Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,296
- 4,697
Amekutana nao wangapi? Unajua chanzo cha kifo chake?... kala kona this time! Balozi Kijazi ofisi yake ilikuwa Ikulu; amekutana na watumishi wangapi wa Ikulu - wadogo kwa wakubwa? Hali mbaya asikwambie mtu.