expedition
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 935
- 2,995
kwa hiyo mkuu gesi ni renewable resources kwamba tutaishi nayo milele mpaka tutapochoka kuihitaji?una ujinga mahali fulan, we unazan maisha yote utabak kuwa na maji tiririka?huon mabadiliko ya hewa dunian? acha kufanya mawazo ya kibogoyo bro
Ni bora mapesa haya yangerekebisha TAZARA; mzigo wa kwenda mwingi, na wa kurudi mwingi.Kwa mfano SGR hata ikimalizika kwenda huko Rusumo sijui ambako tuna target mzigo wa Rwanda, bado haina faida kwa vile throughout ya Rwanda ni less than 800k metric tons per annum.
NyokohooooHahahaaaa...... Bado naamini Magufuli alikuwa kiongozi jasiri zaidi kuwahi kutokea hapa nchini akifuatiwa na mzee Abdul Jumbe!
Pole Mataga Mwendazake kesha tangulia na mipango yake wewe baki na propagandaTundu Lissu, Muhongo, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
Sio muda tu ni kupoteza helaIla alichosema ni ukweli..karne hii kuanza kuangaika na umeme wa maji ni kupoteza muda tu
Duu mdomo uliponza kichwa lakini imeandikwa 7 x70mnapopoa kila alichokifanya magu!
marehemu atabakiwa na nini!?
ahahaha
Na kama anasema umeme wa maji umepitwa na wakati aulize Misri na Sudan na Ethiopia wanazozania gesi ya mto Nile?Huyu Professa aliebariki michongo ya IPTL leo ndio anaishauri serikali
Leo wanamuona hamna kitu. Ila mi naamini...iko siku kweli tutamkumbuka.mnapopoa kila alichokifanya magu!
marehemu atabakiwa na nini!?
ahahaha
Huu upumbavu wa kumjadili mtoa hoja badala ya kujadili hoja ndiyo umetufikisha kwenye huu upumbavu unaolitafuna taifa. Hebu mpinge kwa hoja zake labda unaweza kuwa na mawazo bora zaidi, vinginevyo shut up.Huyu Professa aliebariki michongo ya IPTL leo ndio anaishauri serikali
Hata Ethiopia wanaojenga Bwawa kubwa la Umeme hapa Afrika nao wanapoteza muda??Sio muda tu ni kupoteza hela
Unahaha ile mbaya yaani..!!Tundu Lissu, Muhongo, Lema na Chadema kwa ujumla mkitaka kuuwa legacy ya hayati rais Magufuli kwa watanzania itabidi ufanye yafuatayo.
Unapokula kichwa mradi wa umeme kutoka bwawa la Nyerere ambao umefikia 50% itabidi watuambie umeme tutatoa wapi?.
Unapokula kichwa serikali kuhamia Dodoma na kusema ni hasara itabidi wajieleze.
Unapokula kichwa reli ya kisasa ambayo inakaribia Makutupora itabidi wajieleze kwa watanzania hiyo Tanzania ya viwanda itawexekana vipi.
Unapokula kichwa ujenzi wa meli mpya kwenye maziwa makuu itabidi watueleze watatusafirisha na nini?
Wanapokula kichwa ndege zetu itabidi tuwawekee video za kina Heche ,Lema,Lisu wakitukana serikali iliyoshindwa kununua ndege
Watakaposema wachimbaji wadogo, bodaboda na mama ntilie wafukuzwe itabidi watueleze wanafanya haya kwa faida ya nani?
Watakapoamua zahanati na hospitali zote zilizojengwa na Magufuli zifungwe ,itabidi watueleze tutaenda kutibiwa wapi?
Watakaposema wamefuta elimu bure itabidi watueleze kodi zetu zinafanya kazi gani?
Watakaposema lazima watanzania millioni 60 wachanjwe, itabidi watueleze wao mpaka sasa
hawajachanjwa
Nyungu hawajapiga,
Hawajajifungia ndani wanaenda kazini kila siku
Mbona hawajafa na corona sasa?
Watakaohoji haya maelezo siyo Magufuli wala watoto wa Magufuli ni watanzania.
Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Muda utaongea .
JPM alikuwa hashaurikiProf. Mhongo umeibukia wapi? Jpm akiwa hai ulikuwa wapi na hili wazo lako?
Profesa mwenye majivunoHuyu Professa aliebariki michongo ya IPTL leo ndio anaishauri serikali
Ahahahaha dah hili jina DALALI KAFUMUMtaalam wa madini mwenyewe Dr DALALI KAFUMU sijui yuko wapi siku hizi