Profesa Shivji: Mkataba wa Bandari unaegamia zaidi upande mmoja na hauna ukomo wa muda. Hauwezi kuvunjwa kwa sababu zozote zile

huyu mama nadhani hata ccm wenyewe wanampinga hili jambo..
 
Ila ule sio mkataba, bado hawajaingia mkataba baina ya TPA na DPW
 
Halafu yule bibi anadai kuwa eti ameziba masikio
 
Jeshi liko wapi ili litimize wajibu wake wa kikatiba wa kulinda uhuru na mipaka ya nchi?

Ina maana jeshi halijui kuwa bandari ni mpaka?

Ina maana Jeshi halioni kuwa kwa mkataba huu Sovereignity ya nchi iko pabaya?

Majeshi ya nchi yanayojitambua hayawezi kukubaliana na kitu kama hiki!
 
Usihalalishe Wizi wa Rasilimali za Tanganyika kwa logic za kijinga
 
Watanzania wanaopewa dhamana ya majadiliano na wageni lazima watuingize mkenge, wait wanavuta Chao,, msala Kwa raia wema
 
😬😬😬🤣 Duuh hi sio MCHEZO mkuu umeuliza kwa msisitizo wa hali ya juu taarifa zimfikie HANGAYA THE CHIEF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…