FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hakuna anayepinga,kwa nini hakusema awali kabla ya marehemu,ili marehemu amsikilize ushauri wakeWanasema ukweli.
Umeambiwa na CAG upembuzi yakinifu ulifanywa miaka ya 70. Haukufanywa mpya kujiridhisha kwamba mradi una manufaa makubwa kiuchumi. Tatizo lenu munawaza kizamani!
Zingatia hoja ya mtu. Siyo kupinga tu.
Ujinga ni kumjibu mtu alietoa hoja bila hoja.Acha upuuzi wako usitufanye wajinga
Mbona sijasoma lolote la maana kuhusu umeme wa maji kutokuwa na manufaa? Ni huko kukauka kwa maji, basi?Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati.
Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.
Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma
Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.
Amesema Tanzania inatakiwa ijikite katika matumizi ya umeme mchanganyiko badala ya kutegemea mabwawa ya Maji ambayo wakati wowote yanaweza kukauka.
"Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.
Amesema dunia ya sasa imegeuka na madini mengi yanayotarajiwa Tanzania yapo lakini wengine wameelekeza kwenye dhahabu, Tanzanite na madini mengine ya zamani lakini wanaacha kuangalia madini mapya ambayo yataliingizia Taifa fedha nyingi.
NB: Baada ya Dkt. Magufuli kuondoka sasa kila mtu CCM rangi yake ya zamani imeanza kurudi
Hivi kweli mmeanza kupinga project ya Rufiji baada ya Dkt. Magufuli kudondoka
CCM acheni unafiki
Huwezijua kama kibuyu walichofungiwa kimepasuka, au VP.Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati.
Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.
Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma
Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.
Amesema Tanzania inatakiwa ijikite katika matumizi ya umeme mchanganyiko badala ya kutegemea mabwawa ya Maji ambayo wakati wowote yanaweza kukauka.
"Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.
Amesema dunia ya sasa imegeuka na madini mengi yanayotarajiwa Tanzania yapo lakini wengine wameelekeza kwenye dhahabu, Tanzanite na madini mengine ya zamani lakini wanaacha kuangalia madini mapya ambayo yataliingizia Taifa fedha nyingi.
NB: Baada ya Dkt. Magufuli kuondoka sasa kila mtu CCM rangi yake ya zamani imeanza kurudi
Hivi kweli mmeanza kupinga project ya Rufiji baada ya Dkt. Magufuli kudondoka
CCM acheni unafiki
Umeme wa maji ni renewable, cheap na environment friendly, dunia yote inaachana na fossil fuels na kwenda kwenye renwables, hata magari ya miaka ijayo yatakua ya umeme, si fossil fuels. Sasa sijui unapata faida gani unapotoa ubongo kichwani na kujaza funzaIla alichosema ni ukweli..karne hii kuanza kuangaika na umeme wa maji ni kupoteza muda tu
Tunamjibu ananzisha uzi mwingine tunamjibu anakuja na utopolo huo huo mpaka imakera.Ujinga ni kumjibu mtu alietoa hoja bila hoja.
Acha ushamba. Usitukane raisi wetu.Watu wanatetea matumbo yao,lilianza liNdungai kuhusu Bagamoyo liProfesa nalo linakuja kuonyesha unafki ndiyo tatizo la kuongozwa na mke wa tatu.
[emoji120][emoji120][emoji120]Huu upumbavu wa kumjadili mtoa hoja badala ya kujadili hoja ndiyo umetufikisha kwenye huu upumbavu unaolitafuna taifa. Hebu mpinge kwa hoja zake labda unaweza kuwa na mawazo bora zaidi, vinginevyo shut up.
Nimemtuka wapi zaidi ya kusema ni mke wa tatu kwani ni uongo?Acha ushamba. Usitukane raisi wetu.
Huyo dikteta wenu ameshatangulia mbele za haki.
HAKI HUINUA TAIFA
Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati.
Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.
Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma
Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.
Amesema Tanzania inatakiwa ijikite katika matumizi ya umeme mchanganyiko badala ya kutegemea mabwawa ya Maji ambayo wakati wowote yanaweza kukauka.
"Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.
Amesema dunia ya sasa imegeuka na madini mengi yanayotarajiwa Tanzania yapo lakini wengine wameelekeza kwenye dhahabu, Tanzanite na madini mengine ya zamani lakini wanaacha kuangalia madini mapya ambayo yataliingizia Taifa fedha nyingi.
NB: Baada ya Dkt. Magufuli kuondoka sasa kila mtu CCM rangi yake ya zamani imeanza kurudi
Hivi kweli mmeanza kupinga project ya Rufiji baada ya Dkt. Magufuli kudondoka
CCM acheni unafiki
Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati.
Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.
Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma
Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.
Amesema Tanzania inatakiwa ijikite katika matumizi ya umeme mchanganyiko badala ya kutegemea mabwawa ya Maji ambayo wakati wowote yanaweza kukauka.
"Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.
Amesema dunia ya sasa imegeuka na madini mengi yanayotarajiwa Tanzania yapo lakini wengine wameelekeza kwenye dhahabu, Tanzanite na madini mengine ya zamani lakini wanaacha kuangalia madini mapya ambayo yataliingizia Taifa fedha nyingi.
NB: Baada ya Dkt. Magufuli kuondoka sasa kila mtu CCM rangi yake ya zamani imeanza kurudi
Hivi kweli mmeanza kupinga project ya Rufiji baada ya Dkt. Magufuli kudondoka
CCM acheni unafiki
Uliogopa kutekwa na kifunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha!Hakuna anayepinga,kwa nini hakusema awali kabla ya marehemu,ili marehemu amsikilize ushauri wake
Wewe unahangaika na 'legacy' ya mtu, badala ya kuiwazia Tanzania? Bure kabisa.Anayedhani itakuwa rahisi kuuwa legacy ya Magufuli atakutana na nguvu ya uma.
Waliwekeza sana 2015-2020 na ndo walokuwa nyuma ya hujuma zote 24/7Dooh nimecheka saana haya watu wanafufuka mmoja moja wanaaanza upya kuchomoa makucha yao.
Hawana tena cha kuhofia mana enzi za shamba la bibi zinarudi kila mtu anaanzisha ubunifu mpya wa kupiga pesa.
Huyu ni Muhongo bado namsubiri Ngereja naye atakuja na lipi.
Na muda si mwingi tutasikia Accacia nayo imefufuliwa upya na kupewa mgodi huko geita kwasababu nchi inahitaji zaidi wawekezaji kuliko wao wanavyo tuhitaji.
Naona unawaza kizamanizamani tu!Mbona sijasoma lolote la maana kuhusu umeme wa maji kutokuwa na manufaa? Ni huko kukauka kwa maji, basi?
Mimi nadhani labda kuna mengine aliyosema ya maana zaidi ambayo mleta mada hakuyaweka.
Ndio, umeme wa vyanzo mchanganyiko ni muhimu, na ndio sababu nzuri ya kuwa na pamoja na wa huo wa maji.
Umeme wa maji ni nafuu zaidi, kwa kila unit kuliko chanzo kingine chochote cha chanzo cha umeme.
Gesi si ipo? Kwani imekatazwa kwamba haitatumika kamwe wakati ikihitajika?
Sasa hilo la madini nalo vipi?
Anataka madini gani yachimbwe? Nickel, graphite, Rare Earths? Halafu iweje? Si hivyo tayari yanasombwa?
Chuma kinaendelea kupoa tu huko ardhini, hakuna anayekizungumzia. Mkaa wenyewe sasa tutaambiwa tusiuchimbe na kuutumia kabisa, vinginevyo tutawekewa vikwazo. Dunia si ndiyo hiyo?
Ningemwelewa vizuri sana kama angehimiza uwekezaji wa kuyaongezea thamani madini hayo hapa hapa nchini. Hili ndilo liwekewe mkazo zaidi katika kutafuta wawekezaji wa kutengeneza vifaa/vyombo vinavyotokana na madini hayo hapa hapa nchini.
Mkakati wa kuwasomesha wataalam wetu wawe na uwezo wa kufanya kazi katika makampuni hayo ya uwekezaji kwenye maeneo hayo
Helium na yenyewe sasa itabebwa cheee, kwa usimamizi wa akina Ndugai...
Tanzania tuna hasara ya kukosa uongozisana!
Dikteta alijua atakufa kwa hiyo kuua wenzie ni kama kuchinja kuku tu.Akichangia katika mpango wa maendeleo wa Serikali bungeni amesema anashangaa watu wanavyohangaika na umeme wa maji na huku dunia ya sasa ni umeme wa gesi
Uchumi wa sasa duniani ni umeme wa gesi, umeme wa maji umepitwa na wakati.
Mbunge wa Musoma Vijijini Profesa Sospeter Muhongo amesema uchumi wa gesi pekee ndiyo utakaoifikisha Tanzania kwenye uchumi thabiti.
Profesa Muhongo ametoa kauli hiyo wakati akichangia kwenye mpango wa Serikali leo Aprili 9,2021 bungeni Jijini Dodoma
Waziri huyo wa zamani wa Wizara ya Nishati na Madini amesema Tanzania kuendelea kuwaza kuhusu madini yaliyopo ni kuchelewa huku akikosoa mawazo ya kutegemea uzalishaji wa umeme mkubwa kwa kutumia maji.
Amesema Tanzania inatakiwa ijikite katika matumizi ya umeme mchanganyiko badala ya kutegemea mabwawa ya Maji ambayo wakati wowote yanaweza kukauka.
"Kuwekeza katika umeme wa maji halafu unasema utaleta fedha, huko ni kujidanganya kwani umeme wa maji huchukua muda mrefu kuanza kutoa faida, huko wenzetu wamepita wanafanya mambo kisasa” amesema Profesa Muhongo.
Amesema dunia ya sasa imegeuka na madini mengi yanayotarajiwa Tanzania yapo lakini wengine wameelekeza kwenye dhahabu, Tanzanite na madini mengine ya zamani lakini wanaacha kuangalia madini mapya ambayo yataliingizia Taifa fedha nyingi.
NB: Baada ya Dkt. Magufuli kuondoka sasa kila mtu CCM rangi yake ya zamani imeanza kurudi
Hivi kweli mmeanza kupinga project ya Rufiji baada ya Dkt. Magufuli kudondoka
CCM acheni unafiki
Hata akiwa mke wa nne....what's wrong with that?Nimemtuka wapi zaidi ya kusema ni mke wa tatu kwani ni uongo?
Wewe ndiye hujui, tuliza akili yako ufundishwe. Athari za mazingira kwa binadamu zinazosabanishwa na umeme wa hydro ni kubwa kuliko hiyo bei rahisi ya kunulia unit moja TANESCO. Soma athari za Guri Dam la Venezuela ambalo ndiyo kubwa kuliko yote katika South America au Three Gorges Dam ya ChinaHuyu mzee naye wakati mwingine sijui anafikiria nini.
Dunia inaelekea kwenye renewables yeye anasema twende kwenye fossil fuel. Sijui ni dunia gani anaiongelea. Umeme wa maji ndio wa bei rahisi zaidi duniani, na wala hatukatazwi kuwa na vyanzo vingine mbadala. By the way, Stiglers ndio ishakuwa mimba, tusubiri kuzaa tu.