past yake.

Asante
 

..Rais Samia Suluhu Hassan lazima aje na mradi wake mkubwa wa kimkakati.🤣

..miradi inayotekelezwa sasa hivi ni ya Jpm, Rais mpya lazima aache alama / legacy yake.
 
Ongea tu kiswahili bana ! Kiingereza hujui!
"He is gone"× ?!!!!!!! ni " He has gone"√


Ushauri wa bure, Ukiona mtu kaandika maneno ya kiingereza na wewe ukaona kakosea kwanza jaribu kupeleleza kabla ya kumsahihisha kwani yawezekana wewe ndiye usiyejua kulingana na muktadha wa hilo jambo.

Huyo ndugu hajakosea; "Is gone" na "has gone", zote zinatumika lakini zina maana tofauti, "is gone" maana yake ni hayupo, na "has gone" maana yake ni ameondoka au amekwenda.

Kuna mahali fulani niliandika maneno ya kiingereza na nilianza hivi; "If that were truth-----" basi alikuja mtu mmoja kafura kwa hasira na matusi, anauliza wewe hicho kiingereza umejifunzia wapi???!!, nieleze pimbi weee!! nataka kupima uwezo wa akili yako, mimi nimeanza kuongea kiingereza nikiwa nimo tumboni kwa mama yangu"🤣🤣🤣--- alipokuja kujua kwamba yeye ndiye mjinga na hakuwa anajua kitu alibaki kunitukana tu.

Hivyo tusikosoe kabla hatuja jiridhisha kwanza na tuwe open kupokea elimu mpya.

Shukrani.
 
Mleta mada unachanganya concepts za “renewable” na “sustainable”. Umeme wa maji ni salama kwa mazingira kwa maana hauna carbon footfrint lakini sio sustainable kwa kuwa maji yanapungua kadiri muda unavoenda (global warming). Mradi ule umeleta uharibifu mkubwa wa mazingira na kwa kuwa mazingira ni chanzo cha maji - huenda mradi mzima ukaja kuwa ni hasara kubwa sana.

Tulipaswa kujikita kwenye gesi! Prof. Muhongo yuko sahihi.
 
Muhongo mwenyewe amepitwa na wakati, he is himself rubbish
 
Kwa kazi ipi ya Maana alowahi kuisimamia ikaleta matokeo chanya??

Ni Ile ya kusimamia mitambo ya symbion na kuruhusu umeme wa majenereta kariakoo kutawala siyo?

Au Ile ya kuwananga Watanzania kwamba pesa zao ni za kuwekeza Kwenye madafu baada ya kugomea kumpa hongo??
 
Unamjua Muhongo au unakuja na ushabiki maandazi?
 
Duniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.

Wrong examples. Nchi zote hizo zimetumia mabavu kulazimisha hiyo miradi. Profesa yuko sahihi.

Amandla...
 
Ukiifunga akili kwa kutazama mazingira ya pale bwawani pekee utaona hali ipo hivyo, lakini ukiifungua na kuboresha mazingira kule yanakotokea maji na hasa Njombe, Iringa, Mbeya na Morogoro itawezekana kabisa kuwa na maji ya kutosha mwaka mzima,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…