HANGAYA THE CHIEF
JF-Expert Member
- Sep 10, 2021
- 330
- 962
CCM yenyewe msimamo wake ni upi?
Shivji Mkomunisti huyo, anapenda siasa ya kimask
nabda nae anapotosha, wamwite msigwa aje kuzungumzia shivji kapotoshaTukiachana na ukominist wake,jibu hoja zake.
Nawakumbusha tu huyo ni Profesa wa sheria kwahiyo mnapochangia mkumbuke hili.Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv
Unatoka hapa unaenda Dubai au nje ya nchi kusaini mkataba unaohusu rasilimali yako, unafikiri nguvu za kubargain utazipata wapi?Inawezekana kabisa timu yetu iliyohusika ikiwa pamoja na kocha mkuu na meneja wake hawakuwa na uelewa wa lugha iliyotumika kwenye terms za mkataba huu. Kifupi ni Magungo wa zama zetu maana Kuna terms ikiwemo hiyo ya kutokuvunja mkataba kwa namna yoyote iwayo ile, hata mtoto wa darasa la 5C angeshituka vinginevyo wanaosema bandari imeuzwa kwa wajomba Wana hoja ya msingi na wasikilizwe.
Kujiuza kwa waarabu ndio utajiri?Shivji Mkomunisti huyo, anapenda siasa ya kimaskini.
Hao wameapa kumpigania mtu wa dini yao kuliko chochoteTukiachana na ukominist wake,jibu hoja zake.
Kwa hiyo safari hii mna nafuu?Chini ya CCM hasa kipindi cha dhalimu sijawahi kuona nafuu.
Issue si uamuzi wa kufurahisha, ni uamuzi wa kuuza uhuru na ardhi ya nchi.Acha uzwazwa mzee. Bora amani ya kijinga kuliko haki yenye fujo.
Watu million 60 huwezi kufanya decision ya kuwafurahisha wote.
Hujifunzi nchi zilizokimbilia kwenye machafuko sasa hvi zinaishije?
Narudia acha uzwazwa aisee.
Yaan mkataba ambao direct impact yake haimfikii hata mtoto wako ndio ufanye nchi iingie kwenye machafuko ambayo yataleta direct impact kwa watoto wako?, tumieni akili basi
Sahihi kabisa.Hii nchi inahitaji common enemy ambae atasababisha all sides ziungane nje ya itikadi,vyama,dini
... kuna kifisadi kimoja kimebebwa na jina huko Bungeni uliletwa uzi humu jana kikidai kama mwenye nchi kakubali chenyewe ni nani kipinge? Serpent offspring is also a serpent!Halafu kuna Chalamila atakuja kupinga 😆😆😆😆
Unauliza au unapigia jibu mstari?Kwa hiyo safari hii mna nafuu?
Serpent brought us all this 🤣🤣... kuna kifisadi kimoja kimebebwa na jina huko Bungeni uliletwa uzi humu jana kikidai kama mwenye nchi kakubali chenyewe ni nani kipinge? Serpent offspring is also a serpent!
Chocheeni kuni tanuru Bado haijaiva 👍👍Mkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv
Basi vizuriMkataba huu (wa bandari) unaegemea zaidi upande mmoja na pia hauna ukomo wa muda. Wajibu wote ni wajibu wa serikali ya Tanzania lakini haki zote ni haki za DP WORLD
Mkataba huu (wa uendelezaji wa bandari) ni mkataba kati ya nchi na nchi kuhusu uwekezaji, na mkataba unasema ni kuhusu ushirikiano wa kiuchumi lakini ukweli ni kwamba mkataba huu ni aina ya mikataba ya uwekezaji
Katika mkataba huu wa bandari kuna mambo mawili, jambo la kwanza, mkataba unahusu ushirikiano wa kiuchumi lakini sio ushirikiano wa kiujumla bali ni katika eneo la bandari za bahari na bandari za maziwa. Na jambo la pili ni kwamba mwekezaji ameshatambulika
Watu waliokuwa wanasema mkataba wa bandari ni wa miaka 100 hawakuwa wanamaanisha moja kwa moja ni miaka 100, walichomaanisha ni kuwa mkataba huu ni wa muda mrefu. Na ni kweli ni mkataba wa muda mrefu na utaisha pale ambapo mikataba yote ya miradi saba ya awamu ya kwanza itapokuwa imetekelezwa. Na kama kutakuwa na migongano au mifarakano, hadi itakapokuwa imetatuliwa.
Mkataba huu hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile hata kama tumevunja uhusiano wa kidiplomasia na U.A.E (Falme za Kiarabu)
Chanzo: Jambo Tv
Born in Kilosa, Tanzania in 1946, Shivji was for 36 years a distinguished professor in constitutional law in the University of Dar es Salaam's Faculty of Law. He is a professor of international renown, having built his reputation through the publication of over 18 books, numerous articles and book chapters. Shivji has served as advocate of the high court and the Court of Appeal of Tanzania since 1977 and advocate of the high court in Zanzibar since 1989.Nawakumbusha tu huyo ni Profesa wa sheria kwahiyo mnapochangia mkumbuke hili.
mshuza njoo okota mtu wakoProf Shivj ni Dini gani ? Tuanzie hapo kwanza.