Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Mkuu suala hapa ni nishati jadidifu Na rahisi kwa wananchi
Haina mjadala umeme wa maji Ndio nishati nafuu kuliko zingine zote ... kwa mazingira kuna hydropower dams za miaka na miaka hapa hapa kwetu bado zinajiendesha vizuri tu !
Kijiografia hilo ni tatizo sio la positioning na location kwani Mazingira ni suala mtambuka ambalo hata huko ulikokutaja wanakabiliana nalo na mabadiliko ya tabia nchi...
So Amna strong reason ya kuzuia tusipate hizo 2100 Megawatts za Nyerere Hydropower zaidi ya ukoloni mamboleo tu !
Hakuna ubaya kujenga bwawa Na kuendelea kutunza Mazingira Na vyanzo vya maji ili kuhakikisha tunaendelea kufaidika nayo kwa muda mrefu zaidi !

Linganisha Bei ya umeme wa
Gesi
Maji
Nyuklia
Mafuta
Jua
Upepo
Nyoto ardhi

Kisha utoe jibu ni umeme upi wa gharama nafuu zaidi ya umeme wa Maji !

Thanks
 
Gas ilishauzwa kwa wachina tunaumilizi wa asilimia 30 tu ya gas yetu
Umepewa 30% na hukuwekeza kwenye research and development ambayo mwekezaji kafanya for about 15 years. Nayo teknolojia huna, mtaji wa mwekezaji bado huridhiki na 30%?
 
Wewe unazo hizo data nasisi tusome hapa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kama Huwezi kutofautisha l na r wewe ni mburula. Kwenye miradi unaandika miladi. Huna ubongo wa kushiriki mjadala huu. Nenda kaoge umsubiri mumeo
 
Nashanganzwa na maoni ya huyu Prof Muhongo aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati. Ati fashion, nasema fashion ya production ya umeme ni ule wa gesi.

Poor logic and thinking indeed. Kenya AU zambia au Malawi, wasiokuwa na gesi vipi?

Na initial costs as compared to operational costs inakuwaje?

Inabidi tujikumbushe kuwa mtu kuwa Proffessor haina maana ni proffessonal katika eneo alilosomea.

Katika hili Prof Muhongo amebugi vibaya.

Mi si mpenzi sana wa Magufuli kutokana na tabia zake za kutofuata demokrasia, lakini mradi huu wa Nyerere Hydropower Dam uachwe ukamilike.

Lakini tuchunguze nyuma ya pazia, pengine kuna ka beberu kamepenyeza rupi!
 
Ethiopia walifukie tu lile bwawa na china nao walibomoe tu lile bwawa lao watumie gas umeme wa maji umepitwa na wakati.
 
Ethiopia wako kwwnye conflict na Egypt kwa sababu ya grand Ethiopian Dam, na wenyewe wamekurupuka? Au hawana maono?
Hao wafanyabiashara watano uliowataja ndio tunawategemea waendeleze mradi wa SGR?
Elimu ya Watanzania kwa kweli ni duni. Unajuwa kabisa wako kwenye mgogoro na Misri kuhusu Grand Renaissance Dam bado unaniuliza je wamekurupuka?

Jibu ni ndiyo wamekurupuka. Walipaswa kuangalia treaties za mwaka 1893 na nyingine ya 1910
 
Na leo usiku uongozi wote unatua Dar subiri kesho kutwa utasikia....
 
Daah hata kama ni kudanganya si kwakiasi hicho, watu wanaenda kwenye smart technology yeye anadai fossil fuels ndiyo energy option ya 21st century?

Duniani kuna watu na viatu!
 
Sasa hivi kwa mujibu wenu matatizo yote ameondoka nayo Magufuli, maana yeye ndio akikuwa tatizo hapa nchini kwa hiyo jiandaeni kuishi kwa neema!

Sasa hivi kwa mujibu wenu matatizo yote ameondoka nayo Magufuli, maana yeye ndio akikuwa tatizo hapa nchini kwa hiyo jiandaeni kuishi kwa neema!
Kuishi kwa neema ni mambo mengine, tunafurahi kutokuwa chini ya mtu dhalimu na jizi la kura.
 
Makosa ni ya Magu mwenyewe ambaye kila aliyejaribu kumshauri tofauti na mawazo yake alimuona kama adui, kibaraka wa mabeberu na kumtishia kazi yake au maisha moja kwa moja kwa hiyo watu wakaamua kumuacha alisongeshe anavyotaka wakijua fika atakwama!
 
Mbona alikuwepo na wamepiga pesa Sana?
 

Kama aliweza kuwabana wazungu wa kwenye madini mpaka Boss wa Barrick akaja, kilimshinda nini huko kwenye Gas? Kama kwenye gas tumepigwa na kina JK, mbona alikuwa hawaambii wananchi, bali alikuwa anatumia propaganda chafu kusema wapinzani wanatumika na mabeberu kutaka kuuza nchi, wakati hakuna mkataba wowote wapinzani wamewahi kuingia na wageni?

Kama yeye aliogopa kuwataja waliouaza raslimali za nchi, na kuishia kuwachafua wasiohusika, una uhakika gani na huu mradi wake wa maji, hasa ukizingatia kuwa Magufuli hakuwa rais muadilifu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…