... ni kweli kimeibuka kizazi kinachopenda kuishi maisha ya kufikirika badala ya halisi. Na hawa ndio waliotawala huko social media kwa mambo ya kipuuzi. Kama lile la Nigeria tuliletewa uzi humu linalala na mwanae wa kiume 7yrs chumba kimoja na wanaoga pamoja!Society yetu imetawaliwa na watu wasiojielewa, wanaoendesha mambo kwa mahiri, kwa kutumia social media
Umsalimie Vivian Scolar Butahe, mwambie nimemiss sana, Ethan Yuko Arusha na Bibi yake, nimebaki mpweke hasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtazamo tu, mwingine anaweza akamtaja Dr Jpm
Hii hospitali ni gharama lakini hakuna lolote
Wataalamu wa kihindi vijana walio some a udaktari vyombo havieleweki wote wana degree za kuungaunga.
Ni vigumu kuona serikali imelifumbia macho hili
Ni hospitali inaajiri wahindi kuliko wataalamu
Ni bora Muhimbili kuliko hii hospitali
Usafi na uzuri wa majengo wengi wanaamini na waganga wana degree lukuki za kutoa huduma wakapona. Wajawazito wengi wanapoteza maisha hapo.
RIP Professor
Ohh yes, a very close friend of mine.Bujubuji are you related to the late Scolah Deo Butahe?.
Umelogwa na laana. Toa pole kwanza kabla ya kejeli
Unatulia na utamu wote dah!R.I.P. Vimbwete, hapo najiendea Daruso ninanunua chips kavu natulia zangu kwenye kimbwete. Asante ulivyokwenda Sweden ukaona then ukaja ukaweka project yako ya vimbwete. Jina lako litabaki vizazi na vizazi.
Ukitaka kuwa maarufu Tanzania fanya ujinga na upumbavu kwa kiwango cha PhD. Nchi ya wananchi wengi wapenda ujinga hii!Cha kushangaza anazidiwa umaarufu hata na Kina Giggy money na Steve Nyerere hata ndan ya Corridor za vyuo vikuu vya Nchi ya uchumi wa kati
Hilo linatoa picha tosha ya aina ya jamii tunamoishi.Proff mashuhuli amefariki uzi hautembei kabisa ume-stuck...
juzi amefariki mke wa Tale uzi ulikuwa unakimbia speed 120.......
sijui tatizo liko wp!?
Ni VIMBWETTE na sio vimbweta.R.I.P Mwanzilishi wa neno Vimbweta ( sehemu za Kupumzikia na Kujisomea ) kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Nchini. Hilo neno limetoholewa hapo.
Ni VIMBWETTE na sio vimbweta.
Mkuu umeniwahi kidogoooooo, hii Research yake naikumbuka Sana. Pia ailiwahi sema Maji ya kuchemsha Ni hatari kwa kunywa, Ila inashauriwa kuyafunika kwa mfuniko kwa siku kadhaa hiyo inatosha kuua vijidudu.Daah
Prof Mtafiti buriani
Polen sana team Vimbwete
Aliwahi kufanya research kuhusu bottled water na kugundua si salama kwa watumiaji, Walipwa kodi na mafanyabiashara hiyo yalikasirika na kuhakikisha wanaizima
Hakuwa jalalani maisha yake yote
Huyu ni Nyerere wa Open University of Tanzania
Poleni sana