Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Duniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.
Tufikirie na mabadiliko ya mazingira na hali ya hewa pia
 
Alipohusika kuuza gas yetu ilikuwa ni sehemu ya weledi na uzoefu?

Muujiza gani amelifanyia taifa before JPM na after?

Ni nduguyo ama?

Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
 
Ethiopia wanajenga Bwawa kubwa la umeme halafu huyu anatuambie tuachane na maji,mfano kwa gas ipi tuliyonayo?,hii hii tu waliopewa wachina?
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.

Hebu tutajie hapa hayo mataifa makubwa
Yanamtumia huyu Dalali Muhongo
Weka evidence tafadhali
 
Mgogoro huo hauwezi kuisha..., Nile ni lifeline ya Taifa la Misri, kuzuia maji / kuyapunguza yasifike huko ni kama kuwauwa..., Busara ingetumika Ethiopia kutafuta other sources ama sivyo Mgogoro huu una-potential ya kuendelea vizazi na vizazi
Sitakubaliana na wewe Maji ni God given right

Flow ya Maji ya White Nile ni kubwa sana hata imefikia kutengezeneza Ziwa linaloitwa Lake Naser

Hayo maji ni mengi Wamisri waache tamaa
 
Ethiopia wanajenga Bwawa kubwa la umeme halafu huyu anatuambie tuachane na maji,mfano kwa gas ipi tuliyonayo?,hii hii tu waliopewa wachina?
 
Wakati anasema imepitwa na wakati,China wanajenga the second largest hydroelectric dam nchini kwao hivi sasa na week hii wameanza kulijaza maji
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.

kutumiwa na mataifa yaliyotuzidi ni sawa.lakini pia upeo aa mtu unachoka jamaa yangu.

inawezekana kabisa prof amechoka akili baada ya kutumika huko.
 
Muhongo analeta mbwembwe na kujifanya anajua kila kitu ili mama ampe wizara
Aende kufanya udalali kama zamani...

Ni dalali mkubwa sana wa private investors..

Anazungumzia faida wakati wenzie tunazungumzia huduma
Muhongo hana akili.

Hapo anadalalia mabwana zake wa marekani wanaouza mitambo ya gesi ili inunuliwe yeye apate kidogo.

Asisahau kua tunajua alikua ana renew leseni za uchimbaji madini bila ridhaa ya baraza la mawaziri.

Asisahau kua tunajua alichangia/kushawishi bodi ya wakurugenzi kumsimamisha mkurugenzi wa TPDC pale alipokataa vimemo vyake vya mabwana zake kupata upendeleo wa vitalu vya gas vya TPDC hadi Magufuli alipoamua kumrudisha kazini.

Asisahau kua tunajua alitaka kujaza wajita wenzake Tanesco kwenye idara ya fedha na wizara ya nishati na madini wakati huo.
 
Mabadiliko ya tabia nchi na uharibifu wa mazingira hauwezi kuiacha hiyo miradi ya maji salama. Tungewekeza kwenye wind na solar
Unajua weakest link ya hizo solar na Wind ? STORAGE....

Jua linapowaka au upepo unapovuma unatengeneza umeme mwingi huenda kuliko mahitaji.., ila unapohitaji huenda hakuna jua wala upepo na kwa taarifa yako storage is expensive...

HEP pia inaweza kutumika kama battery mahitaji yakiwa madogo unapump maji mpaka kwenye bwawa la juu... yakiongeza unaachia maji yanashuka (hii ndio advantage kubwa ya HEP)
 
SSH ni dhaifu ndio maana kila mtu anajaribu kushawishi ujinga wake. Amefungalia mlango akitaka kuonyesha ana akili kumbe ameonyesha udhaifu wake.
Kushawishiwa ni jambo moja na kukubali ushauri ni jambo jingine
 
Muhungo ni dalali tu,

Umeme wa maji ndio umeme nafuu na kwa kiasi kikubwa ndio tegemezi kwenye mataifa makubwa yote duniani.

Power station kubwa duniani ya umeme jua ni Megawatt 2500 tu...na imejengwa kwa gharama kubwa isiyoelezeka

Uranium 1gram inatoa 1 Megawatt licha ya uwezo mkubwa wa Uranium kutoa nishati kubwa kiasi hiki Mataifa makubwa hayazalishi umeme mwingi kwa Uranium badala yake wanawekeza sana kwenye Hydropower
Inaleta siasa kwenye mambo ya kitaalamu, naomba uweke data kamili hapa na sio kuweka tu eti ni gharama zisizopimika
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Muhongo hapo amegeuka entertainer, yani nilijua jamaa ni pure talented kumbe hamna kitu. Hakuweza kuwa game changer alipokuwa wizarani.

Ni unaa tu umemjaa.
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.

Ila ni ukweli usiopingika kwamba umeme wa maji ni renewable (yaani unaweza ukazalishwa tena na tena na tena) Gesi unless otherwise ni Biogas basi uchimbaji wa gesi sio renewable... Nisiwachoshe kuna hii article hapa chini kuhusu gharama ya renewables na umeme wa maji bado ni cheaper... as of 2017 nadhani hii 2021 hali haijabadilika sana

Muhongo lost his credibility at the Ministry of Energy. He couldn't or didn't want to stop the crafty operators imposing extortinary tariffs on TANESCO. He found it easier to play the Politician rather than the professional. I am abut surprised at this:the math between gas and hydro is 101, need no PhD.
 
Duniani kote mabwawa yanajengwa. China, Ethiopia, Uganda, Brazil etc. Hawa wanajiita wasomi ndiyo wamefanya hadi leo tupo kwenye umaskini. Si wakusikilizwa.
Wameibuka sasa. Mimi sikujua kama Muhongo bado yuko nchi hii.
Itabidi mama Samia awe makini kweli kwani kila mtu sasa anataka kuibuka na kamuhogo kake - kwa maneno ya Generali Ulimwengu.
 
Back
Top Bottom