Profesa Muhongo: Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati

Wote waliufyata Ali manusura utokee mdomoni
Walichokuja wanafanya kila alichofanya hata akiharibu wanasifia wakiwa pembeni kina Nnape na Kinana wanamwita mshamba, kachanganyikiwa. Tatizo kila kitu alijifanya anajua, wanaojua wanaanza kupiga makofi na kushangilia ili maisha yasonge.
 
Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anamwamini huyu Muhongo anachokisema?
 
Rais wetu? Mbona umejiondoa mkuu kwanini?
Unashangaa nikisema gas tumepigwa? Angalia bei ya gas huko mitaani ndo utajua yetu au ina wenyewe.
 
Gesi kitu gani watu wanazungumzia umeme wa nguvu za nyuklia,

Professor wa wapi huyu , hata Maji marefu anamzidi??
 
Mhuni huyu.
ANA JIFANYA HAJUI GHARAMA ZA UENDESHAJI WA GESI NI JUU KULIKO MAJI.
 
huko nyuma tulikuwa tunazalisha umeme kwa kiwango kidogo na serikali ilichukua mda mrefu haiwekezi hivyo gharama za uendeshaji tanesco kama shirika zilikuwa juu.

kwa sasa tunatazama kuzalisha umeme kwa kiwango kikubwa ambao gharama za kiuendeshaji wa shirika hazina athari kubwa kwenye bei.
 
Mwendazake alikua jambazi wa aina yake kuwahi kutokea duniani,alifikiria uwizi wake utabaki kua siri
 
Labda nguvu ya uma na kijiko,meko alikua jambazi wa kodi za watanzania .....hata mzikiri mzuti uwizi wake haufichiki
 
Msimu wa embe umeisha nyani wote wa mataga mtakufa na njaa
 
Eti umeme wa maji umepitwa na wakati na watu wamo wanachekelea huu uzombi. Ethiopia wapo tayari kupigana na Egypt kwa umeme wa maji. China amejenga the biggest DAM ambayo wanasayansi wanasema hata mzunguko wa dunia umepungua kidogo. Dunia inahangaika na Renewable energy yeye anpendekeza tutegemee limited energy 😀
 
Hahahaaaa...... Bado naamini Magufuli alikuwa kiongozi jasiri zaidi kuwahi kutokea hapa nchini akifuatiwa na mzee Abdul Jumbe!
Kwa ujambazi wake kweli ni mfano kuwahi kutokea hapa nchini n duniani,kwani nasema uwongo bwashee
 

Unachojaribu kuongea hapa ni matamanio yako,na sio lazima iwe kweli. Kama huo mradi ni wa fedha za mkopo, huo urahisi wa bei ya umeme umeujuaje? Unajua terms za mkopo?
 
Maisha ni hatua,acha tuanze na maji then tutafika huko wenzetu waliko,mambo ya gesi wenyewe mliingia mikataba ya ovyo leo mwajifanya kutoa ushauri.unafiki wa kiwango cha juu Sana
 
Sisi ni watu wa ajabu sana, kipindi mzee yupo haya tunayo yapinga leo yalikua na mantik nzuri, ila leo yamekosa uhalisia kabisa.

Kuna watu wanajaribu kujitengenezea popuparity walio ipoteza,
 

Bora angebaki mwamba apige peke yake kifo hiki daaa
 
Leteni generators mtaani ili demand ya fuel izidi kupaa juu, watu wakae juu.
Kuhofia mabwawa kukauka mhofie na ukataji miti ovyo kwa ajili ya nishati kuni! Yatakauka sana!
 
Hata Ethiopia wanaojenga Bwawa kubwa la Umeme hapa Afrika nao wanapoteza muda??

Huko China na Ulaya bado wana Hydro Power Plant kubwa tu...nao vp wazijunje??

Acheni kuchotwa akili na WANASIASA MATUMBO
Hao Ni mihemuko inawasumbua China wana largest hydroelectric power plant Misri na Ethiopia Africa wanaongoza shida wanatanguliza mihemuko na chuki na hyo profesa aishia kushauri serikali iwekeze pia vyanzo vingine ningemuelewa stop kuponda tu hyo stiglers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…